Majeshi yetu Comoro: Who is responsible?

Status
Not open for further replies.
na Gaddafi ile cash point imekatwa so waliokuwa wakienda libya kuvuta sjui itakuwaje

Na hii na mwanajeshi wa nchi maskini kukutwa na trilioni 3 kwenye akauti yake binafsi kama ni kweli, itakuwa global news. Sishangai kama Waingereza na donors wengine wakachukua route waliochukua kule Malawi.
 
Na hii na mwanajeshi wa nchi maskini kukutwa na trilioni 3 kwenye akauti yake binafsi kama ni kweli, itakuwa global news. Sishangai kama Waingereza na donors wengine wakachukua route waliochukua kule Malawi.

mhhh the issue hapa ni kuwa aliyekuwa kimbele mbele na hii vita hana tena war chest kwa ajili ya 2015 Gadafi hali mbaya na potential candidates washajua kama jamaa ni threat sasa na yeye anamwaga vitu vyake

Just like in the GAME OF THRONES kila mmoja anaangalia maslahi...and you know what the dude is a hustler!

Mimi namshauri apide dili na akina ma Mulla wa Tehran atapata...japo channel ya kule ni ya Rostam yaani imekuwa kama vile mbwa kala mbwa
 
Reactions: EMT
Probably ndio zimeshangia account ya mwanajeshi kuwa na trilioni 3?

Unajua napata picha nyingine hapa kwamba usikute pia kodi zetu zilikuwa diverted kama kwenda kusaidia Comoro na baadaye mifukoni mwa shimbo!
 
Reactions: EMT
hapo kwenye red unamaanisha Membe au Balhaboo?? maana hao ndio walikua "wanavuta" - allegedly!!

au wote wawili?
 
Kumbe hii ndiyo operation iliyoongozwa na Brigadier general Chacha Igoti!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…