Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,152
Mbona bibi zako walikunywa maji ya visima na hawakufa?Nchi hii ina watu wapuuziaji afya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona bibi zako walikunywa maji ya visima na hawakufa?Nchi hii ina watu wapuuziaji afya sana
Hawa wanasayansi wa dar ni shida sana.Wasikutishe bibi zao huko kijijini wanatumia maji machafu hata wao ndio yamewakuza,eti water analysisi we tumia tu mwayego wasikutishe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bibi yako maji ya madimbwi kule bush aliyapima wapi?
Madini gani hayoHapo kutakuwa na madini........
Mtafute afisa madini aje achukue sample apimeMadini gani hayo
Maji yako yanakemikali inayoitwa sulphurmetrodenetratecarbonate
[emoji28][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]Anauliza humu JF, huku pembeni anapata chai ya maji ya kisima taratiiiibu.
samahani utaratibu unakuwaje? na ni hapo tmda (external)?Chukua chupa mbili za lita moja moja, yalete maabara ya maji Dar es salaam, yapimwe. Ukiitaji assist njoo PM
Mtafute afisa madini aje achukue sample apime
Hadi google wameshindwa kuitambua hiyo sumu ila jamaa kwenye pich anachota maji
Ideally, maji ya ardhini huwa yanatakiwa kufanyiwa maboresho kupunguza uhali wa madini na kemikali zilizoko. Wadau wengi ukanda wa pwani Tanga/Pwani/DSM/Lindi/Mtwara waliochimba visima wakaunganisha maji kwenye mifumo ya mabomba kuingia ndani, vifaa hivyo hulika na kuchakaa ndani ya muda mfupii.Hadi google wameshindwa kuitambua hiyo sumu ila jamaa kwenye pich anachota maji
Maabara ipo pale chuo kikuu cha maji, ubungo.samahani utaratibu unakuwaje? na ni hapo tmda (external)?
Kabisa, usikute hadi kuuza hayo maji majirani wananunua..Wabongo mpka damu itoke ndio wanakuwa serious
AlohMaji yako yanakemikali inayoitwa sulphurmetrodenetratecarbonate
Mbona watu wengi nje ya miji wanachimba visima bila kushirikisha wataalam na maji yanakuwa salamaUmechimba kisima chako mwenyewe?
Je umepeleka hayo maji kufanyiwa vipimo maabara?
Usitumie maji ya kuchimba ardhini bila kuyapima maabara utaua familia huenda kuna mwamba wenye kemikali hatarishi
Mwayego!!! [emoji23]Wasikutishe bibi zao huko kijijini wanatumia maji machafu hata wao ndio yamewakuza,eti water analysisi we tumia tu mwayego wasikutishe
Meno yakiwa na kasoro huna kosa kujihamiMeno tu mbona mikoa mingi meno yameharibika ila ni ishu ndogo sana haiondoi uhandsome au urembo wa binti