Majeshi ya nchi nyingine za kizalendo yaungane na JWTZ kuzuia vibaraka wa Wazungu M23 wasiuteke Mji wa Goma

DRC wana jeshi la nchi?
Ndio,na lina nafasi ya 8 Africa.
Jeshi la Congo ni FARDC.
FARDC jeshi la Congo
Makundi ya wanamgambo zaidi ya 50 walijiunga na jeshi la Congo
Kuna kundi jingine linaitwa Wazalendo
Wazungu kutoka Romania (white mercenaries)
SADC forces
Burundi forces
Ya ni mechoka kuhesabu.
 
Kwa nini Tanzania, South Africa, Zimbabwe na Namibia hazikuwa wazalendo kwenda kupigana na uasi wa magaidi Msumbiji kwa jirani yao wa karibu badala yake Rwanda ndio iliend
Eeenh we jamaa hufatilii haya mambo jwtz haipo msumbiji?
 
Tayali

Tayali nchi mpya imepatikana,M23 imeshachukua Goma. Wameteseka kwa myaka hawa jamaa.
 

Attachments

  • C5vHebI6xHwFBK7t.mp4
    1.4 MB
  • 20250123_195809.jpg
    70.8 KB · Views: 1
  • 20250123_081921.jpg
    161.5 KB · Views: 2
Drc ni kubwa assume Inagawanywa, kama Rwanda wanatumia Bandari ya Msa kipi kitazuia hio nchi mpya ya Drc iliopakana na Rwanda kutumia Bandari ya Mombasa?
 
Kuna nchi afrika ambayo sio chawa wa mabeberu?

M23 wachukue goma na miji mingine,wajitangazie nchi mpya ya kivu.

Drc kongo ni failed state acha wenye nguvu waigawane.
bILA SHAKA WEWE NI MNYARWANDA WA KABILA LA KITUSI
 
Drc ni kubwa assume Inagawanywa, kama Rwanda wanatumia Bandari ya Msa kipi kitazuia hio nchi mpya ya Drc iliopakana na Rwanda kutumia Bandari ya Mombasa?
Hawawezi kutumia mzigo wote huko,lazima waje Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…