Majibu ya Diamond kwa Jokate kuhusu post yake iliyoleta utata

achana na kiazi huyo aliyemkataza alikiba kufanya collabo nani? ,akili za viazi alizonazo huyo Dogo zinamsumbua then he pretend that he is intellectual.
Tena umesema kweli manake huyu jamaa mie ndo kwanza leo namuona... hapa jamvini sijawahi kukutana nae hata mara moja lakini anaibuka from nowhere na kuanza kutoa lugha za kashifa anadhani watu wanaogopa ban halafu mwenyewe anajisifia eti aachiwe yeye bila kujua kwamba watu humu wamefyatuka ile mbaya sema wanaamua kumpotezea tu...
 
ww elewa mada sasa kiba amekujaje hebu nionyeshe sehemu niliyotukana hapo elewa mada ndo uchangie mkuu sawa
 
mi sijakutuka mi nimekuelewesha kama vipi nipotezee nakupotezea sasa mtu hata hatujuani nikuchukie au nikukejeli nakujua ww this is for funny
 
zamani ilikua jukwaa la siasa ndio lina ongoza kwa BAN za maana but naona siku hizi hili jukwaa la celeb ndio lina ongoza kwa kula vichwa.
 
Hivi sahv Dai anatembelea nyota ya nani vile?? Maana ilisemekana bila nyota ya mbuge mtarajiwa hatapata tuzo hata moja
Umeona enh Toplady!!! Watu tusiofikiri kwa kutumia makalio wakati ule ule tulishawaambia kwamba ni mademu ndio wanasafiria nyota ya Diamond na sio kwamba Diamond ndie anasafiria nyota zao na hivi sasa ukweli tuliokuwa tunaosema umeshadhihirika... Madam anapotea taratibu; wakati Zari anaingia niliwapa watu mfano na kuwaambia sasa subirini followers wa Zari... by the time Zari alikuwa na ONLY 33 or 36,0000 Followers Instagram lakini leo hii ana followers zaidi ya laki 5!!!
 
Last edited by a moderator:
mm siwez mipasho bwana mipasho ni ya daimond unijue ili iweje domo ni mtume kwenu hakosei haya nakukabidhi hii thread
 
jitu linakuja hata halisomi mada imeanzaje linachangia halafu et linajifanya linajua nyambaafuusiqot kwanza nipotozee kila mtu ana uhuru wake #wizard power
 
ww elewa mada sasa kiba amekujaje hebu nionyeshe sehemu niliyotukana hapo elewa mada ndo uchangie mkuu sawa
Wewe unaelewa mada? Kama issue ni mada, mbona thread inazungumzia suala la Jokate na Diamond; wewe suala la Ntampata Wapi na Mdogo mdogo umelitowa wapi? HUjanitukana, fine... unaweza kuniambia nini maana ya kwamba nimekula mayai halafu nachafua hewa? Jifunze kutumia lugha mzuri... pitia post zako uone wangapi umewatolea lugha za hovyo na wangapi umewaita vilaza... BTW, post ambayo niliku-quote ulizungumzia nini kama sio kwamba Mdogo mdogo na Ntampata Wapi hazijakuwa nominated mie nikakupa facts ya tuzo ambayo Mdogo mdogo ilipata na nomination ya Nitampata Wapi Afrimma! Au umesahau ulichoandika mwenyewe saa chache tu zilizopita? Post yako hii:
we kilaza tulia mdogomdogo na ntampata wapi mbona hazijatajwa we unakuja tu una coment wala huelewi kinachozungumzwa pita hivi uwe unasoma mada ndo uchangie co unakurupuka tu
Sasa ni nani kati yetu asiyeelewa mada?
 
mm siwez mipasho bwana mipasho ni ya daimond unijue ili iweje domo ni mtume kwenu hakosei haya nakukabidhi hii thread
We jamaa wa wapi wewe? Mara oh, huelewi mada, mara oh, Mtume wenu hakosei... wa wapi wewe?
 
ww elewa mada
Alah! Wewe unaelewa mada? Labda umesahau, mada ni hii hapa: Sasa habari hii:
we kilaza tulia mdogomdogo na ntampata wapi mbona hazijatajwa we unakuja tu una coment wala huelewi kinachozungumzwa pita hivi uwe unasoma mada ndo uchangie co unakurupuka tu
Inahusiana vipi na issue ya Jokate na Diamond?!
sasa kiba amekujaje
HUfahamu Kiba amekujaje, ametokea hapa:
we kilaza jielewe kwani kiba alitajwa kwenye mtv tunazungumzia aliotajwa nao kina davido wizikid hata afrimama hachukui kitu yupo na wazee wa kazi davido na wizkid na kule hakuna tuzo ya kukata mauno
Na ndio maana nikakujibu:
Ulitarajia huyo Kiba atajwe MTV wakati hana vigezo!! Hivi huoni hata nomination za AFRIMMA amekuwa nominated kwenye category za kikanda!!!
hebu nionyeshe sehemu niliyotukana hapo elewa mada ndo uchangie mkuu sawa
Hebu niambie ulichomaanisha hapo kwenye RED
hebu taja mtanzania aliengiza nyimbo yake bila collabo mtv au umeshiba mayai unachafua hali ta hewa
 

diamond ni genius aiseee, uwezo aliouonesha kwenye kupangua shutuma za jokate bila kuwa na akili kubwa huwezi. nimempenda bureeeee, pale wenye shule ya darasani wanavyocharazwa na wenye akili ya kuzaliwa
 
mwakani daimond akichukua tuzo mtv wallah nipigwe life ban la maishaa na naacha kushabikia maana na ujinga sasa

hahahahahahaaa eti mwakani,, pwilo ndio umenyooka kiasi hiki??? kuna wenzio walisema mwaka huu hapati na akipata atavua nguo, watu wanamtafuta wampake mafuta laini hawamuoni, sasa wewe unabeti mambo ya mwakani leo, si kwa kunyooka hukoo, si tutakuwa tumesahau jamni???
 
diamond ni genius aiseee, uwezo aliouonesha kwenye kupangua shutuma za jokate bila kuwa na akili kubwa huwezi. nimempenda bureeeee, pale wenye shule ya darasani wanavyocharazwa na wenye akili ya kuzaliwa
Dogo noma... ingawaje elimu nimemzidi kwa mbali but I doubt ikiwa naweza kumu-overthrow ikiwa nafanya nae kitu as rivals na hapo ndipo ninapowaona watu vilaza wanapokomalia kwamba "oh, jamaa shule tatizo" wakati wao na degree zao (na wengine hata diploma hawana lakini utawasikia jamaa tatizo shule) lakini hakuna chochote cha maana walichonacho in contrary na huyo wanayesema shule tatizo ambae ana almost everything a boy of his age group kwa mazingira ya Afrika angependa kuwa nacho! Mtu anajivunia elimu wakati anaenda job na daladala, amepanga chumba na sebule Ubungo au Tabata!!!
 
diamond ni genius aiseee, uwezo aliouonesha kwenye kupangua shutuma za jokate bila kuwa na akili kubwa huwezi. nimempenda bureeeee, pale wenye shule ya darasani wanavyocharazwa na wenye akili ya kuzaliwa

Ahahaa yaani ukiongea na diamond inatakiwa uwe makini sana!!la sivyo unaweza kugeuka kituko kama jokate!

Yaani pale kuna majibu ya kila aina!nimemvulia kofia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…