Majeshi yetu Comoro: Who is responsible?

Majeshi yetu Comoro: Who is responsible?

Status
Not open for further replies.
Hi

Game Kwa Hakika Unafaa Kuwa Freemason Je Umewahi Kupenda Movement Hii Ya Freemasony ? Kwanza Jina Lako La Game Lina Maanda Kubwa Sana Katika Fmasony

Tuachane Na Hayo Kwa Hakika Nakupongeza Kwa Msimamo Wako Huu Na Inaonyesha Jinsi Gani Usivyokubali Kuburuzwa Au Usivyokubali Kulamba Miguu Ya Wengine

Wale Wote Wanaokuandikia Pm Waambie Hayo Maswali Wauliza Hapa Sehemu Nyeupe Ili Watupe Haki Wengine Kusoma Na Kujifunza Vitu Fulani

Kama Wanaamua Kuandika Pm Maana Yake Hao Sio Wazalendo Wanaogopa Fikra Na Mawazo Yao Kuwekwa Wazi Hawa Ndio Wasomi Mafisadi Kama Zombwe Alivyosema Katika Gazeti La Rai Ya Wiki Hii

Usiku Mwema

SHY

btw niliwahi kufanya summer internship na jamaa wa CFR sidhani kama wale ni ma masons kama watu wanavyotaka kuamini sema wengi wao ni ma critical theorists ila wanaopiga kelele wengi wao ni ma realists na hii imekuwa damage kwa CFR

kusema kweli siwalaumu watu wanaokuja na theories au innuendo kwani naamini kuna mambo mawili:

1) media black out

2) embeded media sasa sijui MKJJ ni mmoja wao au vipi lakini evidence iliopo inaekea huko

In this case mimi nashangaa hakuna anyeuliza hard questions kwenye hizo media na mbaya zaidi blogs na websites za waTZ (kasoro JF) wengine tumekataa kukubali hii status quo

lakini tusubiri mwenyewe MKJJ anaweza kuja kutuweka wazi inawezekana kabisa kuwa tuko on the wrong



bila kusahau

Kimya cha wapinzani na wanaojiita WASOMI toka vyuo mbali mbali kinatisha

Hivi akina Professor HAROUB OTHMAN,HAMZA NJOZI,MWEGIGA BAREGU na ISSA SHIVJI mbona wako kimya?
 
i) Pundit: Kwa hiyo kumbe kulikuwa na resolution ya AU, mimi sikuwa na hizi taarifa, ndiyo maana nikauliza, kama hivyo ndivyo sawa, lakini I doubt, labda uniwekee clip hapa. Watu wengine sisi bwana ni wabishe mpaka tuone, kina Tomaso sisi bwana...

ii) GT: Hivi kumbe waziri wetu wa ulinzi ni Adam Malima, hili sijui lilinipita wapi!!?

iii) mimi mwenyewe namshangaa sana MKJJ wakati mwingine, yaani anakuwa kama Uhuru bwana, hauwezi kutumia nafasi hiyo kuuliza maswali magumu? Hiyo ya kusema etu "vijana wetu wapo vitani hawapaswi kukatishwa tamaa" ni lugha ya Bush ambayo amekuwa akiitumia kuhalalisha vita yake ya kihuni huko Iraq na sisi tusingependa kabisa tutumie misemo yake ya kizembe kuhalalisha vijana wetu kupelekwa vita unnecessarily.

Kitila,

COMOROS: On the edge of a "military solution" 22 Feb 2008 17:30:19 GMT
Source: IRIN

JOHANNESBURG, 22 February 2008 (IRIN) - In line with a long tradition of foreign military intervention, official and clandestine, international forces are moving in to help the Union government of Comoros re-establish control over the renegade island of Anjouan and save the fragile three-island state in the Indian Ocean from falling apart.

After an African Union (AU) Peace and Security Council meeting on 20 February, the African body revised its stance on the political conflict in the Union of Comoros, moving from fruitless negotiation efforts to diffuse the conflict to backing the Union government's position of using military force. Four AU countries - Libya, Sudan, Senegal and Tanzania - have promised troops and military support.

"The meeting reiterated AU's commitment to the unity, territorial integrity and sovereignty of the Comoros," and "mandated the African Union Electoral and Security Assistance Mission (MAES) to the Comoros to deploy in Anjouan in order to facilitate the restoration of the authority of the Union in Anjouan," said an AU Communiqué.

The gathering "agreed on practical military and security measures aimed at supporting the decision taken by the Government of the Union of the Comoros to restore its authority in Anjouan."

A standoff between the authorities on Anjouan and the other two islands, Grande Comore and Moheli, has lingered since individual island elections were held in June 2007.

The archipelago's complex electoral system provides for a semi-autonomous government and president for each of the islands - Anjouan, Grand Comore and Moheli - with a rotating presidency for the over-arching Union government.

