Maji kutoka kwenye bomba la kutolea moshi

Maji kutoka kwenye bomba la kutolea moshi

Habari wadau. Kila siku asubuhi nikiwaasha gari kunatoka maji kwenye bomba la kutolea moshi. Wengine wanasema ni ubora wa engine, wengine wanasema engine ina matatizo. Ukweli ni upi? Iwe ubora au matatizo ya engine, nikiufikiria mfumo wa engine yenyewe, maji hayo yanapatikanaje huko? Naomba msaada.
Elimu ya form 2 kabla hatujaanza chagua combi
 
Sisi wakati tunasoma nyie mnamuangalia mwalimu na rula muone wako wanne
Maji hayatakiwa kutoka kwenye exhaust pipe. Ukiona hivyo fahamu kuna leakage kwenye mfumo wa maji....kuna gaskets zimeharibika au kuna tatizo mahali . Maji yanapenya kwenda kwenye exhaust system kupitia kwenye Ebgine block sejhemi...ipo shida mahali...mostly gaskets.
 
Maji hayatakiwa kutoka kwenye exhaust pipe. Ukiona hivyo fahamu kuna leakage kwenye mfumo wa maji....kuna gaskets zimeharibika au kuna tatizo mahali . Maji yanapenya kwenda kwenye exhaust system kupitia kwenye Ebgine block sejhemi...ipo shida mahali...mostly gaskets.
Lakini mbona maji ya kwenye rejeta level iko sawa?,hayo maji ni tofauti na ya rejeta?
 
Magari ya kuanzia 2000's yana mfumo wa catalyst conveter ambao ni rafiki wa mazingira, yani kiufupi wanaotengeneza magari wamehama kutoka kwenye mfumo wa kutoa mimoshi hadi kwenye mfumo wa kutoa mvuke na maji ili kupunguza hewa ukaa.
 
Maji hayatakiwa kutoka kwenye exhaust pipe. Ukiona hivyo fahamu kuna leakage kwenye mfumo wa maji....kuna gaskets zimeharibika au kuna tatizo mahali . Maji yanapenya kwenda kwenye exhaust system kupitia kwenye Ebgine block sejhemi...ipo shida mahali...mostly gaskets.
unachoongea ni kinyume ndugu yako gari yako hasa isipotoa hayo maji ujue haliko sawa.
 
Magari ya kuanzia 2000's yana mfumo wa catalyst conveter ambao ni rafiki wa mazingira, yani kiufupi wanaotengeneza magari wamehama kutoka kwenye mfumo wa kutoa mimoshi hadi kwenye mfumo wa kutoa mvuke na maji ili kupunguza hewa ukaa.
Hili ndio jibu ndugu yangu.Hii kifaa kinafungwa kati ya engine na muffler.Unaweza dhani kuwa ni muffler nyingine iliyo mbele.Magari ya kisasa hasa kuanzia mwaka 2000 yana hiki kifaa.Kazi yake ni kuondoa gas za sumu kama carbon monoxide(CO),Nitrogen oxide(NO)X na hadrocarbons(HC)X ili zisichafue mazingira.Kwa nchi zilizoendelea hiki kifaa ni muhimu sana.
Faida ya hiki kifaa ni kwamba kinasaidia kufanya gari liwe na nguvu na pia kufanya gari litumie mafuta kidogo.Kikiondolewa gari linakosa nguvu na linatoa moshi mwingi wakati linatembea.
Angalia picha chini
 

Attachments

  • Catalyst convertor.PNG
    Catalyst convertor.PNG
    38.4 KB · Views: 10
Back
Top Bottom