Weka collant kwa sababu boiling point yake iko juu ya boiling point ya maji ndio maana huwa coolant inachelewa kuisha kwenye rejeta. Na kama unatumia maji tumia haya maji ya kunywa ya chupa badala ya maji ya bomba, maji ya chupa yana chembe chembe chache za kutu kuliko maji ya bomba