Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Japo Rais alizindua visima kule Kigamboni, hali huku kijijini kwangu bado ni tete. Maji hayatoki.
Wiki kadhaa zilizopita nilinunua maji ya chumvi kwa Tsh. 20,000 tofauti na bei iliyozoeleka ya Tsh. 12,000 kwa lita 1,000
Baada ya maji kuisha nimewacheki tena wauza maji, wametaja bei mara mbili ya niliyouziwa awali.
Hali ni tete sana. Mbali na kusema kuwa kuna mabadiliko ya Tabia nchi, ila isiwe excuse ya kutuumiza raia kwa kiasi hiki.
Mwenye Bowser anicheki nataka maji
Wiki kadhaa zilizopita nilinunua maji ya chumvi kwa Tsh. 20,000 tofauti na bei iliyozoeleka ya Tsh. 12,000 kwa lita 1,000
Baada ya maji kuisha nimewacheki tena wauza maji, wametaja bei mara mbili ya niliyouziwa awali.
Hali ni tete sana. Mbali na kusema kuwa kuna mabadiliko ya Tabia nchi, ila isiwe excuse ya kutuumiza raia kwa kiasi hiki.
Mwenye Bowser anicheki nataka maji