Majibu ya Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamini Sedoyeka mbele ya Baraza la Maadili

Majibu ya Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamini Sedoyeka mbele ya Baraza la Maadili

Mkuu wewe ungekuwa yule kijana wa manunuzi na ukapelekwa maktaba ..je ungekubali?usiwe unaongea kwa ushabiki jamaa ana hoja ya kujibu ..!!
Mshahara si unapata? Kwa nini ung'ang'anie manunuzi? Lazima ukiona hivyo ujuwe mhusika kuna ufisadi wake anaufanya pale manunuzi!
 
Hapo kwa kijana wa manunuzi kumpeleka library...lazima atakuwa amedanganya tu ...akina MILARD AYO ndo fursa zenu hizi kwenda kumhoji kijana...haiwezekani serikali itoe pesa kumsomesha mtu manunuzi halafu aishie kufanya kazi library kwani hamna librarian???
Kozi zote za manunuzi zina husisha warehouse management au store keeping. Principles za warehousing ziko applicable by 100% kwenye utunzaji vitabu makataba. Profesa hakukosea kumpeleka huko. Siyo misallocation of resources hii
 
Mkuu wewe ungekuwa yule kijana wa manunuzi na ukapelekwa maktaba ..je ungekubali?usiwe unaongea kwa ushabiki jamaa ana hoja ya kujibu ..!!
Kwan maktaba si kapelekwa kwa ishu za manunuzi ya vitabu?
Kwani kuna kosa gani mtu kuhamishwa?
 
Mkuu wewe ungekuwa yule kijana wa manunuzi na ukapelekwa maktaba ..je ungekubali?usiwe unaongea kwa ushabiki jamaa ana hoja ya kujibu ..!!
Hapo kwa kijana wa manunuzi kumpeleka library...lazima atakuwa amedanganya tu ...akina MILARD AYO ndo fursa zenu hizi kwenda kumhoji kijana...haiwezekani serikali itoe pesa kumsomesha mtu manunuzi halafu aishie kufanya kazi library kwani hamna librarian???
Soma maelezo vizuri, library kapelekwa kwa ishu za manunuzi ya vitabu
 
Uko sawa kabisa... library waachiwe librarian na manunuzi waachiwe watu wa manunuzi...prof ana la kujibu hapa..
Yawezekana NUMAN ndiye mfanyakazi mwenyewe aliyetoka Procurement kwenda Maktaba (Robert Mwitango), yuko hapa kutafuta sympathy.

Kwanza naona hakuna issue yeyote ya maadili hapa. Sekretariati ya Maadili nayo imekuwa INFLUENCED tu na ndugu wa Robert Mwitango na kuifanya hii ni issue.

Issues za manaunuzi zina Mamlaka yake ya kushughulikia ambayo ni PPRA. Issue ya uhamisho wa wafanyakazi ingepelekwa kwenye Bodi ya Utawala ya Chuo.

Na jinsi Sekretariati ya Maadili ilivyo kurupuka, imeamua kuweka kwenye magazeti ili iwe public vitu TRIVIALS kama hivyo.
 
Mkuu wewe ungekuwa yule kijana wa manunuzi na ukapelekwa maktaba ..je ungekubali?usiwe unaongea kwa ushabiki jamaa ana hoja ya kujibu ..!!
Unapaswa kukubali. Kwa kila mkataba wa ajira, kuna hii sentensi; ...PAMOJA NA KAZI NYINGINE NITAKAZOPANGIWA NA MWAJIRI
 
Prof anaweza jaribu kuchomoka ila kuna sehemu unaona kabisa ana shida.

Afisa Daraja la kwanza unampeleka kua mapokezi Maktaba? Na siyo taaluma yake?

