Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,750
Haya ni mambo ya NGOSWE bora aachiwe ,nikianza kupima naona hapa kuna tactic flani inataka kutumika au inataka kutumiwa na Serikali ya Muungwana ,ni lipi hilo ,ok nitawachoma kidogo ili muamke.
Unajua serikali iliyopo madarakani imekwama na ina matatizo ambayo si madogo yanayoweza kusababisha kuanguka kifudifudi,hivyo imetafuta mbinu za kupindisha mawazo ya WaTanzania na kuyaelekeza Comoro kwa nguvu zote ,faida itakayopatikana hapa ni kuifunika hoja za ufisadi na uwizi huku wakiijadili mbio mbio tena chini chini na kuimaliza kinyemela nyemela wakati waTz wameshugulika na vita ,mapambano ndio yameanza akili za watZ zimeanza kuhamia Comoro kidogo kidogo na karibu zitashika kasi.
Uamuzi ni wenu tukirudi hali itakuwaje au mambo yashamalizika na kufungwa.
Unajua serikali iliyopo madarakani imekwama na ina matatizo ambayo si madogo yanayoweza kusababisha kuanguka kifudifudi,hivyo imetafuta mbinu za kupindisha mawazo ya WaTanzania na kuyaelekeza Comoro kwa nguvu zote ,faida itakayopatikana hapa ni kuifunika hoja za ufisadi na uwizi huku wakiijadili mbio mbio tena chini chini na kuimaliza kinyemela nyemela wakati waTz wameshugulika na vita ,mapambano ndio yameanza akili za watZ zimeanza kuhamia Comoro kidogo kidogo na karibu zitashika kasi.
Uamuzi ni wenu tukirudi hali itakuwaje au mambo yashamalizika na kufungwa.