Majibu ya Diamond kwa Jokate kuhusu post yake iliyoleta utata

Majibu ya Diamond kwa Jokate kuhusu post yake iliyoleta utata

Mwandiko wako unafanana na wa Dogofgod. Au mnaigiliziana teh teh!
That's why nisipokuona moyo wangu unapwita ti ti ti... coz' you're so genius!! Wanaingia na ID mbili mbili Mode wanawaumbuwa... daily ramli za time will tell lakini ndo kwanza watu wanazidi kuachana na Dr. Mwaka Ndondo Cup na kwenda kimataifa zaidi!!!
 
Hahahaaa umenichekesha sana na wewe! Umeobserve alivyotoka nje ya mada akafuatwa, amerudi akabananishwa, akaleta lugha za kashfa akachimbwa mkwara! Mwisho akawa mpole😂😂😂😂😂
* Dogo kakimbia fasta...tatizo hawakosi visingizio...Kiba anatakiwa afanye mambo makubwa watu waone sio mashabiki wake wanakuja kwenye thread zinazojadili tuzo kubwakubwa halafu wao hawana cha kupresent....wanaanza kutafuta kasoro...
 
* Dogo kakimbia fasta...tatizo hawakosi visingizio...Kiba anatakiwa afanye mambo makubwa watu waone sio mashabiki wake wanakuja kwenye thread zinazojadili tuzo kubwakubwa halafu wao hawana cha kupresent....wanaanza kutafuta kasoro...
Hivi sasa mtu akiweka Thread anatakiwa kuweka angalizo kabisa "Hapa Hatujadili Wachezaji wa Dr. Mwaka Ndondo Cup!"
 
Ni Bora Amekiri Mwenyewe Kua Watandale Ataendelea Kua Watandale Tu No Matter What.
Huyu Bwamdogo Kama Akili Yake Ingelingana Na Domo Lake Angekua Mtu Wa Maana Sana.Tatizo Lake Shule Ndogo, Ufahamu Mdogo, Upeo Mdogo Basi Ni Shida Tu.
Ila Akae Akijua Haya Mafanikio Yake Ya Ngende Yanamwisho Wake.
Time Will Tell #Atasanda Tu Atlast!

kiumbe kipi chenye kupumua kiliishi milele, hata akiishia kesho kashafanya yake makubwaaaaaaaaaaa ambayo wasiokuwa na ngende hawajayafanya na sioni dalili
 
kiumbe kipi chenye kupumua kiliishi milele, hata akiishia kesho kashafanya yake makubwaaaaaaaaaaa ambayo wasiokuwa na ngende hawajayafanya na sioni dalili
Chambilecho hata huyo Michael Jackson mwenyewe, yule wa 1980's hakuwa wa 1990's na wa 1990's si yule ambae alituaga 2000's nashangaa wengine wanaona big deal.
 
hakuna kitu kibaya duniani kama chuki, halafu kila ukichukia inazidi kuchukizwa kwani unaowachukia nao wanajua umechukia na wanajipanga kukuchukiza zaid

chuki imewakomalia hatarii, kwa kifupi wamekuwa mateka wa chukiiii, mtu anakuambia nina uhakika mwakani hatapata tuzo hivyo tuu yani hana sababu yoyote, ajabu sana
 
Haya maneno maneno ya huyu bwana mdogo huwa yanamgharimu sana. Elekeza nguvu zako kwenye kazi. Acha vijembe.
Sasa hapo kafanya nn sasa zaidi ya kujenga chuki dhidi ya mashabiki wa huyo dada. Akumbuke kuna AFRIMMA yaja, huko kuna Alikiba, Vanessa, Dimpoz, yasije yakatokea yale yaliyotokea KTMA. Akumbuke kuwa watu wanaweza wakakuprovoke makusudi upoteze uelekeo.
Maboso

kama kapata tuzo ya MTV bila support ya team wema kiba, ommy na jokate, huogopi?? ndio maana kaamuwa kuwanyoosha coz imethibitika muungano wa team zoote hizo hauna effect kabisa kwenye maendeleo yake.
 
Last edited by a moderator:
Hivi sasa mtu akiweka Thread anatakiwa kuweka angalizo kabisa "Hapa Hatujadili Wachezaji wa Dr. Mwaka Ndondo Cup!"
* Haaaahaa wamepata ahueni mtu wao kuwepo kwenye nomination kwenye category moja ya East Africa kwenye AFRIMMA...

