Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
GDP ya phase of slumTushafika $100 billion kwenye GDP. Nchi inazidi kupepea wewe ukitokwa na makamasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GDP ya phase of slumTushafika $100 billion kwenye GDP. Nchi inazidi kupepea wewe ukitokwa na makamasi
Waliivamia kenya lini? Nikumbushe basiHahahaha, sasa mumeanza kujua kwamba, zile sifa zenu za kijinga kujifanya mpo juu zilikua ni ujinga, nchi yenu inachezewa na nchi ndogo sana nadhahifu, jeshi la Somalia ni jeshi kweli la kuivamia Kenya na mshindwe kuwadhibiti badala yake mnalialia tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imekua tena hawapigani na wale wa jubalandWapi, jana tu majeshi ya Somalia yamevuka na kushambulia vijiji vya mpakani sehemu ya Mandera, kumbuka wanasaidiwa na Ethiopia, Kenya can't match with Ethiopia, hence Kenya Small be on receiving hand, no doubt.
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuota!Tulitrain SNA hapa Kenya, wacha upuzi
Yani nasisi madoni wa Africa tuwapiku kwa kujenga multiple slum ishiiii !!!!!
Tunangoja mtupiku tangu 70s 😁Tuipiku Mara ngapi Kenya ni shit hole kwa tz monkey with banana repabilikiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtasubiri sana ,mnatusubiri kumbe wenzenu tulisha watangulia mbele ndiyo maana amtuoni Kenya tulisha ipita tangu 2010 cha kufanya kwa Kenya ni kutukimbiza msipoteze muda kutusubiri maana hamto tuona tupo mbele yenu siku nyingi sana kama kama hamuamini subirini mabwana zenu wazungu watakujulisheni siku si nyingiTunangoja mtupiku tangu 70s [emoji16]
2020 GDP Kenya $102bMtasubiri sana ,mnatusubiri kumbe wenzenu tulisha watangulia mbele ndiyo maana amtuoni Kenya tulisha ipita tangu 2010 cha kufanya kwa Kenya ni kutukimbiza msipoteze muda kutusubiri maana hamto tuona tupo mbele yenu siku nyingi sana kama kama hamuamini subirini mabwana zenu wazungu watakujulisheni siku si nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
2020 GDP Kenya $102b
2020 GDP LDC Tz $60b
Mtatupiku tu bro😂
Tuwapiku kwenye nini,Na bado hamjatupiku ama Hadi tufe ndio mtupiku? Nyie wadhaifu Sana...bure kabisa.
Si mlikula kinyesi kwa njaa 😁Tuwapiku kwenye nini,
Kwenye njaa au kwenye corruption!
Endelea kuficha kichwa kwenye mchanga.Si mlikula kinyesi kwa njaa 😁
1.5 trillion iko wapi...wizi wa fedha 😁
Hivo ndivyo mmetupiku😉
Endelea kuficha kichwa kwenye mchanga.
Wala,Kumbe unafatilia kwa karibu Steshen za Kenya NTV. I like that 😉
Can only recommend if you are a regular. YouTube wanajua unapenda kufatilia Kenya.Wala,
Recommended by youtube.