Afisa Daraja la pili anakua mkuu wa idara baada ya uhamisho ambao haujakamilika? Hapa kazi ipo
Hakuna issue yeyote ambayo Profesa Sedoyeka anaweza kupoteza kazi. Kama hawamtaki natoa njia 2 tu:-

1) Wamatafutie kazi nyingine kupitia Mamlaka yake ya uteuzi

2) Kwa kuwa Rector/ Principal wa IAA ni kazi ya mkataba, wamvumilie tu mpaka mkataba wake uishe, halafu wasi RENEW

NB:
Mchakato wote wa kumpeleka kwenye Sekretariati ya Maadili ni kinyume na Sheria ya Utumishi wa Umma Namba 8 ya mwaka 2002 na Kanuni zake za 2003..

Maamuzi yeyote dhidi ya Profesa Sedoyeka kwa hizo tuhuma FEKI, ni kumuandalia fidia tu kwenye Mahakama.

Najua humu kuna wanafunzi na wafanyakazi wa IAA, naomba hii POST yangu muiweke AKIBA. Iko siku mtairejea
 
Unapaswa kukubali. Kwa kila mkataba wa ajira, kuna hii sentensi; ...PAMOJA NA KAZI NYINGINE NITAKAZOPANGIWA NA MWAJIRI
Sidhani kama upo sahihi.
Unatafsiri vibaya kuhusu kipengele hiki.

Kipengele hiki hakimpi haki Mwajiri katika kumpangia Mtumishi wake Majukumu ya kazi ambayo hayaendani kabisa na Taaluma yake aliyosomea.

Kwa hiyo unataka kusema kwamba labda kutokana na uchache wa Madaktari wa Tiba (Medical Doctors), Uongozi wa Hospitali Kama vile ya Muhimbili wanaweza wakawabadilishia Majukumu ya Kazi Madereva wa Magari na kuwapangia kazi au Majukumu Mapya ya kufanya kazi za kutibu wagonjwa eti kwa sababu Madaktari waliopo ni wachache na eti kwa kuwa Uongozi wa Hospitali hiyo wanayo mamlaka ya kuwabadilishia majukumu ya kazi Waajiriwa wao?? Is it???
 
Vituhuma vidogo vidogo kama hivi kwa nini vinapewa publicity kubwa? Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Isije ikawa huyu Prof ana mpango wa kugombea nafasi ya kisiasa kwa hiyo anapata preemptive attacks.
Bado hujakutana na tuhuma za kijinga mkuu utacheka.

Kuna ambao wanatuhumiwa kuwa watovu wa nidhamu kwa kukataa kula.

Hapa Bongo watu wana majungu sana mkuu. Hasa wale wenye uwezo mdogo wa kazi.
 
Hakuna issue yeyote ambayo Profesa Sedoyeka anaweza kupoteza kazi. Kama hawamtaki natoa njia 2 tu:-

1) Wamatafutie kazi nyingine kupitia Mamlaka yake ya uteuzi

2) Kwa kuwa Rector/ Principal wa IAA ni kazi ya mkataba, wamvumilie tu mpaka mkataba wake uishe, halafu wasi RENEW

NB:
Mchakato wote wa kumpeleka kwenye Sekretariati ya Maadili ni kinyume na Sheria ya Utumishi wa Umma Namba 8 ya mwaka 2002 na Kanuni zake za 2003..

Maamuzi yeyote dhidi ya Profesa Sedoyeka kwa hizo tuhuma FEKI, ni kumuandalia fidia tu kwenye Mahakama.

Najua humu kuna wanafunzi na wafanyakazi wa IAA, naomba hii POST yangu muiweke AKIBA. Iko siku mtairejea
Sidhani kama upo sahihi.

