Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Huu ndo u pumbavu sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndo u pumbavu sasa
Ficha upumbavu wako!!Huu ndo u pumbavu sasa
Ukrein wa mbezi oyeee!Wizara ya ulinzi ya urusi imesema majeshi yake yanajiondoa katika mji huo ili kupunguza madhara kwa vikosi vyake na kuokoa maisha ya raia wake.
urusi iliuchukua mji huo kutoka ukraine kupitia kura ya maoni mwezi uliopita ya kujitenga na ukraine.
ukiani haiitambui kura hiyo na imesema itatumia nguvu ya jeshi lake ili kutetea mipaka yake,
source:Rt
Lakini ikiwa kheson city center itaangukia mikononi mwa ukraine,hapo tafsiri ni kwamba kheson IPO chini ya udhibiti wa ukraine..,ni sawa na kuteka mji mkuu wa nchi..,ukishateka mji mkuu Ina mamlaka ya nchi Iko mikononi mwako,Hawajajiondoa Kherson yote Mkuu
Inamuumizaje na hatumii pesa zakeVita inamuumiza Zele.
Ana Kesha kupigania miji yake.
Mwenzake anamuhold na kumdemilitarize polepole.
Hili liko wazi sababu Huko Moscow life goes on. But Ukraine wote wanahaha mgeni yupo ndani yao.
Siku ambazo hesabu za FSB zikihamisha mnara. Vilio vitasikika.
Russia hapigani vita kwa hofu. Just tactics.
Let’s see
Hayo Magofu kwake vepee…Inamuumizaje na hatumii pesa zake
MaguHayo Magofu kwake vepee…
Unadhani anapewa pesa za bure. Niaje ww
Sawa HangayaMagu
Punguza jazba