Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Wewe kweli wa mikoani, pwani tunapenda Samaki wa kukaanga.Aliyeandika nahisi sio mwenyeji wa lake zone maana kanda yote iyo samaki wengi wanaoliwa ni fresh from the lake tofauti na pwani ambapo samaki uwa sio fresh hadi kupelekea kukaangwa kabla ya kupikwa,
Mkuu, Ukiwaza kwa kina jambo linalokuhusu wewe mwenyewe au jamii yako kwa ujumla na huoni hatima yake itakuwaje na huku anamwomba Mungu, Mungu kwa uweza wake anaweza kukuonesha majibu kwa njia ya Maono. Lengo la Maono ni kukutanabahisha ukae uwe umejiandaa kwa hali hiyo itakapowadia.Naheshimu mawazo Yako.
Naomba unitofautishie kati ya
1. Maono. 2. Ndoto na chanzo chake na 3. Ulimwengu wa ROHO.
Kwa nini hili usingecomment kwenye thread husika badala ya wewe kufunguwa thread nyingine? Au huwa ni fasheni kufunguwa Uzi?Mtu yeyote anayeifahamu Formaline vizuri atakubaliana na mimi kwa harufu yake tu huwezi kutumia kuhifadhi nyama au samaki mteja asijue. Wauza nyama na samaki wana uhuni mwingi ila kwa hili la Formalin wanasingiziwa!
Aliyesoma Chemistry na ambaye amewahi kuiona Formalin atakubaliana na mimi.
Hili wameibika naro wapi Tena?Hapa ni ishu za kishirikina hasa mvuto.. Hayo maji lets say lita moja yatafanyiwa manuizi na kuchanganywa na madawa mengine kisha po ndio yataenda kutumika na hicho kiasi kinaweza kuhudumia zaidi ya hata tani moja kwakuwa yanatumika kidogo Sana kwa kila mzigo
Haha hivyo hili ni jambo geni kuyatumia kama mvuto kwakuwa kwenye kaliba ya uchawi haya maji ni kitu mfu na huwa yanatumika kuharibu na kufisha na si kutengeneza
Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
Huu ndio ukweliThis is a very cheap argument, maji ya kuoshea maiti yana uhusiano gani na kutokea saratani.......do you have any mechanism behind.Hawa watu wanajaribu kupotosha kiini cha saratani kuwa juu huko Mwanza sijui kwa maslahi ya nani. Wafanye utafiti wenye mashiko, tatizo la saratani kuwa juu kanda ya ziwa ni kutokana na kemikali za migodini zinazoelekezwa kwenye vyanzo vya maji ikiwemo mito na kuishia ziwani. Haya ndo yaleyale ya tume ya Manyere kwamba samaki wa mto Mara walikufa kutokana na kuzidiwa na kinyesi na mikojo ya ng'ombe. Pathetic!!
Labda tuseme unamaanisha kemikali inayotumika kuhifadhi maiti, mfano formali, .hivi inaingia akilini utumie formalin kwenye samaki na isilete usumbufu kwa watu wanaohusika na wateja kwa kupiga chafya au kuwashwa machoni? Hizo kemikali are very pungent ukiifungua kidogo tu hapawezi kukalika.
Kama swala ni saratani inasabbishwa na hivyo vitu kutumika kuhifadhia samaki, logic inaonyesha kwamba case za saratani zingekuwa nyingi mikoa ya mbali na Mwanza maana ndo watatumia zaidi samaki waliohifadhiwa kuliko Mwanza ambako tutategemea watu wengi wanatumia samaki fresh ambao hawajahifadjiwa na kitu chochote.
Sasa hivi nimemaliza kula apple 🍎 itabidi niache kula tena !Sawa vegetarian, sikutishi. Omba tu na Kila kiti kitakuwa sawa.
Nmekumbuka kiti, Mahindi usinunue unga, nenda nunua Mahindi halafu yaoshe mwenyewe ndo usage unga, Kuna dawa ya kuzuia wadudu kubungua pia husababisha saratani.
Ndugu vegetarian, hujiulizi APPLE linatoka south Afrika linakaa container zaidi ya mwezi Bado unalikuta fresh???
