Muda mrefu sijaweka michango yangu lakini hii sasa too much!
1.nyumba ya hiyo hapo pichani kama haina dhahabu ndani ni ngumu kugharimu $1M hizi ni pesa nyingi watanzania,kwa pesa hiyo ikizingatiwa zimejengwa na serikali ile wanayosamehewa kila kodi pale bandarini pia zimejengwa wakati kwa mkupuo ilitakiwa isizidi $500,000.kuonesha hivyo nitaweka experience yangu hapa ukumbini.
may mwaka tumekamilisha ujenzi wa nyumba kubwa zaidi ya hiyo (or better).total costs at around $450,000
ilijengwa kwa muda wa mwaka mmoja na nusu.
ufuatao ni mchanganuo wa gharama kwa upesi-upesi ili muone vitu vinavyo-maliza fedha kwenye ujenzi.gharama nyingi ziko rounded to the nearest thousand,ule ufisadi wa kuweka 13,298,241.32 siupendi unaumiza macho watu tu!
kiwanja
plot purchased at $10,000.obviously purchased 10 years ago!
pre-building consultancy was done at roughly $5,000
Total area Main house area stands at 480sqm.
rooms were 7.,1 master bedroom,1 guest room 4 normal rooms,1 spare room(later converted to mini home theater).all rooms were equipped with AC,Bathrooms,walk in closets.
also included was a 70sqm servant quarters+50sqm fully equipped garage.
sasa turudi kwenye proces nzima.
nyumba ilijengwa through hatua kuu kama 5 hivi kufuatana na funds na mahitaji.
Hatua ya kwanza.($162,000)
1.msingi na ukuta wa nje(total costs $25,000)
2.kupandisha juu-matofali na Kuezeka vigae(total costs($45,000)
3.madirisha na milango(nyumba ina milango 20 costing $20,000).Madirisha 35(costing $32,000).
4.mabomba+wiring+electric installations+100kW generator(alone cost $27,000),total was $40,000
Hatua ya pili.($135,000)
1.finishing,imported tiles ($50 per sqm*600sqm=$30,000)+fees za wale wazulumaji wa bandarini na transport(almost $20,000)+total $50,000.
2.Imported Sanitary tools(sinks,Jacuzzi,etc)-total cost=$30,000.it was a total of 10 washroom sinks(@$500),5 kitchen sinks(@$500)10 shower systems,10 toilet sets and other minor sanitary things.add up shipping feees and again jamaa bandarini.
3.kitchen cabinets+closets instalations(material sourced locally & abroad)-cost for 3 cabinets(1 big=,1 medium=and 1 small) was $20,000.costs for 7 walk in closets was $10,000.
4.Kuviweka hivyo hapo juu we had a courtesy of personal professional installation from the companies we bought the things(only $15,000 for their personnel including round-trip ticket and other minor costs)
Hatua ya tatu($20,000)
1.Paintwork and decorations-it involved lights fixtures,paint and minor decors(costs were $20,000
Hatua ya nne($110,000)
1.Home electronics,
2 Two Multi door GE fridges($10,000),kitchen appliances(microwaves,ovens,hoods,etc)-$5000,4 plasma sets ($20,000).2 Bose Home theater system ($20,000),Sony Projector +Sound system set($12,000).5 AC at $8000
2.Security system+home server+3 computer sets ($18,000).
3.Home furniture for the whole house,10 beds,2 sofa sets,2 dining tables sets+curtains an all (sikumbuki details lakini it was in the neighbourhood of $36,000)
4.garage doors+motor+control System($8,000)
Hatua ya Tano (almost $6,000)
1.Landscaping,sorry watanzania,had to hire a college buddy to do this,this Italian is fantastic.as a friend had to part away with $6,000.
Trip za hapa na kule,nchini na nje katika muda wote wa ujenzi=$15,000
Total estimated was $450,000.makorokoro mengine nimesahau hela zilikopotelea..,mliojenga mwalijua hilo!BUT we end up spending more than $480,000.
kwa hiyo nyumba ya Gavana HAPO JUU ku-cost $1M NAKATAA KATA KATA.unless they provide a very detailed account as to why all that money was spent in such a regular house.
GAVANA,PROF.NDULU hizo pesa zilizotengwa kwa ajili ya ujenzi nyingi zimeliwa!!!sema ukweli,come clean before you force Tanzanians to come all out on you!!