Majeshi ya nchi nyingine za kizalendo yaungane na JWTZ kuzuia vibaraka wa Wazungu M23 wasiuteke Mji wa Goma

Majeshi ya nchi nyingine za kizalendo yaungane na JWTZ kuzuia vibaraka wa Wazungu M23 wasiuteke Mji wa Goma

Hujui chochote, Wachina wamezagaa DRC wana migodi ya Cobalt, dhahabu n.k kila kona, wanavuna magogo pande zote za nchi na ndio wanaongoza kuchota rasilimali za hiyo nchi kwa kibali cha serikali ya DRC na njia haramu pia.
Kuzagaa wapi Sasa tofauti na eneo.la Eastern DRC North to South
 
Kuna Baadhi ya Watanzania walihusishwa na Kukamatwa kama.magaidi huko.

Hawakuomba Kwa sababu ya vibaraka waliojaa jeshini
Endelea kubaki na tope la akili za kijima za vibaraka wakati wenyewe wanasonga mbele. Kama unafikiri vibaraka ni tatizo anza kwanza kwa kuacha kutumia simu, tablets, flash na computer zao kwa sababu zinatumia madini ya DRC yanaouzwa na Wachina. Zikataeni pesa zao zinazochangia mtaji benki ya Africa unayoipamba inayokuja Dar kufanya mkutano wa nishati, vinginevyo wazalendo uchwara hamna tofauti na chichidodo.
Kalaghabao.
 
Endelea kubaki na tope la akili za kijima za vibaraka wakati wenyewe wanasonga mbele. Kama unafikiri vibaraka ni tatizo anza kwanza kwa kuacha kutumia simu, tablets, flash na computer zao kwa sababu zinatumia madini ya DRC yanaouzwa na Wachina.
Sasa vibaraka wataachaje kusonga mbele kama Wazalendo hawaungani? Najua wewe ni matusi unatetea ndugu zako kupora arhsi na Mali za DRC.
 
Yaani wakongo wako bize kujichumbua na kukatika sebene alafu sisi tutume vijana wetu waende kufia nchi yao.

Kiufupi kongo ni taifa lililo feli bora ligawanyike tu wenda wakongo wakaishi kwa amani.
 
Yaani wakongo wako bize kujichumbua na kukatika sebene alafu sisi tutume vijana wetu waende kufia nchi yao.

Kiufupi kongo ni taifa lililo feli bora ligawanyike tu wenda wakongo wakaishi kwa amani.
Maeneo yakikombolewa na kukabidhiwa wao baada ya miezi kadhaa mbeleni yanarudi kwa waasi.

Nashindwa kuwaelewa kabisa!

Suluhisho bora nchi yao imegwe vipande vipande ndipo watakuwa na akili na kujua walichokipoteza.

Kwa sababu hata serikali yao sioni cha maana wanachokifanya. Wanatumia mgogoro huu kama siasa njia ya kukwaa madaraka.

Hawa dawa ni kuwaacha hivyo hivyo na matatizo yao!
 
Pitieni na hapa mpate idea vyema..
 
Maeneo yakikombolewa na kukabidhiwa wao baada ya miezi kadhaa mbeleni yanarudi kwa waasi.

Nashindwa kuwaelewa kabisa!

Suluhisho bora nchi yao imegwe vipande vipande ndipo watakuwa na akili na kujua walichokipoteza.

Kwa sababu hata serikali yao sioni cha maana wanachokifanya. Wanatumia mgogoro huu kama siasa njia ya kukwaa madaraka.

Hawa dawa ni kuwaacha hivyo hivyo na matatizo yao!
Vijana wa kikongo wamejazana Dar na Ufaransa kazi kupaka wanja na hina alafu eti nchi nyingine zitume vijana wao wafie nchi iliyo jaa wapumbavu kama hao.
Nchi yenyewe kuanzia rais mpaka mwenyekiti ya kitongoji wananuka rushwa.
Hili nchi ligawanyike tu like pinching vidogo vidogo ili raia waishi kwa amani wanateseka sana mpaka huruma.
 
Nawashauri jwtz waache kujifanya kimbelembele katika vita na m23. Wakumbuke m23 wana kisasi kikubwa na jwtz. Jeshi letu wanapaswa kuwa wajanja na sio kujifanya wazalendo kufa kwa ajili ya wakongo wakati nchini mwao bandari zimeuzwa na hifadhi wala hawajafanya lolote.

