MAJI MAJI rebellion 1905-1907(Prove that Tanzanians were dumb since)

MAJI MAJI rebellion 1905-1907(Prove that Tanzanians were dumb since)

APATE uhuru*
Mzungu
Aende
Ulaya
Mwafrika
Apate
Amani
Tell us about MAUMAU
Mababu zetu hawakuomba wapewe uhuru ambao walikuwa nao kabla ya mzungu kutua pwani ya Afrika mashariki na bibilia yake mkononi, walimpa mzungu dawa yake kupitia mtutu wa bunduki. Someni uzi huu hapa kuhusu mbinu walizotumia Mau Mau kwenye vita dhidi ya mkoloni. https://www.jamiiforums.com/threads...he-komerera-and-the-women-combatants.1405501/
 
I have been wondering why Tanzanians are so dumb...buts its not them to blame it's there ancestors,they inherited stupidity;If you studied history in High school you might have come across this Maji Maji rebellion in Tanganyika against the Germans in 1905-1907 they believed that water would protect them from live bullets [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..at the end majority died(waliona thitimaaaa [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] ).
So we should not blame [emoji22] [emoji22] [emoji22]
Feelings mpeleke choo.
Im a Tanzanian and all Tanzanian agree.
btw do you aware of Chief Mangungo story?
 
Ni bora kuliko kukubali mateso ya mjerumani

Kwahiyo wewe Ulitaka wasimkabili mjerumani mpaka wavumbue nuclear bomb 💣?

Akili huna hata moja,

Kwani pamoja na hao mababu zenu kuanika umbumbubu wao, mwisho wa siku mlitawaliwa na Mjerumani na Muingereza na Mwarabu ovyo kabisa, na leo Mwarabu kwanza ndio anamiliki asilimia kubwa ya kila kitu kwenu akifuatiwa na muhindi hatimaye Mtanganyika amebakia na mahandaki matupu na makopo
 
I have been wondering why Tanzanians are so dumb...buts its not them to blame it's there ancestors,they inherited stupidity;If you studied history in High school you might have come across this Maji Maji rebellion in Tanganyika against the Germans in 1905-1907 they believed that water would protect them from live bullets [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..at the end majority died(waliona thitimaaaa [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] ).
So we should not blame [emoji22] [emoji22] [emoji22]
Feelings mpeleke choo.
Aise.umetutukana sana yan.mbn nyie story zenu za kina MAU MAU mliwategemea San wanawake,na Kenya mmekua wavivu tangu babu zenu
 
Aise.umetutukana sana yan.mbn nyie story zenu za kina MAU MAU mliwategemea San wanawake,na Kenya mmekua wavivu tangu babu zenu
Acha stori zako za vijiweni, kwenye ngazi za juu za uongozi wa Mau Mau kulikuwa na mwanamke mmoja tu, Field Marshal Muthoni Wa Kirima na wapiganaji wengine kadhaa wa kike kama shujaa Muthoni Likimani. Hao wanawake wengine baada ya mabwana zao kujiunga na wapigananaji wa Mau Mau, waliamua wenyewe kufanyia ujasusi Mau Mau na kukwepa mabomu na risasi za mkoloni wakiwapelekea vyakula kwenye maficho yao kule misitu ya Ml. Kenya na ya Milima ya Abardere Ranges. Yaani wanawake wa kikenya hawakuridhika kukaa kitako nyumbani kama kondoo wakingoja vita viishe. Big up kwao!
 
Ni bora kuliko kukubali mateso ya mjerumani

Kwahiyo wewe Ulitaka wasimkabili mjerumani mpaka wavumbue nuclear bomb 💣?

Akili huna hata moja,

Walifaa watumie akili ya jinsi ya kumkabili sio kwenda kijinga jinga na kujianika mbele ya risasi, mlirithi hayo...
MauMau Kenya walimkabili Muingereza kwa mapanga na mtutu
 
Kwani pamoja na hao mababu zenu kuanika umbumbubu wao, mwisho wa siku mlitawaliwa na Mjerumani na Muingereza na Mwarabu ovyo kabisa, na leo Mwarabu kwanza ndio anamiliki asilimia kubwa ya kila kitu kwenu akifuatiwa na muhindi hatimaye Mtanganyika amebakia na mahandaki matupu na makopo
Hapo Kenya wahindi na wazungu wanamiliki asilimia ngapi ya rasilimali zenu? Tena namuona mchina naye anampango wa kufanya kama alichokifanya Zambia, mchana kweupe kabisaa
 
Walifaa watumie akili ya jinsi ya kumkabili sio kwenda kijinga jinga na kujianika mbele ya risasi, mlirithi hayo...
MauMau Kenya walimkabili Muingereza kwa mapanga na mtutu
Hiyo ilikuwa ni saikolojia ya kuwapa ujasiri, na bado haikuwazuia kutumia siraha za jadi ambazo walikuwa wanazo.
 
