That's why nisipokuona moyo wangu unapwita ti ti ti... coz' you're so genius!! Wanaingia na ID mbili mbili Mode wanawaumbuwa... daily ramli za time will tell lakini ndo kwanza watu wanazidi kuachana na Dr. Mwaka Ndondo Cup na kwenda kimataifa zaidi!!!Mwandiko wako unafanana na wa Dogofgod. Au mnaigiliziana teh teh!