Ushauli wangu, ukikuta wenzio wanapiga dili na wewe piga. Rwanda ni wajanja wanaiba mali za kongo wanajenga rwanda kwa nini jwtz wasiige kwa wenzo?

Wakishupaza shingo wengi hawatarudi. M23 ya sasa sio ile ya kipindi cha kikwete. Hata kipindi kile tuliwashinda kwa tabu sana sembuse wakati huu ambapo wamejipanga kikamilifu. Mali za kongo acha ziibwe ni nyingi sana na hawana uwezo wa kuzilinda wala kuzitumia hizo akili hawana acha wenye akili wazitumie. Mbona sisi tumeachia za kwetu?
 
Nawashauri jwtz waache kujifanya kimbelembele katika vita na m23. Wakumbuke m23 wana kisasi kikubwa na jwtz. Jeshi letu wanapaswa kuwa wajanja na sio kujifanya wazalendo kufa kwa ajili ya wakongo wakati nchini mwao bandari zimeuzwa na hifadhi wala hawajafanya lolote.

Ushauli wangu, ukikuta wenzio wanapiga dili na wewe piga. Rwanda ni wajanja wanaiba mali za kongo wanajenga rwanda kwa nini jwtz wasiige kwa wenzo?

Wakishupaza shingo wengi hawatarudi. M23 ya sasa sio ile ya kipindi cha kikwete. Hata kipindi kile tuliwashinda kwa tabu sana sembuse wakati huu ambapo wamejipanga kikamilifu. Mali za kongo acha ziibwe ni nyingi sana na hawana uwezo wa kuzilinda wala kuzitumia hizo akili hawana acha wenye akili wazitumie. Mbona sisi tumeachia za kwetu?
JWTZ haiko kule kupigana na waasi Bali kulinda amani.
 
Kusema ni rahisi sana ila kumbuka kina P.Lumumba waliburuzwa mjini kwenye Barabara na hakuna hata kabuli lao.
Yako wapi makaburi ya watu zaidi ya 3,000 wa Bakwanga waliouwawa na majeshi yake yalipovamia eneo la South Kasai??
 
Yako wapi makaburi ya watu zaidi ya 3,000 wa Bakwanga waliouwawa na majeshi yake yalipovamia eneo la South Kasai??
Ukiwa kwenye ukombozi wa Nchi Yako vibaraka wowote ni Haki Yao kusagwa.
 
It's true kwamba hali ya usalama mashariki mwa DRC, hususan katika Mji wa Goma, ni ya kusikitisha na inahitaji hatua za haraka. Ni wazi kwamba kundi la M23 linaungwa mkono kwa njia moja au nyingine na maslahi ya kigeni, jambo linalosababisha changamoto kubwa kwa majeshi ya DRC na hata kwa vikosi vya kulinda amani kama JWTZ.

1. Ushirikiano wa Kikanda
Tatizo hili haliwezi kushughulikiwa na JWTZ pekee. Nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zinapaswa kushirikiana kwa dhati kuhakikisha amani na usalama vinapatikana. Ushirikiano wa kijeshi, kiintelijensia, na kifedha kati ya nchi hizi ni muhimu katika kuzuia juhudi za vibaraka wa kigeni kama M23 kuleta vurugu zaidi.

2. Mgogoro wa Kihistoria
Mgogoro wa M23 si jambo jipya, bali ni suala la muda mrefu linalotokana na changamoto za kikabila, rasilimali, na ushawishi wa kigeni. Hatupaswi kupuuza kwamba DRC ni nchi yenye rasilimali nyingi zinazotamaniwa na mataifa makubwa. Hili limefanya baadhi ya nchi jirani kushawishika kuunga mkono vikundi vya waasi kwa maslahi yao binafsi.

3. Udhibiti wa Rasilimali
DRC ina rasilimali za kutosha kuinufaisha Afrika nzima, lakini badala yake, rasilimali hizi zimekuwa chanzo cha migogoro na ushawishi wa nje. Kama Afrika, tunapaswa kuungana ili kulinda rasilimali hizi kwa manufaa ya watu wa DRC na bara lote. Vita vya M23 si vita vya ukombozi, bali ni juhudi za kulinda maslahi ya mabeberu kupitia vibaraka wao.

4. Mapendekezo ya Haraka

Umoja wa Mataifa unapaswa kuongeza msaada wake kwa MONUSCO ili kuhakikisha wanajeshi wa kulinda amani wanapata vifaa na msaada wa kutosha.

