Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Elimu ya form 2 kabla hatujaanza chagua combiHabari wadau. Kila siku asubuhi nikiwaasha gari kunatoka maji kwenye bomba la kutolea moshi. Wengine wanasema ni ubora wa engine, wengine wanasema engine ina matatizo. Ukweli ni upi? Iwe ubora au matatizo ya engine, nikiufikiria mfumo wa engine yenyewe, maji hayo yanapatikanaje huko? Naomba msaada.
Maji hayatakiwa kutoka kwenye exhaust pipe. Ukiona hivyo fahamu kuna leakage kwenye mfumo wa maji....kuna gaskets zimeharibika au kuna tatizo mahali . Maji yanapenya kwenda kwenye exhaust system kupitia kwenye Ebgine block sejhemi...ipo shida mahali...mostly gaskets.
Lakini mbona maji ya kwenye rejeta level iko sawa?,hayo maji ni tofauti na ya rejeta?Maji hayatakiwa kutoka kwenye exhaust pipe. Ukiona hivyo fahamu kuna leakage kwenye mfumo wa maji....kuna gaskets zimeharibika au kuna tatizo mahali . Maji yanapenya kwenda kwenye exhaust system kupitia kwenye Ebgine block sejhemi...ipo shida mahali...mostly gaskets.
unachoongea ni kinyume ndugu yako gari yako hasa isipotoa hayo maji ujue haliko sawa.Maji hayatakiwa kutoka kwenye exhaust pipe. Ukiona hivyo fahamu kuna leakage kwenye mfumo wa maji....kuna gaskets zimeharibika au kuna tatizo mahali . Maji yanapenya kwenda kwenye exhaust system kupitia kwenye Ebgine block sejhemi...ipo shida mahali...mostly gaskets.
Hili ndio jibu ndugu yangu.Hii kifaa kinafungwa kati ya engine na muffler.Unaweza dhani kuwa ni muffler nyingine iliyo mbele.Magari ya kisasa hasa kuanzia mwaka 2000 yana hiki kifaa.Kazi yake ni kuondoa gas za sumu kama carbon monoxide(CO),Nitrogen oxide(NO)X na hadrocarbons(HC)X ili zisichafue mazingira.Kwa nchi zilizoendelea hiki kifaa ni muhimu sana.Magari ya kuanzia 2000's yana mfumo wa catalyst conveter ambao ni rafiki wa mazingira, yani kiufupi wanaotengeneza magari wamehama kutoka kwenye mfumo wa kutoa mimoshi hadi kwenye mfumo wa kutoa mvuke na maji ili kupunguza hewa ukaa.