Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Udzungwa sijui yamepotelea wap?
Ya hapa dar yanatrngenezwa hapa hapa dar es salaam ndio maana Ni mabaya sana kwa kweli tena wanatumia maji ya chumviMaji haya Kwa sasa yamepoteza ubora hasa yanayopatikana Dar es salaam.
Yana chumvi na ukakasi, siyapendi.
Tunamsaidia, Sisi ni whistle blowers, kunyamaza ni unafiki.Kweli kabisa...
Niliwahi taka kuleta uzi nikaona nitaharibu biashara ya watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aise maisha rahisi au afya rehani, hata maji ya kandoro hayauzwi kwa bei hiyo. ukiona ivo ujue ubora ni sufuri. UBORA UKACHEMSHA MAJI YA BOMBA.Sasa hivi uhai kaja na chupa ya lita 1.6 kwa 500 tu,Afya lita 1 kwa jelo tu....maisha yanazidi kua rahisi siku hizi heko serikali ya JPM😎😎
Kanda ya magharibi kuna Dew Drop na Jambo hayo Kilimanjaro hatununui tenaHakuba Kampuni yakuweza shindana na Kilimanjaro kwa hapaTanzania. Kilimanjaro ndo.kampuni pekee utakayo ipata nchi nzima,
Hayao mnayo yapigia debe usikute yako hapo Dar tu na sanasana Morogoro na Tanga. Ila Unashindana na Kilimanjaro inayo patikana Tarime, au Kibondo Kigoma au Kankonko mpakanao kabisa na Burundi au kule Katavi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunywa dew dropKuna maji ya kijinga Sana yanaitwa Jambo Huku mwanza ..yaani maji chini yana ukungu wa kijani Kama mtoni..kwa ufupi Ni maji ya hovyo ukiyanywa jiandae kwa magonjwa Kama amiba..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hill au? Kama ni hill yapo Kerege hapo BagamoyoKuna mengine yameingia wanatoka Arusha! Kila duka la mchaga yapo yaani machalii wanayapenda balaa. Utasikia nipe maji ya .. wanamtaja jina mhusika. Chupa ni nyembaba ndefu chapa yake rangi ya blue kwa jero tu.
Nimegundua yale madogo ndiyo yanatatizo ila 1.5lts sijanywa yenye chumvimkuu nahisi Kilimanjaro iko under license sababu hata package yake sio nzuri, chupa za siku hizi laini mno kiasi kwamba ukishika inabonyea, japo bado mazuri yapo pia.
Nawashauri kampuni ya Kilinjaro ifuatilie huenda kuna wizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Due drop [emoji98], habari nyingine hii.Kila zama na nabii wake.
Sasa ni mwendo wa
Afya
Uhai
Masafi
Dasani
Mkuu niko mkoani kwa sasa ila maji ya kilimanjaro kwa siku za hivi karibuni yamekuwa ovyo sanaHakuba Kampuni yakuweza shindana na Kilimanjaro kwa hapaTanzania. Kilimanjaro ndo.kampuni pekee utakayo ipata nchi nzima,
Hayao mnayo yapigia debe usikute yako hapo Dar tu na sanasana Morogoro na Tanga. Ila Unashindana na Kilimanjaro inayo patikana Tarime, au Kibondo Kigoma au Kankonko mpakanao kabisa na Burundi au kule Katavi
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha wayapende, wewe unapenda yapi?Kuna mengine yameingia wanatoka Arusha! Kila duka la mchaga yapo yaani machalii wanayapenda balaa. Utasikia nipe maji ya .. wanamtaja jina mhusika. Chupa ni nyembaba ndefu chapa yake rangi ya blue kwa jero tu.
Una hakika hayo uliyokunywa sio ya kuchakachuliwa?Maji haya Kwa sasa yamepoteza ubora hasa yanayopatikana Dar es salaam.
Yana chumvi na ukakasi, siyapendi.
Dew drop ni best kwasasa sijui why hayana promo kubwaMaji namba moja Tanzania ni Dew drop. Yanatoka sumbawanga, haya Maji yako vzr sana sema hayana promo tu. Atakayejaribu kuyanywa ataona ubora wake. Chupa yake haina rangi yoyote ( kama wengine wanavyolazimisha kuweka chupa za blue kunogeasha rangi ). Kilimanjaro wamezembea kwenye kuzuia wachakachuaji, feki ni mengi sana. Kuna siku pale msamvu Kijana aliniuzia maji Kilimanjaro feki nikachimba biti akarudisha pesa akasepa. Imagine Maji ya morogoro yalivyokuwa na typhoid!
Hapa ishu sio upatikanaji, hapa tunazungumzia ubora wake sio ule tuliozoea maji yanaukakasi sana hayana ladha mdomoni tenaHakuba Kampuni yakuweza shindana na Kilimanjaro kwa hapaTanzania. Kilimanjaro ndo.kampuni pekee utakayo ipata nchi nzima,
Hayao mnayo yapigia debe usikute yako hapo Dar tu na sanasana Morogoro na Tanga. Ila Unashindana na Kilimanjaro inayo patikana Tarime, au Kibondo Kigoma au Kankonko mpakanao kabisa na Burundi au kule Katavi
Sent using Jamii Forums mobile app
Maji namba moja Tanzania ni Dew drop. Yanatoka sumbawanga, haya Maji yako vzr sana sema hayana promo tu. Atakayejaribu kuyanywa ataona ubora wake. Chupa yake haina rangi yoyote ( kama wengine wanavyolazimisha kuweka chupa za blue kunogeasha rangi ). Kilimanjaro wamezembea kwenye kuzuia wachakachuaji, feki ni mengi sana. Kuna siku pale msamvu Kijana aliniuzia maji Kilimanjaro feki nikachimba biti akarudisha pesa akasepa. Imagine Maji ya morogoro yalivyokuwa na typhoid!