Vikwazo vya kiuchumi na kidiplomasia vinapaswa kuwekwa dhidi ya nchi yoyote inayothibitika kuhusika na kufadhili M23.

AU na EAC zinapaswa kuongeza juhudi za kidiplomasia kwa kushawishi mazungumzo ya amani kati ya DRC na nchi jirani zinazotuhumiwa.


5. Ushauri kwa JWTZ
JWTZ linapaswa kuendelea kushikilia wajibu wake wa kulinda amani bila kuvuka mipaka ya majukumu yake. Tukumbuke kwamba JWTZ liko DRC kulinda amani, si kushiriki moja kwa moja katika vita. Hili ni muhimu ili kulinda taswira ya jeshi letu kimataifa na kuepuka matokeo ya muda mrefu kwa Tanzania.

6. Umuhimu wa Diplomasia
Badala ya kupigana vita vya moja kwa moja, juhudi za kidiplomasia zinapaswa kuimarishwa. Rwanda na nchi nyingine zinapaswa kushauriwa kuachana na siasa za kuunga mkono vikundi vya waasi. Hili linaweza kufanikishwa kupitia shinikizo la kidiplomasia na kisiasa kutoka kwa AU na jumuiya ya kimataifa.

Mwisho wa yote::;
Mgogoro huu hauwezi kutatuliwa na jeshi moja pekee au nchi moja pekee. Tunahitaji mshikamano wa kikanda na wa bara zima kuzuia uchokozi huu wa M23 na kuhakikisha kwamba DRC inabaki kuwa nchi huru na salama.
Wewe huna hoja kabisa na hata hujui hiyo M23 ilianza anzaje. Nyie ni wale wa vijiweni wanaoachwa hivyo hivyo walivyo.
 
Inakera sana kuona Baadhi ya Nchi za Kiafrika zimejikausha na kuisusa DRC Kwa kuiacha inagukie kwenye mikono ya Jeshi la Vibaraka wa Wazungu M23 Kupitia Rwanda.

Ni kama Wameisusia Tanzania peke yake kiasi kwamba inaweza ikawa ngumu Kwa JWTZ Kuzuia hao Vibaka kuuteka Mji wa Goma ikizingatiwa kwamba watakuwa wanapewa vifaa vya Kisasa ,kusaidia inteligensia nk na Mabeberu. Soma JWTZ yatoa sababu 200 zilizoifanya Tanzania ipambane na waasi wa M23

Wananchi wa DRC wa Imani na JWTZ lakini Sina hakika kama wao yao wataweza kuwazuia M23 ikizingatiwa kwamba JWTZ Iko huko kulinda amnani na sio mstari wa mbele wa Vita,wanatakiwa kuwa mstari wa mbele NJ Jeshi la DRC lakini ndio Hilo limezidiwa.Inatia sana hasira.👇👇

View: https://youtu.be/Fs7jEBnCRJU?feature=shared

My Take
Nchi zingine za Kizalendo Ziungane kuzuia huu uhuni wa Rwanda.

Ikumbukwe Rwanda Kwa Sasa imepunguza sana biashara na Tanzania na bidhaa zao nyingi wanapitishia Bandari ya Mombasa.

View: https://youtu.be/yi8VlUZYe84?feature=shared


JWTZ warudi nyumbani ili waje kuimarisha ulinzi kwenye mipaka ya nchi yetu, waachane na hiyo Vita ya huko Goma Congo DR. Mambo ya ngoswe aachiwe mwenyewe ngoswe!

Hatma ya Congo DR ipo mikononi mwa WaCongoman wenyewe!
 
JWTZ warudi nyumbani ili waje kuimarisha ulinzi kwenye mipaka ya nchi yetu, waachane na hiyo Vita ya huko Goma Congo DR. Mambo ya ngoswe aachiwe mwenyewe ngoswe!

Hatma ya Congo DR ipo mikononi mwa WaCongoman wenyewe!
Hawapigani na M23 Bali wanalinda amani chini ya MUNOSCO.
 
Wamefeli Kwa kupenda au Kwa kuzidiwa na vibaraka wa Mabeberu kina Rwanda na wengineo?

Hao wanatakiwa kusaidiwa acha upuuzi
Wakuu wa jeshi na intelijensia drc wananufaika na hivyo vita,kutwa kuuza siri za mchezo, colonel mamadou aliwadhibiti m 23,raia wakampenda,wakuu wakachukia,wakamlipua,akaungua kama ndavu ndani ya gari
 
Back
Top Bottom