Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jide wala siyo Mkurya, usikariri majina. Kabila lake ni Msizaki wa Bunda Mara.Ni mkurya ndio ni Wambura
Hela unazo [emoji3][emoji3]Jide ndo uvaaji wake huo. Katika maisha yangu ya dhambi nilikuwa na ndoto siku moja nimuoe Jide ila ndoto yangu ikavurugwa na Gadner... sikujilaumu sana kwasababu wakati Jide ndo anaanza kuvuma mimi bado niko O-level. Nikakaa kwa miaka mingi bila malengo yoyote ya kipuuzi hadi mwaka 2007 kama sio 2008 nilipomwona Jokate na Millard Ayo wakiwa ma-MC kwenye Kilimanjaro Music Awards. Nikasema nitakuja kumwoa huyu kwanza tunalingana. Mara ghafla nasikia mwendazake kaweka kambi. Nikakata moto kabisa. Baada ya mwendazake kwenda zake nikaona huu ndo wakati wangu.. wakati najifikiria ndo mara nasikia ana mimba. Kwa sasa nataka niweke nia tena kwa Jide. Mkiona havai tena nguo za kuacha kitovu wazi mjue ndo mimi nimefanikisha. MNIOMBEE
Ha ua ila Jide ana sura ngumu sana Mungu atusamehe [emoji3]Ila sura ya kijambazi[emoji1787]
Ila wenye sura za baba huwa watamu balaa.Ha ua ila Jide ana sura ngumu sana Mungu atusamehe [emoji3]
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Ye mkuryaaaaaaaJide wala siyo Mkurya, usikariri majina. Kabila lake ni Msizaki wa Bunda Mara.
Mara hatuko wakurya tu, kuna Wazanaki, Wajita n.k
Hela ninayo sema sio nyingi. Veterani kama Jide nae atataka hela??🤔
Anataka faraja na furaha tuHela ninayo sema sio nyingi. Veterani kama Jide nae atataka hela??🤔
Huyu si aliokoka?? Imekuwaje tena
Tafuta picha na video za jide kipindi cha early 2000 utaelewaAnaharibikiwa uzeen masikini
She is done 45+
Ni kawaida ya inzi wanapoona vidonda.Nimenasa 🫠
Eddo embedodo kutoka wachafu?Sijui nikweli,eti yule mwandishi na mchambuzi wa soka na anayejiita Rais wa Timu moja pale London iliyoipiga united leo ndiye anakula mzigo huo .........
kwani hana haki ya kvt0mbw@ ?Nasikia Rama D ndo anapita hapo
Wanakua watamu wa hivyoJide ana sura ngumu kama mkurya anazidiwa mpaka na Maya wa UMUGHAKA
Wajomba zangu watu wa Mara nyie.Jide wala siyo Mkurya, usikariri majina. Kabila lake ni Msizaki wa Bunda Mara.
Mara hatuko wakurya tu, kuna Wazanaki, Wajita n.k