Pre GE2025 Majibu kwa Wasirra na Makalla: Sehemu pekee iliyopaswa kutuonyesha Marekebisho ya Sheria mlizofanya hazikuwa hadaa ni Uchaguzi wa Novemba 2024

Pre GE2025 Majibu kwa Wasirra na Makalla: Sehemu pekee iliyopaswa kutuonyesha Marekebisho ya Sheria mlizofanya hazikuwa hadaa ni Uchaguzi wa Novemba 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naunga mkono hoja.

Kama uchaguzi wa mwaka jana ungefanyika kwa namna ambayo ingewaridhisha wapinzani mwaka huu wangekubali kushiriki uchaguzi Mkuu kwa Katiba na Sheria hizi hizi za uchaguzi.
 
Naunga mkono hoja.

Kama uchaguzi wa mwaka jana ungefanyika kwa namna ambayo ingewaridhisha wapinzani mwaka huu wangekubali kushiriki uchaguzi Mkuu kwa Katiba na Sheria hizi hizi za uchaguzi.
Kwa kuenguliwa kwa Wagombea takribani 60,000 wa CHADEMA kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba, 2024 ni uthibitisho tosha kuwa hakuna reforms za kweli zilizofanywa kwenye Sheria za Uchaguzi. Ilikuwa ni danganya toto tu.
 
CCM ndio watakuwa wa kwanza kuleta machafuko kwenye hii nchi ya JULIUS KAMBARAGE NYERERE.
 
Wana CCM mpeni Amos Makalla hii thread aisome.
 
Makalla na Wasira washauriwe kujiunga na JF kusudi wawe wanasoma maoni na ushauri unaotolewa na wananchi wa humu!
 
Mama Samia acha kuwasikiliza hao Wapambe, hata Nyerere na Mzee Mkapa walidanganywa...Ita Wapinzani , ongeeni na fanyeni marekebisho madogo ya Katiba ili kuruhusu Uchaguzi huru na wa haki

Mama Tanzania ni MKUBWA kuliko CCM , CDM na ACT
 
Back
Top Bottom