MAJI MAJI rebellion 1905-1907(Prove that Tanzanians were dumb since)


Utaahira wako unajidhihirisha kwa kutokutambua kuwa mzungu alitawala Tanzania kwa muda mrefu kuliko CCM.
 
Na tulipata maendeleo hasa..hivi hospitali ya muhimbili aliijenga nani vile?
Utaahira wako unajidhihirisha kwa kutokutambua kuwa mzungu alitawala Tanzania kwa muda mrefu kuliko CCM.
 
Dumbest of the highest order
Sasa British East Africa unaihesabia kama today's independent Kenya?

Nyie mlienda kama mbwa wa muingereza to serve your master's interests.
Sasa nyie kama Danganyika mna-serve which masters at LDC level? The best way to attack your adversery is to adopt His game by joining Him and beating Him at your own game na hapo we have achieved fully hadi Theresa May akaja Kenya to mend things in anticipatation of a takeover... Sisi tuna-lead the war against it on behalf of Afrikans.
 
You are more than weak I swear
 

Ulikua ujinga sana mababu zenu kujianika mbele ya risasi kisa wameoshwa kwa maji, ndio maana wengi mlirithi huo ujinga hadi leo mna kla kitu lakini maskini mwanzo mwisho.
 
You people from the slums are very talkative.Mngekuwa na akili timamu msingeendekeza ukabila na kuwaachia mabepari ardhi yenu.Ninaaaa nyieeee.
Julius Malema kila akiwapa wake up call these people bado wako usingizini. Kipindi fulani wakaja na hoja ya ndani ya EA kuweza kupata haki za kumiliki ardhi ndani ya EA tukawachekiiiii...Kenyans pamoja na huu utani wetu humu suala la ardhi ni ticking bomb soon or later litawalipukia.
 
Hiyo para ya mwisho isome mbele ya wakenya wenzako kisha tizama reaction yao usoni utajua jwtz ni nini hasa.
 
Kwa maneno Wengine unasema Uhuru na ukoloni bora ukoloni. Hakiyanani nyinyi watu ni wakufunga jiwe na kutupwa baharini. Hivi hamuoni SA wanavyojitahidi kujitoa ktk makucha ya wazungu na miaka 24 baada ya uhuru wao? Na unajiita Mtanzania?
 
Na tulipata maendeleo hasa..hivi hospitali ya muhimbili aliijenga nani vile?
Hapa unafanya kauli ya hiyo jamaa isitiliwe mashaka. Pls pamoja umesoma kama unavyosema fikiri kabla ya kuandika humu
 
Kwa maneno Wengine unasema Uhuru na ukoloni bora ukoloni. Hakiyanani nyinyi watu ni wakufunga jiwe na kutupwa baharini. Hivi hamuoni SA wanavyojitahidi kujitoa ktk makucha ya wazungu na miaka 24 baada ya uhuru wao? Na unajiita Mtanzania?
Mimi ni mtanzania damu 100%. Na ninaipenda nchi yangu sanaaaa. Ila naumia kuona tunashindwa kupata maendeleo ya kweli kwa hiyo hatuna budi kuukubali ukweli na kujifunza kutoka kwa walio bora.
 
Mimi ni mtanzania damu 100%. Na ninaipenda nchi yangu sanaaaa. Ila naumia kuona tunashindwa kupata maendeleo ya kweli kwa hiyo hatuna budi kuukubali ukweli na kujifunza kutoka kwa walio bora.
....Bora ukae kimnya brodah!, You prove them right.
 
Mimi ni mtanzania damu 100%. Na ninaipenda nchi yangu sanaaaa. Ila naumia kuona tunashindwa kupata maendeleo ya kweli kwa hiyo hatuna budi kuukubali ukweli na kujifunza kutoka kwa walio bora.
So bora tungetawaliwa? Is that what you are saying? Nah my countrey spare me this ideas please....uzalendo ni Imani na hapa niko nataifuta kwako bado sijaiona kama unahisi tungewaacha ili tujifunze maendeleo kwao I don't think I will find it in you
 
Ulikua ujinga sana mababu zenu kujianika mbele ya risasi kisa wameoshwa kwa maji, ndio maana wengi mlirithi huo ujinga hadi leo mna kla kitu lakini maskini mwanzo mwisho.
Ni bora kuliko kukubali mateso ya mjerumani

Kwahiyo wewe Ulitaka wasimkabili mjerumani mpaka wavumbue nuclear bomb 💣?

Akili huna hata moja,
 
Mimi naishia hapa kama mdau mmoja alivyotoa ushauri. Unajuwa kabisa mimi ni mzalendo 100% . ninayoyaongea ni kwa faida ya sisi wote. Tuchemshe ubongo na tunawatendee haki wananchi wetu.
So bora tungetawaliwa? Is that what you are saying? Nah my countrey spare me this ideas please....uzalendo ni Imani na hapa niko nataifuta kwako bado sijaiona kama unahisi tungewaacha ili tujifunze maendeleo kwao I don't think I will find it in you
 
Hii thread imenipa picture ni jinsi gani watu hawana akili

Binafsi nimesoma precolonial Africa na postcolonial Africa nimesoma pia torture, brutality, exploitation, killing, manipulation, discrimination, scrambling, alienation, ambush and all sorts of animalistic and barbaric deeds outsiders they did towards Africa and Africans

It's so astonishing to see a modern African disgrace whatever the means their ancestors used to get rid from the western animals kiukweli inashangaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…