Maji ya Kilimanjaro yamekata pumzi

Naona humu mnashindanisha Coca-cola na Azam Cola!.
 
Achunguze huenda watu wa maabara wana malalamiko Yao ya msingi.
Kabisa...maji yanaaminika kwa watu serious...ukileta brands nyingine kwenye Executive meetings hawanywi...watu wa catering wanaelewa hili
 
Tatizo ubora umepungua na si vngnevyo so wawe makini nakufatilia wachakachuaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…