Nadhani Majibu(scientific Findings) yatakayotokana na UTAFITI WA KINA ndio itakuwa hitimisho la malumbano haya.Kuna kipindi Lissu alikuwa anawatetea waathirika wa kemikali za mgodini kule nyamongo Tarime, wale watu walikuwa wameathirika ngozi zimebabuka hatari.......sasa badala ya kutatua tatizo la migodi kutiririsha kemikali kwenye mazingira na kwenye vyanzo vya maji kwa matumizi ya watu na wanyama wao wanakuja na vitu ambavyo ni simulizi ambazo hazina scientific basis yoyote, mara maji ya kuoshea maiti, sijui kemikali za kuhifadhi samaki ambazo hata hazijulikani ni zipi......
Kweli mercury ndio inaleta shida watu wanajaribu kupindisha ukweli !Huu ndio ukweli
Ili kuepuka mgongano wa kimaslahi Scientific findings nani atazitoa na zitakuwa zimefanywa na akina nani ?Nadhani Majibu(scientific Findings) yatakayotokana na UTAFITI WA KINA ndio itakuwa hitimisho la malumbano haya.
Umeongea yote mkuu, hii kitu haingii akilini ata kidogo, akili na uwezo wako ni mkubwa mnoo.This is a very cheap argument, maji ya kuoshea maiti yana uhusiano gani na kutokea saratani.......do you have any mechanism behind.Hawa watu wanajaribu kupotosha kiini cha saratani kuwa juu huko Mwanza sijui kwa maslahi ya nani. Wafanye utafiti wenye mashiko, tatizo la saratani kuwa juu kanda ya ziwa ni kutokana na kemikali za migodini zinazoelekezwa kwenye vyanzo vya maji ikiwemo mito na kuishia ziwani. Haya ndo yaleyale ya tume ya Manyere kwamba samaki wa mto Mara walikufa kutokana na kuzidiwa na kinyesi na mikojo ya ng'ombe. Pathetic!!
Labda tuseme unamaanisha kemikali inayotumika kuhifadhi maiti, mfano formali, .hivi inaingia akilini utumie formalin kwenye samaki na isilete usumbufu kwa watu wanaohusika na wateja kwa kupiga chafya au kuwashwa machoni? Hizo kemikali are very pungent ukiifungua kidogo tu hapawezi kukalika.
Kama swala ni saratani inasabbishwa na hivyo vitu kutumika kuhifadhia samaki, logic inaonyesha kwamba case za saratani zingekuwa nyingi mikoa ya mbali na Mwanza maana ndo watatumia zaidi samaki waliohifadhiwa kuliko Mwanza ambako tutategemea watu wengi wanatumia samaki fresh ambao hawajahifadjiwa na kitu chochote.
Enhe! Hapo tena..... Mkuu, tumewaamini na kuwapa kazi ya Utafiti baadhi ya Watanzania wenzetu na kuwaweka katika Taasisi zitakazohusika na shughuli hizo. Endapo itabainika au hata kuhisiwa kwamba Utafiti na Majibu ya Utafiti huo Vitachakachuliwa basi ni bora ku-outsource shughuli hiyo na mchakato wa kumpata mtafiti au Consultant iwe ni kwa njia ya Tenda.( Lakini bro. ujue ni gharama kubwa).Ili kuepuka mgongano wa kimaslahi Scientific findings nani atazitoa na zitakuwa zimefanywa na akina nani ?
Kila kukicha afadhali ya janaKuna kipindi Lissu alikuwa anawatetea waathirika wa kemikali za mgodini kule nyamongo Tarime, wale watu walikuwa wameathirika ngozi zimebabuka hatari.......sasa badala ya kutatua tatizo la migodi kutiririsha kemikali kwenye mazingira na kwenye vyanzo vya maji kwa matumizi ya watu na wanyama wao wanakuja na vitu ambavyo ni simulizi ambazo hazina scientific basis yoyote, mara maji ya kuoshea maiti, sijui kemikali za kuhifadhi samaki ambazo hata hazijulikani ni zipi......
Ni mwendelezo wa story za vijiweni, ni vigumu sana kuitumia hiyo kemikali ya formalin hata kuipata tu ni vigumu maana inathibitiwa na sheria za kemikali, lazima uwe na kibali hata kuweza kuinunua........huko buchani labda wanatumia zile spray za kuua wadudu kuzuia nzi.
Thread husika IPI boss wangu?Kwa nini hili usingecomment kwenye thread husika badala ya wewe kufunguwa thread nyingine? Au huwa ni fasheni kufunguwa Uzi?