Hiyo ilikuwa ni saikolojia ya kuwapa ujasiri, na bado haikuwazuia kutumia siraha za jadi ambazo walikuwa wanazo.

Ndio yale yale mumeendekeza hadi leo eti ukimchinja albino shida zako zote zitaisha
 
Ndio yale yale mumeendekeza hadi leo eti ukimchinja albino shida zako zote zitaisha
Hilo halihusiani na saikolojia ya vita, turudi hapo kwenye vita, maana hadi leo lazima uwajenge wanajeshi kisaikolojia wasiogope lolote ilihali kifo kiko mbele yao, nyuma, koshoto na kulia.
 
Hilo halihusiani na saikolojia ya vita, turudi hapo kwenye vita, maana hadi leo lazima uwajenge wanajeshi kisaikolojia wasiogope lolote ilihali kifo kiko mbele yao, nyuma, koshoto na kulia.

Motivational speech za kuwajenga kisaikolojia hilo tofauti na kuwavika ujinga eti maji yatazuia risasi.
 
Motivational speech za kuwajenga kisaikolojia hilo tofauti na kuwavika ujinga eti maji yatazuia risasi.
Kuna tofauti gani na kuvaa bullet proof kwenye kiwiliwili tu ilihali sehemu nyingine ziko wazi?
Yote ni kumfanya mtu ajione yuko safe wakati kiuhalisia hayuko salama hata kidogo
 
Kuna tofauti gani na kuvaa bullet proof kwenye kiwiliwili tu ilihali sehemu nyingine ziko wazi?
Yote ni kumfanya mtu ajione yuko safe wakati kiuhalisia hayuko salama hata kidogo

Hehehe halafu upo radhi kukeshea hili na kulishikia bango, naskia Mwalimu Nyerere alitoa amri msiliwe kwenye madini hadi siku mtaelimika, ila nyie ndio wale wale mlirithi kutoka kwa maji maji rebellion.
 
Hehehe halafu upo radhi kukeshea hili na kulishikia bango, naskia Mwalimu Nyerere alitoa amri msiliwe kwenye madini hadi siku mtaelimika, ila nyie ndio wale wale mlirithi kutoka kwa maji maji rebellion.
Kurithi? Wewe na mfungua uzi rudini darasani mkasome genetics, halafu ukimaliza urudi utwambie kama vile vimadini vyenu vichache haviibwi vinafanya nini!
 
Hilo halihusiani na saikolojia ya vita, turudi hapo kwenye vita, maana hadi leo lazima uwajenge wanajeshi kisaikolojia wasiogope lolote ilihali kifo kiko mbele yao, nyuma, koshoto na kulia.
Unabishana na taahira kaka
Japo vita ilitokea 1905 lakini wale wamemzidi akili hii mungiki ya 2018

Kama ingekua ni vita ya kipumbavu kama anavyoichukulia isingepiganwa kwa zaidi ya miaka mitatu mfululizo wanaume wapo vitani mamia ya wajerumani walikufa mali na mashamba yalichomwa moto na wengi wao waliikimbia nchi kutokana na fukuto la Kinjekitile
 
Kwani pamoja na hao mababu zenu kuanika umbumbubu wao, mwisho wa siku mlitawaliwa na Mjerumani na Muingereza na Mwarabu ovyo kabisa, na leo Mwarabu kwanza ndio anamiliki asilimia kubwa ya kila kitu kwenu akifuatiwa na muhindi hatimaye Mtanganyika amebakia na mahandaki matupu na makopo
😁 😁 😁 mungiki leo umevuta ganja ya meru au ya ushago

Eti muhindi na muarabu wanamiliki rasilimali 😂 😂 😂 😂
Tanzania rasilimali ni za umma sio Kenya shimo la choo cha public kila mja anaachia dimba

Kenya is the property of mzungu and Somalis 💯
 
Walifaa watumie akili ya jinsi ya kumkabili sio kwenda kijinga jinga na kujianika mbele ya risasi, mlirithi hayo...
MauMau Kenya walimkabili Muingereza kwa mapanga na mtutu
whatever the means they used, I will stand firm with them on fighting against any barbaric westerners mimi sina akili kwenye kisigino kama wewe, nitoe huko kabisa mimi sio level yako
 
Back
Top Bottom