Neither Anjouan's self-proclaimed president, Mohamed Bacar, nor the Comoros Union government, which is demanding a fresh poll, is prepared to back down.

The AU said it would send a military and security evaluation team as well as a planning team to Comoros to make final arrangements.

Increasing international involvement

France has offered to transport the AU troops to the Indian Ocean archipelago. "We confirm France's readiness to provide support to the Tanzanian and Senegalese troops for their transport to the Comoros, that is, to the island of Grande Comoro or Moheli, but not to Anjouan," Agence France-Presse quoted French foreign ministry spokeswoman Pascale Andreani as saying.

"We want to show our support to the AU and to its determination to preserve the integrity and unity of the Comoros." The former colonial power's involvement came after reports of increasing anti-French sentiment in the former colony, amid rumours of possible French support for Bacar.

"There have been some protests and slogans against France painted on walls - some people might be suspicious that France was supporting Bacar and many expected France at least to raise its voice against what is happening on Anjouan," Union government spokesman Abdourahime Said Bakar told IRIN.

After more than 130 years of colonial rule, independence from France in 1975 led to three decades of political instability marked by 19 successful and attempted coups in Comoros.

The notorious French mercenary, Bob Denard, who died recently, orchestrated four of the coups and played a prominent role in Comoran political struggles, ousting and replacing presidents over the years until his final attempt was thwarted by France in 1995.

The Union government has acquired two Ukrainian helicopters and crews to back up its planned military operation, because "we only have one helicopter pilot" according to Said Bakar. Hundreds of Union government troops have been assembling on Moheli, which is closer to Anjouan than the larger island Grand Comore, and the helicopters would transport troops and equipment and evacuate the wounded, he said.

The Union government will need all the help it can get: most experts acknowledge that Bacar's forces are better trained, better equipped and more numerous. Attempts by the Union government in 1997 and 2007 to establish control of the island by force failed.

In an earlier interview with IRIN, Mohamed Bacar dismissed the threat of armed Union forces landing on Anjouan. "[National president Ahmed Abdallah Mohamed] Sambi does not know anything concerning the military, but if I had to advise him I would say that it's not the solution. The first time [1997] the army came we kicked them out. The second time [May 2007] the army came we kicked them out. That means that if they try to come a third time we will kick them out."

Earlier this week, the AU extended sanctions against Anjouan's leadership for the third time, but the Comoros Union government strongly rejected the move, claiming that sanctions - a maritime embargo and asset freeze - were having no impact on Bacar and were only prolonging the crisis.

The possibility of a new high-level mission, under the auspices of the AU, to try negotiating a peaceful resolution to the conflict prompted Said Bakar to reiterate the government's position to move in with the Union army and re-establish order on Anjouan.

"We know that his [Bacar's] answer will still be the same. Why give him more time?" The proposed AU mission would include representatives from Tanzania, South Africa, France and the United States (US), but it was still unclear as to when the delegation would arrive in Moroni, the national capital, situated on Grande Comore.

US engagement at this level was relatively new, Said Bakar commented. "Comoros has a strategic position in the Indian Ocean and in relation to the middle-east," and the US 'fight against terror' might also be a reason, but he welcomed the international support to help resolve the crisis.

Fazul Abdullah Mohammed, a Comoran national, is still wanted by the US for his role in the bombings of their Embassies in Dar es Salaam and Nairobi in Kenya on 7 August 1998.

"We continue to search for this known criminal, and I would again like to call for your assistance in capturing this man, which has tarnished the international reputation of Comoros. Only when he is captured will Comoros be free from the dark shadow he has cast," the former US ambassador to Mauritius, Seychelles and the Union of Comoros said in his outgoing speech in 2005.

"But I want to make it very clear - the United States is going to be there to help the Comoros over the long run, even after we capture this terrorist."

On the run

While Union forces, international troops and Bacar loyalists manoeuvre themselves into position, Anjouan's population has been scattering, seeking refuge on neighbouring islands or leaving the island capital, Mutsamudu, to find safety in the hills and smaller villages.

The UN Resident Coordinator in the Comoros, Opia Kumah, said a recent UN assessment, carried out in cooperation with the Comoros Red Crescent movement, confirmed movements from Anjouan to the other islands, but rumours of thousands moving to Moheli were an exaggeration and "there were a couple of hundred at most."

According to Said Bakar, over 2,500 Anjouanese had made their way to Grand Comore since the conflict flared in June 2007. The displaced people were mainly being taken in by relatives, but capacity to absorb them was wearing thin and leading to growing frustration.

Kumah said two factors were driving the displacement: the threat and violence associated with military action, and individuals thought to back the Union government being targeted by Bacar supporters. "There are rumours of human rights violations, of beatings, and even torture. Our biggest concern is the possibility of a humanitarian and human rights crisis."

