talentbrain
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,187
- 760
Natamani kuwamwagia tindikali watu wote wa bodi. Kwani bodi ipo kwa ajili ya yatima tu? Mi nasema hv nisiposoma mwaka huu ntadhuru mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah,itabid 2fanye utatuz wa matatzo haya mapema..updatedboy
Natamani kuwamwagia tindikali watu wote wa bodi. Kwani bodi ipo kwa ajili ya yatima tu? Mi nasema hv nisiposoma mwaka huu ntadhuru mtu.
Mkurugenzi akijibu maswali ya watu waliofka kuhoji kwa nini wamekosa mkopo,amewajibu "WALIOPATA WAMEPATA NA WALIOKOSA HAWATAPATA"Cha kuwapa moyo amewaambia wakate rufaa na wasubiri majibu ndani ya 90 days..! Hata hvyo criteria za kupata mkopo KIGEZO KIMOJAWAPO AKASEMA CHETI CHA KIFO KAMA WEWE NI YATIMA, na akasema kuwa kama kuna m2 kanyimwa mkopo na niyatima..apeleke death certificate ili apewe mkopo!..updatedboy!
Unupdated boy na wewe umekosa? Au family consumer siyo kozi ya kipaumbele nini? Pole mdogo wangu! Try again later!!
Hivi kufiwa na wazazi ndio kigezo cha kumpima mtu kama ana uwezo au hana? kuna wengine wamefiwa na wazazi ila wazazi wao wameacha mali za kutosha tu na kuna wengine wana wazazi ila wazazi wao ni maskini wa kutosha.
watu wengi ni yatima na vigezo wameweka na hawakupewa hao jamaa huwa hawakai wakachambua ila wanafanya kaz il liende
Hivi kufiwa na wazazi ndio kigezo cha kumpima mtu kama ana uwezo au hana? kuna wengine wamefiwa na wazazi ila wazazi wao wameacha mali za kutosha tu na kuna wengine wana wazazi ila wazazi wao ni maskini wa kutosha.
uko sawa ndg lakini angalia ucjevkadhuliwa wewe vicevesa of ur plan, c unajua mungu sio jose?
Mimi nadhani mapambano yaendlee kesho tuibuke tukamsikilze Mkurugenzi,ila ni pande gani wadau?nipo dar kimara.
Kwahiyo wanataka watu wawaue wazazi wao sababu ya boom...kuna watu wana wazazi wawili lkn ht laki moja hawajawahi shika na kuna watu wana mzazi mmoja na wanajiweza..mfano Ridhiwan alivyosomaga hakupata mkopo au wanaleta tu umburula na ungese wao hapa
Kaka kama issue ni death certificates tumeambatanisha!
Kwahiyo wanataka watu wawaue wazazi wao sababu ya boom...kuna watu wana wazazi wawili lkn ht laki moja hawajawahi shika na kuna watu wana mzazi mmoja na wanajiweza..mfano Ridhiwan alivyosomaga hakupata mkopo au wanaleta tu umburula na ungese wao hapa
duh wafanye hivo kuokoa hasa watoto wa kikulima