* Mkuu tukiweka angalizo watalalamika sana...tuwaruhusu waje waone kinachofanyika huku ili waige...
 
Nimeyapenda sana majibu ya Diamond.

Ndiyo, anaweza akawa hana elimu kubwa ya darasani lakini huwezi kusema kwamba dogo hana akili.

Kichwani zipo za kutosha kabisa.

Safi sana.
 
Sorry

I think Diamond bado anampenda Jokate

Na Jokate bado anampenda Diamond
 
Tena umesema kweli manake huyu jamaa mie ndo kwanza leo namuona... hapa jamvini sijawahi kukutana nae hata mara moja lakini anaibuka from nowhere na kuanza kutoa lugha za kashifa anadhani watu wanaogopa ban halafu mwenyewe anajisifia eti aachiwe yeye bila kujua kwamba watu humu wamefyatuka ile mbaya sema wanaamua kumpotezea tu...

Mpwa mimi mwenyewe hapa niko ban
 
Nasema hivii...
Mbona team ndomo team wanenguaji mmeumia hivyo kiba kutajwa? Mara oooh hastahili mara sijui nini.
Au kwa sababu hajafanya collabo na watu wa naija na kenya na uganda? Maumivu yakizidi mwone doctor.
Hamna cha collabo na watu wa nje wala nini ila tunatoboa kimataifa hutaki hama nchi.
Best male....

Bwaahahahahhahahhha

hahahahahahahhaha

kwakakakakakakakkakwakwa

Hiloooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
kama kapata tuzo ya MTV bila support ya team wema kiba, ommy na jokate, huogopi?? ndio maana kaamuwa kuwanyoosha coz imethibitika muungano wa team zoote hizo hauna effect kabisa kwenye maendeleo yake.

usiwadanganye wenzako kwanza kapata ushindi wa kawaida sana tofauti na mashabiki zake mlichotegemea la pili tukumbuke KTMA alikuwa na 7 akaja akapata 2,then za nje alianza na 3 sasa ni 1,fanya tathmin then tuambie anapandaaa au anashuka?...ki ukweli dimond kwa uimbaji hamuwez Ali kiba labda azaliwe mara ya pili na ajifunze kuimba akiwa na mwaka mmoja,kimaendeleo kamzid bt kiba ni kazaliwa ili aimbe yaan...mashabiki wa mond ndo mnamtengenezea mazingira magumu dogo kwa watanzania coz ya maneno yenu bt nae pia mtu wa kuprovoke sana....wasanii wote wa Tanzania waloingia kwenye AFRIMMA wamefanya kazi na wasanii wa nje ya Tanzania kwenye nyimbo zao lakini Kibba kaingia bila "kick" ya aina hiyo...kaa chini tafakari then jibu baki nalo..nb dimpoz ft j.martins,Vanesa ft ko(no one bt me),diamond ft davido,mr flavour bt KIBA ft whom 1?...bt he is inside also...napita zangu nmefunga 6...
 
usiwadanganye wenzako kwanza kapata ushindi wa kawaida sana tofauti na mashabiki zake mlichotegemea la pili tukumbuke KTMA alikuwa na 7 akaja akapata 2,then za nje alianza na 3 sasa ni 1,fanya tathmin then tuambie anapandaaa au anashuka?...ki ukweli dimond kwa uimbaji hamuwez Ali kiba labda azaliwe mara ya pili na ajifunze kuimba akiwa na mwaka mmoja,kimaendeleo kamzid bt kiba ni kazaliwa ili aimbe yaan...mashabiki wa mond ndo mnamtengenezea mazingira magumu dogo kwa watanzania coz ya maneno yenu bt nae pia mtu wa kuprovoke sana....wasanii wote wa Tanzania waloingia kwenye AFRIMMA wamefanya kazi na wasanii wa nje ya Tanzania kwenye nyimbo zao lakini Kibba kaingia bila "kick" ya aina hiyo...kaa chini tafakari then jibu baki nalo..nb dimpoz ft j.martins,Vanesa ft ko(no one bt me),diamond ft davido,mr flavour bt KIBA ft whom 1?...bt he is inside also...napita zangu nmefunga 6...

Umemaliza mkuu, werevu tumekuelewa
 
Back
Top Bottom