Uchaguzi 2020 Maji ya shingo Kawe? Gwajima akutana na Maaskofu 71 wa Makanisa ya Kiroho kuomba uungwaji mkono

Uchaguzi 2020 Maji ya shingo Kawe? Gwajima akutana na Maaskofu 71 wa Makanisa ya Kiroho kuomba uungwaji mkono

Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amewakutanisha maaskofu 71 wa makanisa ya “kiroho” jijini Dar es Salaam akiomba msaada wao ili ashinde ubunge.

Maaskofu hao walikutana Alhamisi iliyopita katika hoteli ya Picolo, iliyoko Kawe jijini Dar es Salaam.

Soma zaidi hapa > Maji ya shingo Kawe: Gwajima akutana na Maaskofu wa Makanisa ya Kiroho kuomba uungwaji mkono - Imevuja!

Hao Maaskofu 71 ni wale wenye 'Akili' kubwa kama za Yule wa Kagera au ni wale wale 'Maaskofu' wenye 'Unafiki' na 'Upumbavu' usiovumilika pia?
 
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amewakutanisha maaskofu 71 wa makanisa ya “kiroho” jijini Dar es Salaam akiomba msaada wao ili ashinde ubunge.

Maaskofu hao walikutana Alhamisi iliyopita katika hoteli ya Picolo, iliyoko Kawe jijini Dar es Salaam.

Soma zaidi hapa > Maji ya shingo Kawe: Gwajima akutana na Maaskofu wa Makanisa ya Kiroho kuomba uungwaji mkono - Imevuja!
Gwajima ni utata mtupu,ningekuwa Kawe asingepata kura yangu.He is simply fake,kwa kila nyanja.
 
Unasema [emoji23][emoji23][emoji23]
images%20(18).jpg
 
Gwajima ni porn star siyo mwanasiasa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!!

Nimekumbuka alivyokuwa anagugumia kwenye ile clip aliyojipigaga mwenyewe,sema duniani kuna watu mang'ombe huwezi amini kuna watu mpaka leo ukiawaambia yule alikuwa Gwaji boy hawakubali kabisa kisa jamaa anajiita Askofu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli bavicha mna multiple ID's neno moja linaandikwa na ID tofauti tano.
 
Huyu jamaa anakwenda kuaibika vibaya mno!! Mwana kulifind
 
Alisema ubunge siyo level yake tunatafakari tumpe cheo Cha uzinzi
 
Kinachowaponza siku zote kawe CCM ni kusimamisha mgombea asiyekubalika na Wana kawe,,,,, rejea kwa Angela kizigha tulikuwa hatumjui kabisa kwa kipindi kile lkn CCM wao wakamsimamisha mdee akambwaga, watu walikuwa wa namjua kippi Warioba.... Lkn walipomsimamisha kippi muhula uliofuata upepo wake kisiasa ulishabadilika ni Sawa na Sasa umsimamishe lowassa agombee urais nadhani wengi hawatokuelewa ukikompare na muhula uliopita.... Ila yote kwa yote kama kawaita maaskofu basi ajue waislam Wana jambo Lao October.
Akutane na makanisa yote kawe hatumpi kuraaa
mchawi mkubwa huyu wa misungwi
 
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amewakutanisha maaskofu 71 wa makanisa ya “kiroho” jijini Dar es Salaam akiomba msaada wao ili ashinde ubunge.

Maaskofu hao walikutana Alhamisi iliyopita katika hoteli ya Picolo, iliyoko Kawe jijini Dar es Salaam.

Soma zaidi hapa > Maji ya shingo Kawe: Gwajima akutana na Maaskofu wa Makanisa ya Kiroho kuomba uungwaji mkono - Imevuja!

Alipoonekana toto pendwa kwa pengo ni kwamba walienda kumwomba msamaha na kumwalika ili ampigie kameni?
https://www.jamiiforums.com/data/at...Instagram_media_-_CFcteKDn9S2__360_X_480_.mp4
 
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amewakutanisha maaskofu 71 wa makanisa ya “kiroho” jijini Dar es Salaam akiomba msaada wao ili ashinde ubunge.

Maaskofu hao walikutana Alhamisi iliyopita katika hoteli ya Picolo, iliyoko Kawe jijini Dar es Salaam.

Soma zaidi hapa > Maji ya shingo Kawe: Gwajima akutana na Maaskofu wa Makanisa ya Kiroho kuomba uungwaji mkono - Imevuja!
Hivi hii inaruhusiwa? Disgusting!! Halima jiandae umburuze huyu kwa pilato!!
 
Back
Top Bottom