Majibu ya Diamond kwa Jokate kuhusu post yake iliyoleta utata

* Mkuu umenichekesha sana....
 
unajifundisha kukot eh endelea nikot tena
 
Ahahaa yaani ukiongea na diamond inatakiwa uwe makini sana!!la sivyo unaweza kugeuka kituko kama jokate!

Yaani pale kuna majibu ya kila aina!nimemvulia kofia

insta jana nimewaambia the same thing kama nilikuwa kwenye akili ya diamond vile, diamond hajaanza kupost vipande vya video kwa wale wote wanaoonesha uwezo wao wa kumove na dansing skills zake, sijawahi skia akiambiwa kawadhalilisha leo kumpost jokate wanalazimisha udhalilishwaji, what a none sense???? team wema acheni kulazimisha mabifuuuu, hamchokiiiiii?? mnaona kabisa jitihada zenu kila mara zinagonga mwamba lakini mpo tuuu kama wehu, kujiongeza mmeshindwa hata kutuliza mshono pia mnashindwa???
 
Hahahaaaaa umenichekeshaa,,,, na wanyooshweee tuuuu ni mwendo wa kushikilia rula tu
* Unajua kila kitu kinatakiwa kiwe na kiasi...ukimshabikia mtu uwe na kiasi...ukimchukia mtu uwe na kiasi...unapozifanya zote kwa kupitiliza halafu matokeo yakawa tofauti na ulivyotarajia unaathirika zaidi kuliko hata mhusika mwenyewe....ndiyo yanawakuta mashabiki wa Kiba....
 

Teh teh na watanyooka tu
 

Yaani kama Wema ni bora tu ashinde ubunge maana asiposhinda atazidi kua na mawazo aisee!,Unajua ile nyumba ya diamond anayoishi sasa hivi Wema ameisimamia sana wakati inajengwa?Akikosa ubunge itakuwa majanga
 

Mwandiko wako unafanana na wa Dogofgod. Au mnaigiliziana teh teh!
 
Last edited by a moderator:

Kwanini? Hatuna shida na mtu ila hatutaki unafiki! Kama mnamchukia mchukieni sio mkikutana na nyimbo zake mnajichetua kama dadaenu!
 
Last edited by a moderator:

Save your energy darln, Btw I mic u........
 
wanyooke, tu , walie tu huyu ndiye Mondi. hakuna namna nyingine ya kumzuia majariwa yake. Ni myoooko kwa kwenda mbele.
 

Hahahaaa umenichekesha sana na wewe! Umeobserve alivyotoka nje ya mada akafuatwa, amerudi akabananishwa, akaleta lugha za kashfa akachimbwa mkwara! Mwisho akawa mpole😂😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…