Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 141
In principle kuna clause za ku protect constitution za AU ambazo Zimbabwe ni signatory, kwa hiyo hata kina Tsvangirai wanaweza kuita majeshi ya AU kama wanaweza ku build a case against Mugabe.
Charter ya AU ilivyo sasa hivi is such that mtu akileta umafia kama wa Iddi Amin inawezekana kwa AU kuingilia.Enzi za OAU ilikuwa haiwezekani mpaka Nyerere akafanya umafia kumvamia halafu Amin kama kawaida yake mapepe alivyojibu mapigo kama mchonga alivyotaka Nyerere ndipo akaanza kulia tumevamiwa na nduli
Charter ya AU ilivyo sasa hivi is such that mtu akileta umafia kama wa Iddi Amin inawezekana kwa AU kuingilia.Enzi za OAU ilikuwa haiwezekani mpaka Nyerere akafanya umafia kumvamia halafu Amin kama kawaida yake mapepe alivyojibu mapigo kama mchonga alivyotaka Nyerere ndipo akaanza kulia tumevamiwa na nduli