Maji na Umeme imekuwa janga la taifa, Serikali tusaidieni kazi zimesimama vyakula vinaharibika kweye friji

Maji na Umeme imekuwa janga la taifa, Serikali tusaidieni kazi zimesimama vyakula vinaharibika kweye friji

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
Serikali Serikali Serikali, mrudisheni Waziri Kalemani haya tunayo yapitia hata kama ni kukarabati, inamaana huu ukarabati ndio utafanya umeme uwe wa bei rahisi au utakuwa na nguvu zaidi ya kawaida au utakuwaje mwenzenu sijaelewa

Mboga zote na vyakula kwenye friji tumeanza kuvila ili viishe pamoja na kwamba vilikuwa vya bajeti ya wiki na mwezi.

Tusaidieni umeme ukatike saa1 asubhi kurudishwa jioni kweli, haya ma jenereta yanatuharibia vyombo vya ndani, MAJI sasa ndio hatuta zungumzia.
 
Sehemu gani hiyo yenye changamoto ya umeme? Maji kuna mgao sehemu zenye miiunuko, mimi sehemu nayokaa maji yapo hayakatiki kabisa na hata umeme ukikatika basi TANESCO wanatoa taarifa siku 3 kabla kwamba kutakuwa na maintanance! Tatizo langu na tanesco ni moja tu delay katika kuunganisha watu umeme.
 
Maji na umeme kwa namna neno 'janga' lilivyotumika kwenye uzi huu hivyo vitu haviwezi kuwa janga kwani vina mbadala wake kutatua ukosefu wake, kuna maelfu wanaishi bila hizo huduma na maisha yanaenda.

Ili kitu kiwe janga ni lazima watu wafe kwa wingi. Kuna majanga ya asili na majanga yanayosababishwa na binadamu, majanga ya asili ni kimbunga, ukame, tetemeko la ardhi, na matatizo mengine yanayofanana na hayo ambayo huibuka na kuleta shida kwa viumbe hai.

Majanga yasababishwayo na binadamu ni vita na mengine ambayo humpa changamoto binadamu kuyatatua.

Sasa haya ya kukatika umeme na maji hayaui watu kiasi cha kutisha jenereta na sola zipo, mito, visima na mabwawa yapo
 
Maji na umeme kwa namna neno 'janga' lilivyotumika kwenye uzi huu hivyo vitu haviwezi kuwa janga kwani vina mbadala wake kutatua ukosefu wake, kuna maelfu wanaishi bila hizo huduma na maisha yanaenda.

Ili kitu kiwe janga ni lazima watu wafe kwa wingi. Kuna majanga ya asili na majanga yanayosababishwa na binadamu, majanga ya asili ni kimbunga, ukame, tetemeko la ardhi, na matatizo mengine yanayofanana na hayo ambayo huibuka na kuleta shida kwa viumbe hai.

Majanga yasababishwayo na binadamu ni vita na mengine ambayo humpa changamoto binadamu kuyatatua.

Sasa haya ya kukatika umeme na maji hayaui watu kiasi cha kutisha jenereta na sola zipo, mito, visima na mabwawa yapo
Nafikiri kipindi cha nyuma chakula, malazi na mavazi(kama sijakosea) ndivyo vilikua vitu vya msingi. Maisha yamehadilika sana. Matumizi na internet, simu, uwepo wa umeme, utabiri wa hali ya hewa unaoeleweka ni miongoni mwa vitu vya msingi katika maisha ya binadamu wa sasa.
 
Maji na umeme kwa namna neno 'janga' lilivyotumika kwenye uzi huu hivyo vitu haviwezi kuwa janga kwani vina mbadala wake kutatua ukosefu wake, kuna maelfu wanaishi bila hizo huduma na maisha yanaenda.

Ili kitu kiwe janga ni lazima watu wafe kwa wingi. Kuna majanga ya asili na majanga yanayosababishwa na binadamu, majanga ya asili ni kimbunga, ukame, tetemeko la ardhi, na matatizo mengine yanayofanana na hayo ambayo huibuka na kuleta shida kwa viumbe hai.

Majanga yasababishwayo na binadamu ni vita na mengine ambayo humpa changamoto binadamu kuyatatua.

Sasa haya ya kukatika umeme na maji hayaui watu kiasi cha kutisha jenereta na sola zipo, mito, visima na mabwawa yapo
Maji uyatoe kwenye maelezo yako maji ni muhimu huwezi kuishi bila maji ukiona kuna changamoto za za maji basi ujue vyanzo vimepungua sio mito wala mabwawa
 
Mama tangu lini akajua matatizo nyumbani yeye anajua vyakula vimeisha au bado ndani.
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA TANESCO MKOA WA MOROGORO .

TAARIFA YA KUOMBA RADHI KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME MKOA WA MOROGORO.

Shirika la umeme Tanzania TANESCO Mkoa wa MOROGORO linaomba radhi wateja wake kwa kukosekana kwa huduma ya umeme kutokana na hitilafu iliyojitokeza katika kituo cha kupokea na kupooza umeme Msamvu.

Tarehe :16/11/2021

Siku :Jumannne.

Sababu: Hitilafu imejitokeza katika transfoma kubwa la T4 na team inaendelea na uchunguzi kubaini tatizo ili kuhakikisha huduma inarejea kama kawaida.

Maeneo yanayoathirika ni:
Manisipaa ya Morogoro, Wilaya ya Kilosa,Wilaya ya Morogoro vijijini,Baadhi ya Maeneo ya Wilaya ya Mvomero pamoja na maeneo yanayotumia laini hizo:

JUHUDI ZILIZOFANYIKA

Tayari team yetu ziko saiti kuemdelea kuhakikisha huduma inarejea.

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu utakaokuwa umejitokeza.

