Ananyoroshwa mbaya sana,Yani siku hizi kila uzi akifungua hunyoroshwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ananyoroshwa mbaya sana,Yani siku hizi kila uzi akifungua hunyoroshwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Then u have to say KDF trained Jubaland army to destabilize Somalia!Mjinga ni wewe ambaye unaruka ruka kwenye masuala ambayo huna ufahamu kuyahusu. Ras Kamboni Brigade ya rais Madobe wa Jubaland ni moja ya militia ambazo ziliunganishwa ndio zikaitwa SNA(Somalia National Army). SNA walipata mafunzo kutoka kwa nchi zote za AMISOM, hadi Burundi na Djibouti pia. Hivi vita vya Somalia na Jubbaland ni vya mbwa kala mbwa. Ras Kamboni Brigade wa Jubaland walijiondoa kwa SNA baada ya utata wa uchaguzi uliopita kule Jubaland na sasa wanajiita JSF(Jubaland Security Forces) na ndio hawa hawa ambao wanapigana na 'serikali kuu', yaani Somalia. Somalia Is a Country Without an Army
Whatever YOU have to say is your freakin' business, not mine.Then u have to say KDF trained Jubaland army to destabilize Somalia!
Hahahaha, mambo yanazidi kuwawia magumu, nchi inazidiwa ktk kila konaYani siku hizi kila uzi akifungua hunyoroshwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntuzi zako zinadundia kichwani siku hz kila kuchaoHahahaha, mambo yanazidi kuwawia magumu, nchi inazidiwa ktk kila kona
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani kila kukicha anzidi kuwa zero brain tuAnanyoroshwa mbaya sana,
Hahahaha, sasa mumeanza kujua kwamba, zile sifa zenu za kijinga kujifanya mpo juu zilikua ni ujinga, nchi yenu inachezewa na nchi ndogo sana nadhahifu, jeshi la Somalia ni jeshi kweli la kuivamia Kenya na mshindwe kuwadhibiti badala yake mnalialia tu.
Mnaipiku Kenya lini?
Wapi, jana tu majeshi ya Somalia yamevuka na kushambulia vijiji vya mpakani sehemu ya Mandera, kumbuka wanasaidiwa na Ethiopia, Kenya can't match with Ethiopia, hence Kenya Small be on receiving hand, no doubt.View attachment 1377653
Boss this is the aftermath of kdf air raid on March 1 2020,deep inside Somalia.
In an all out war Somalia will be on the receiving end .
Tulitrain SNA hapa Kenya, wacha upuziati KDF trained SNA wacha ujinga nyie mko na Jubaland!
Sikujua that KDF was involvedWacha kupoteza watu na propaganda za kijinga .SNA hawakuvuka mpaka their point of contact was Bula Hawo (Border Point -1) (Somalia ) but the effect of their fire could be felt in Mandera that's why kdf shelled them .
Infact SNA lost the fight if we were to count the losses.
2 Jubaland Security Forces (JSF) Troops KIA while 7 SNA Troops KIA .
Tushafika $100 billion kwenye GDP. Nchi inazidi kupepea wewe ukitokwa na makamasiHahahaha, mambo yanazidi kuwawia magumu, nchi inazidiwa ktk kila kona
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha propaganda za peni mbili. SNA haisaidiwi na Ethiopia. Unapenda kueneza uongo sana.Wapi, jana tu majeshi ya Somalia yamevuka na kushambulia vijiji vya mpakani sehemu ya Mandera, kumbuka wanasaidiwa na Ethiopia, Kenya can't match with Ethiopia, hence Kenya Small be on receiving hand, no doubt.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribuni kuwagusa ndio mtajua wapi wanapata kiburi cha kuvuka mpakani na kushambulia ndani ya Kenya. Kenya mnaunga mkono serikali ya Jubaland, Wakati serikali ya Mogadishu inaungwa mkono na Ethiopia, au hata hiyo unapinga?Wacha propaganda za peni mbili. SNA haisaidiwi na Ethiopia. Unapenda kueneza uongo sana.
Mjitayarishe kuipiku Kenya bro.Wapi, jana tu majeshi ya Somalia yamevuka na kushambulia vijiji vya mpakani sehemu ya Mandera, kumbuka wanasaidiwa na Ethiopia, Kenya can't match with Ethiopia, hence Kenya Small be on receiving hand, no doubt.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna venye hizo nugu zilikuwa zimekaribia border ikabidi kdf wawashambulie kwa kutumia mortars .Sikujua that KDF was involved
Mnaipiku Kenya lini?