Regardless of the military outcome, Kumah said, pro-Bacar and pro-Union sympathisers on Anjouan would be pitted against each other in the aftermath. "What we are afraid of is retaliation against the people who support Bacar. People might want to take revenge, but we want to take them to court. Bacar has committed high treason," Said Bakar remarked.

Besides the ongoing inter-island tension in the Union, there is also tension between the Union and the French territory of Mayotte. The Union of Comoros claims Mayotte - one of the four stars in the Comoran flag represents the island - and its claim is backed by the UN and the AU.

The archipelago's violent past has left Comorans heavily dependent on foreign aid and among the poorest people in Africa. In the view of Said Bakar, "This country should bury all its separatist ideas and allow Comorians to go into a stable and peaceful future." Many of the archipelago's people would probably agree with him.
 
GT kama walikutumia PM kukucriticize kwamba wewe ni unpatriotic, usishangae kwamba pengine inawezekana na jamaa wengine nao wamesha wa PM ili wasing'ate kwa nguvu, au wang'ate na kupuliza.

usifanye masihara na wanene ambao kwa ishu kama hizi career zao zipo hatarini iwapo wananchi watataka wapewe majibu halisi ya mambo.
 
I can't speak much about patriotism and all that bunch of propaganda, I really think the prevalent brand of patriotism is designed to keep people in line and has nothing to do with love of country.

I want to make it clear that I do not know if there are hidden motives which I do not support, but I do support the idea of Africans taking care of their own.

Hapa tusingefanya kitu pia Waafrika tungelaumiwa, tungeacha Mfaransa aje kuweka majeshi tungeambiwa waafrika hatuwezi kumaliza mambo yetu wenyewe.

We can't win, damned if we do, damned if we dont.



Lakini who are we to decide that Anjouan wasi succeed? Then tukishamaliza huko what about SOMALILAND, WESTERN SAHARA & DARFUR?

Umesahau kuwa international community juzi imekubali KOSOVO iwe huyu?

Sisi wazee wetu wanalipa kodi kutulinda na maadui wa nje na ndani na siyo kuwalinda wacomoro

mzee kama AU hawana pesa za helicopter kule DARFUR what makes you think kuwa hii operation ya Anjouan itafanikiwa?

Cha ajabu ni kuwa MEMBE kama foreign minister ametoa time table kuwa by 30 MISSION WILL BE ACCOMPLISHED but he forgot kuwa keeping peace ina hostile island kama kile si rahisi

Je media including akina MWANAKIJIJI msimamo wao uktakuwa huu wa kufuata wanachoa ambiwa na akina ASSAH MWAMBENE?

Sipendi kabisa jinsi tulivokuwa kept in the dark about the whole thing na knachonitisha zaidi ni kuwa media hakuna hata mmoja iliyo amua kuchu mlengo tofauti
 
Kitila anagalia "Protocol Relating to the Establishment of the Peace and Security Council of the African Union
Durban, South Africa, 10 July 2002" ambayo Comoro ni signatory.

Pia angalia "Cairo Declaration on The Mechanism for Conflict Prevention Management and Resolution" pia "The Lome Declaration for Framework on an OAU Response to Unconstitutional Change of Government"

[media]http://www.africa-union.org/root/au/Documents/Treaties/Text/Protocol_peace%20and%20security.pdf[/media]
 
GT kama walikutumia PM kukucriticize kwamba wewe ni unpatriotic, usishangae kwamba pengine inawezekana na jamaa wengine nao wamesha wa PM ili wasing'ate kwa nguvu, au wang'ate na kupuliza.

usifanye masihara na wanene ambao kwa ishu kama hizi career zao zipo hatarini iwapo wananchi watataka wapewe majibu halisi ya mambo.

mmoja kati ya PM niliyotumiwa.

zamani ulikuwa na tabia ya kuniuliza kwanza vipi sasa una ujasiri kiasi hiki mkuu?

Sasa unajua ndugu yangu kuwa hii imeshafika isikotakiwa nimeforwadiwa kwa verification?

Slow down kijana, bongo sio kama unavyoifikiria ndugu yangu, punguza speed the time will come not ready mkuu.

I hope umenielewa.


sasa cha kujiuliza yaani tukubali tuu kila kitu..mengine lakini tunaambiana tukusanye nguvu zote kupinga
 



Lakini who are we to decide that Anjouan wasi succeed? Then tukishamaliza huko what about SOMALILAND, WESTERN SAHARA & DARFUR?

Umesahau kuwa international community juzi imekubali KOSOVO iwe huyu?

Sisi wazee wetu wanalipa kodi kutulinda na maadui wa nje na ndani na siyo kuwalinda wacomoro

mzee kama AU hawana pesa za helicopter kule DARFUR what makes you think kuwa hii operation ya Anjouan itafanikiwa?