Tahadhari usishike wala kukanyaga nyaya zilizolala chini toa Taarifa Emergency kupitia namba 0677063001/0684889272

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100

Tovuti: www.tanesco.co.tz,

Mitandao ya kijamii

Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,

Facebook https://www.facebook.com/tanescoyetultd/

Imetolewa na:
*OFISI YA UHUSIANO NA HUDUMA KWA WATEJA- MOROGORO.
 
Serikali Serikali Serikali, mrudisheni Waziri Kalemani haya tunayo yapitia hata kama ni kukarabati, inamaana huu ukarabati ndio utafanya umeme uwe wa bei rahisi au utakuwa na nguvu zaidi ya kawaida au utakuwaje mwenzenu sijaelewa

Mboga zote na vyakula kwenye friji tumeanza kuvila ili viishe pamoja na kwamba vilikuwa vya bajeti ya wiki na mwezi.

Tusaidieni umeme ukatike saa1 asubhi kurudishwa jioni kweli, haya ma jenereta yanatuharibia vyombo vya ndani, MAJI sasa ndio hatuta zungumzia.

459E1D75-1DF4-449A-8318-FDC37D4943EA.jpeg
 
Serikali iko makini kwenye kumkamua mnyonge tuu.. Haya mengine hayawahusu
 
Maji na umeme kwa namna neno 'janga' lilivyotumika kwenye uzi huu hivyo vitu haviwezi kuwa janga kwani vina mbadala wake kutatua ukosefu wake, kuna maelfu wanaishi bila hizo huduma na maisha yanaenda.

Ili kitu kiwe janga ni lazima watu wafe kwa wingi. Kuna majanga ya asili na majanga yanayosababishwa na binadamu, majanga ya asili ni kimbunga, ukame, tetemeko la ardhi, na matatizo mengine yanayofanana na hayo ambayo huibuka na kuleta shida kwa viumbe hai.

Majanga yasababishwayo na binadamu ni vita na mengine ambayo humpa changamoto binadamu kuyatatua.

Sasa haya ya kukatika umeme na maji hayaui watu kiasi cha kutisha jenereta na sola zipo, mito, visima na mabwawa yapo
Umeongea pumba, kuna watu wanategemea umeme ndo waingize kipato chao cha kila siku, umeme unakatika saa moja asubui unarudi saa moja jioni kwa wiki moja mfululizo huyo mtu ataishi vipi?
 
Sehemu gani hiyo yenye changamoto ya umeme? Maji kuna mgao sehemu zenye miiunuko ,mimi sehemu nayokaa maji yapo hayakatiki kabisa na hata umeme ukikatika basi TANESCO wanatoa taarifa siku 3 kabla kwamba kutakuwa na maintanance! Tatizo langu na tanesco ni moja tu delay katika kuunganisha watu umeme.
Habari.

Kuna watu waliimba na kuhubiri,
Kusujudu na kurukaruka.
Kunywa bia na kuponda bata la kufa mtu kwamba kwa maisha yao yatakuwa bora mno baada ya Magufuli.

Leo ni miezi 8 bila Magufuli lakini kila wakigeuka huku hakuna umeme, wakigeuka hakuna maji ,wakigeuka huku mbolea lakini moja, wakigeuka huku wanafukuzwa kwenye migodi ,wakigeuka huku wanafukuzwa kwenye mitaa, wakigeuka huku Mungu wao yuko jela kwa ugaidi.

Leo ndiyo wamejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili yao?
Jinga kabisa na bado mtaendelea kuwa watumwa hivyo hivyo.
Waliowadanganya wamtukane Magufuli wote wamepata mabwana Ulaya wanalishwa bure.

Malipo ni hapa hapa duniani.
 
Maji na umeme kwa namna neno 'janga' lilivyotumika kwenye uzi huu hivyo vitu haviwezi kuwa janga kwani vina mbadala wake kutatua ukosefu wake, kuna maelfu wanaishi bila hizo huduma na maisha yanaenda.

Ili kitu kiwe janga ni lazima watu wafe kwa wingi. Kuna majanga ya asili na majanga yanayosababishwa na binadamu, majanga ya asili ni kimbunga, ukame, tetemeko la ardhi, na matatizo mengine yanayofanana na hayo ambayo huibuka na kuleta shida kwa viumbe hai.

Majanga yasababishwayo na binadamu ni vita na mengine ambayo humpa changamoto binadamu kuyatatua.

Sasa haya ya kukatika umeme na maji hayaui watu kiasi cha kutisha jenereta na sola zipo, mito, visima na mabwawa yapo
Nadhani uitwe uzembe mkuu
 
Hata kipindi cha magu umeme ulikuwa unakatika sana tu na maji yalikuwa yamgao hivyohivyo ila umbea wa watu wengi hata umeme ukikatika kidogo tu utasikia sababu magufuli hayupo
 
Maji na umeme kwa namna neno 'janga' lilivyotumika kwenye uzi huu hivyo vitu haviwezi kuwa janga kwani vina mbadala wake kutatua ukosefu wake, kuna maelfu wanaishi bila hizo huduma na maisha yanaenda.

Ili kitu kiwe janga ni lazima watu wafe kwa wingi. Kuna majanga ya asili na majanga yanayosababishwa na binadamu, majanga ya asili ni kimbunga, ukame, tetemeko la ardhi, na matatizo mengine yanayofanana na hayo ambayo huibuka na kuleta shida kwa viumbe hai.

Majanga yasababishwayo na binadamu ni vita na mengine ambayo humpa changamoto binadamu kuyatatua.

Sasa haya ya kukatika umeme na maji hayaui watu kiasi cha kutisha jenereta na sola zipo, mito, visima na mabwawa yapo
maelezo mengi na ujuaji usio na maana.
 
Back
Top Bottom