Majibu ya afande sele kuhusu show ya jide ya 31 june...

mpenda pombe

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
1,406
Reaction score
711
Mimi kufanya show ya kikosi tarehe 31 hata bendi na wasanii kibao wanashow zao usiku huo. Na zaidi mimi siwezi kuacha pesa wakati mziki ndio kazi yangu na silishwi na Jide wala Sugu maisha yangu ni mziki na kimsingi pesa niliyopewa inalipa, show yake ya tarehe 31 hakunipa mchongo hivyo mimi nitakataaje show ya kikosi wakati ni artist wenzangu tena wa hip hop nawamenipa show kwa kuthamini mchango wangu katika game tofauti na Jide aliwapa dili kina Barnaba, Lina mpaka wamemwaga.
 

Hii ndo aina ya wasanii tuliona,
amejibu swali lipi, aliulizwa na nani?
I knw afande selle kabla hajakwenda ujeda zenji, asijikwatue kkujaribu kujifananisha na Jide, hamfikii hata Mita 2, si wa idadi ya mashabiki, status ya mashabiki maisha hata kibiashara!
 

kuna shabiki wake alimuuliza kwenye Facebook.. Nae ndio akatoa majibu hayo..
 
Very funny aisee. Hiyo boksa si ni bora ingelikuwa walau na rangi nyeupe? Kwi kwi kwi kwi kwiiiii! Mbavu zanguuuu!

Yaani kijana mzima mwenye akili timamu unavua nguo mbele ya hadhara. Kweli wewe utakuwa kichaa
 
Huyu king sele simshangai hata siku moja ni kama remote anavyopelekwa na rugay.
 
Very funny aisee. Hiyo boksa si ni bora ingelikuwa walau na rangi nyeupe? Kwi kwi kwi kwi kwiiiii! Mbavu zanguuuu!

Nna mashaka na usafi wa hiyo boxer

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Jide tizii inakupenda, cheki hizi comments hapo juu!!!
 
Khaaa,huyo shoga anatapik nn???,---- make hamfikii jide hata auze ------ wake malay wa ambianc utashindan na anaconda,una bahat mbwa wew ningekufira eima ------ yako
Vipi unabifu nae.?
 
Hivi nyie watu mlitaka hiy siku ya may pawe na show moja tu dar es salaam mzima? Hiyo show yenyewe inafanyika uwanja wa taifa, au? By the way, hivi huyo JD tangu lini aliwahi kusimama kidete kupigania maslahi ya wasanii wengine? Yaani bifu lake yeye na Clouds ndo mlitaka kila kitu kisimame?!
 
Afande Sele anayo haki ya kuamua ashiriki show ipi kati ya show ya Jide na show ya Kikosi.

Kwahiyo mimi sioni tatizo kwa yeye kuamua kwenda katika show ya Kikosi cha mizinga. Isipokuwa jambo moja ni kuwa siku itakapofika zamu yake atakuwa peke yake. Nakumbuka aliwasaliti vinega lakini kwakuwa sina taarifa ya kualikwa na Jide siwezi kumlaumu.
 
Very funny aisee. Hiyo boksa si ni bora ingelikuwa walau na rangi nyeupe? Kwi kwi kwi kwi kwiiiii! Mbavu zanguuuu!

we hiyo boxer ni analogi zidadumu hizo hata miaka mitatu inafika! hahahahahaha
 
Very funny aisee. Hiyo boksa si ni bora ingelikuwa walau na rangi nyeupe? Kwi kwi kwi kwi kwiiiii! Mbavu zanguuuu!
Maji yatakayosuuzia hii boxer, ukimpa mnyama anywe lazima atakufa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…