Cha ajabu ni kuwa MEMBE kama foreign minister ametoa time table kuwa by 30 MISSION WILL BE ACCOMPLISHED but he forgot kuwa keeping peace ina hostile island kama kile si rahisi

Je media including akina MWANAKIJIJI msimamo wao uktakuwa huu wa kufuata wanachoa ambiwa na akina ASSAH MWAMBENE?

Sipendi kabisa jinsi tulivokuwa kept in the dark about the whole thing na knachonitisha zaidi ni kuwa media hakuna hata mmoja iliyo amua kuchu mlengo tofauti

As stated before, you can debate the economics of this invasion but not the principle.Bacar alishamaliza muda wake akang'ang'ania kukaa ikulu unconstitutionally.

Binafsi ningependa kuona wanakwenda mpaka huko Darfur,Zimbabwe na kote kwenye ma dikteta kuwatoa, si tunataka umoja wa Afrika? Umoja wenyewe ndio huu.
 
Yeah right...selective umoja wa Afrika...
Wanakwenda kule wanakoona ni rahisi kushinda...
 
Kwanza tukubaliane kuwa hakuna basis ya kisheria ya kukataa uvamizi huu.

Pili the fact that the AU forces cannot be all over the continent does not mean they cannot start in one place, even if just to send a message.

Tatu all diplomatic means have been explored since June last year and Bacar has been afforded all means to end this diplomatically and split amicably, but he refused.

Nne AU forces zimeitwa na Frederal Government ya Comoro ambayo ni signatory ya peace protocol za AU zinazoruhusu military intervention.

Any way you cut it (unless you want to be cheap and then cry that Africans cannot take care of their own) this is a worthy mission.
 
Yeah right...selective umoja wa Afrika...
Wanakwenda kule wanakoona ni rahisi kushinda...

Of course, there are all sorts of strategic and economic constrains.Mimi naona hapa wamechagua wisely kwa sababu the price tag ya ku send a message itakuwa ndogo sana kulinganisha na mission kubwa kama ya Darfur. We have to crawl before we walk, walk before we run.

Jamani nyinyi si ndio mnaopigia kelele finances, sasa na hili nalo hamlioni?
 
While hundreds if not thousands are still being killed, mistreated, misplaced and more....in Darfur....
 
Why Sambi prefer a military solution to the diplomatic one?
why were we brought on board to Sambi's choice of a military operation instead of sanctions as it was previously suggested?.

What has mbeki seen which we could'nt see and vice versa?
 
GT kama walikutumia PM kukucriticize kwamba wewe ni unpatriotic, usishangae kwamba pengine inawezekana na jamaa wengine nao wamesha wa PM ili wasing'ate kwa nguvu, au wang'ate na kupuliza.

usifanye masihara na wanene ambao kwa ishu kama hizi career zao zipo hatarini iwapo wananchi watataka wapewe majibu halisi ya mambo.

I support the major objective,you cannot claim to be for democracy in Tanzania and be against an AU force aimed at ousting a despondent term extending dictator.


Lakini kwa hawa viongozi wetu kama mabo yenyewe ndiyo kampeni za PM siwezi kushangaa kama mission ina ufisadi na wana percents zao cha juu.
 
Kazi yao nini...mbona kila siku naona picha za watu walio kwenye mateso...

......Darfur is a very complicated issue.....especially when some Sudanese Government organs are used in fuelling the situation.

In short Sudanese Gov isn't ready.....contrary to what is happening with Comorros Federal Gov.
 
As stated before, you can debate the economics of this invasion but not the principle.Bacar alishamaliza muda wake akang'ang'ania kukaa ikulu unconstitutionally.

Binafsi ningependa kuona wanakwenda mpaka huko Darfur,Zimbabwe na kote kwenye ma dikteta kuwatoa, si tunataka umoja wa Afrika? Umoja wenyewe ndio huu.



Point yangu towards mwanakijiji ni kwa sabau nina imani kuwa independent, aggressive and critical media are essential to an informed democracy, however mainstream media(IPPMEDIA et al) are increasingly cozy with the economic and political powers they should be regulating ndio maana some of us opt to come here and read about different opinions

Tatizo la media Tanznia ni kuwa at worst, they are openly partisan in favour of JK and his team, at best, cowed into withholding criticism of his administration - and policy on militarism kama hii ya Comoro

MKJJ is not exempt on this either


These are sad days for our democracy
 
Why Sambi prefer a military solution to the diplomatic one?
why were we brought on board to Sambi's choice of a military operation instead of sanctions as it was previously suggested?.

What has mbeki seen which we could'nt see and vice versa?

Bacar was given all diplomatic options since mid 2007, all he has been doing is dilly dallying and buying time.

Sanctions will only hurt the unintended, poor people of Anjouan.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom