Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Anaonekana mtamu sana huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaonekana mtamu sana huyu
Ndio maana Gardner akamkojoza kwa miaka 15 bila kujali kuwa hazaiWanakua watamu wa hivyo
Wambura ni wajitaNi mkurya ndio ni Wambura
Mi sijasema 😀Eddo embedodo kutoka wachafu?
Kwenye music hana mpinzaniNamkubali sana Jide aka komando. Mziki mzuri, sauti nzuri na pia napenda lafudhi yake bomba sana
Nyie ni watani zetu Rutagwerera Sr unalijua hilo kwanza? Wakurya tuna roho nzuri sana, usijichanganye tu kwenye 18. Haya binamu nyama ya... 😄😄😄😄😄😄Wajomba zangu watu wa Mara nyie.
Sema mna roho mbaya wajomba zangu na madharau sie wahaya ilikua zamani siku hizi tunasingiziwa.
Basi tuendeleze udugu, mtoto wa mjomba naye mchumba.
Vibaya hivyo kumbe siku zote wajua we mtani husemi.Nyie ni watani zetu Rutagwerera Sr unalijua hilo kwanza? Wakurya tuna roho nzuri sana, usijichanganye tu kwenye 18. Haya binamu nyama ya... 😄😄😄😄😄😄
Cha mahaba wapi bwana wewe macho yako tu hayo... kitovu ni kitovu hakina uhusiano wowote na mahabaAna kitovu cha kimahaba[emoji39]
Najua ndiyo siku zote hizi 😄😄😄😄 siku hizi naona kabila nyingi, mtu akifanikiwa kusaidia ni wale wenye moyo wa kutoa tu. Hiyo kunanga nakubali 🤣🤣🤣.Vibaya hivyo kumbe siku zote wajua we mtani husemi.
Mama yangu mtu wa Mara muikizu.
Ndugu zangu upande huo wana uwezo sana sema wakaksi kwelikweli 😬😬..kukusaidia ishu na wanananga hao dah..sitaki ukaribu nao kabisa.
Ila kosa lako moja tu unashabikia topolo fc
Dah wacha nilie kwanza 😢Najua ndiyo siku zote hizi 😄😄😄😄 siku hizi naona kabila nyingi, mtu akifanikiwa kusaidia ni wale wenye moyo wa kutoa tu. Hiyo kunanga nakubali 🤣🤣🤣.
Wewe ndiyo unapotea njoo Yanga.