Ingawaje kwa kiasi fulani Prof. Sedoyeka amejitahidi kujibu baadhi ya hoja kwa usahihi, lakini bado kuna baadhi ya hoja ambazo anapaswa azitolee ufafanuzi wa kina zaidi, hususani kuhusu suala hili la Uhamisho wa Ndani wa huyo Mtumishi mwenye taaluma ya manunuzi kwenda Idara ya Maktaba.
Prof. Sedoyeka ana HOJA ZA KUJIBU:-
1. Kama lengo lilikuwa ni kuongeza ufanisi kwenye Idara hiyo ya Maktaba, Je, ni kwa nini Mtumishi huyo aliyehamishwa hakupewa na Maainisho ya Majukumu yake Mapya (Job Descriptions mpya) wakati alipohamishiwa huko Maktaba??
2. Kwa kuwa Mtumishi huyo hakupewa New Job Descriptions, maana yake ni kwamba Majukumu yake yale yale ya awali aliyopangiwa na Mwajiri wake ndiyo anapaswa kuendelea nayo akiwa huko kwenye Idara mpya ya Maktaba alikohamishiwa. Sasa; Je, kwa nini Mtumishi huyo apangiwe majukumu mengine Mapya kabisa kinyume na taaluma yake aliyosomea na kinyume kabisa na majukumu yake ya awali ambayo alipangiwa na ambayo pia ndio sababu za Msingi zilizopelekea Mtumishi huyo kuajiriwa na hiyo taasisi? So Where is the purpose of Professionalism and Job Specialization for the Job-seekers or Employees?? Je, kulikuwa na sababu gani ya kumuajiri Mtumishi mwenye sifa hizo za taaluma ya Manunuzi wakati kazi zake au majukumu yake atakayopangiwa hayaendani na uhitaji wa taaluma hiyo?? Jambo hili ni kitendo cha hatari Sana endapo kama utalifanyia tathmini ya kina Sana.
Yaani Kama vile Utawala wa Hospitali ya Muhimbili Leo hii kwa kutumia njia za holela waamue kuwabadilishia majukumu ya kazi baadhi ya Madereva na kuwapangia Majukumu Mapya ya kazi za Udaktari wa Tiba ya Binadamu na kisha kuwaruhusu Madereva hao waanze kuingia kwenye Vyumba vya Upasuaji Wagonjwa ili waweze kuwafanyia Upasuaji (Surgery) wagonjwa wenye uhitaji wa huduma hiyo!
 
Sidhani kama upo sahihi.

Ingawaje kwa kiasi fulani Prof. Sedoyeka amejitahidi kujibu baadhi ya hoja kwa usahihi, lakini bado kuna baadhi ya hoja ambazo anapaswa azitolee ufafanuzi wa kina zaidi, hususani kuhusu suala hili la Uhamisho wa Ndani wa huyo Mtumishi mwenye taaluma ya manunuzi kwenda Idara ya Maktaba.
Prof. Sedoyeka ana HOJA ZA KUJIBU:-
1. Kama lengo lilikuwa ni kuongeza ufanisi kwenye Idara hiyo ya Maktaba, Je, ni kwa nini Mtumishi huyo aliyehamishwa hakupewa na Maainisho ya Majukumu yake Mapya (Job Descriptions mpya) wakati alipohamishiwa huko Maktaba??
2. Kwa kuwa Mtumishi huyo hakupewa New Job Descriptions, maana yake ni kwamba Majukumu yake yale yale ya awali aliyopangiwa na Mwajiri wake ndiyo anapaswa kuendelea nayo akiwa huko kwenye Idara mpya ya Maktaba alikohamishiwa. Sasa; Je, kwa nini Mtumishi huyo apangiwe majukumu mengine Mapya kabisa kinyume na taaluma yake aliyosomea na kinyume kabisa na majukumu yake ya awali ambayo alipangiwa na ambayo pia ndio sababu za Msingi zilizopelekea Mtumishi huyo kuajiriwa na hiyo taasisi? So Where is the purpose of Professionalism and Job Specialization for the Job-seekers or Employees?? Je, kulikuwa na sababu gani ya kumuajiri Mtumishi mwenye sifa hizo za taaluma ya Manunuzi wakati kazi zake au majukumu yake atakayopangiwa hayaendani na uhitaji wa taaluma hiyo?? Jambo hili ni kitendo cha hatari Sana endapo kama utalifanyia tathmini ya kina Sana.
Yaani Kama vile Utawala wa Hospitali ya Muhimbili Leo hii kwa kutumia njia za holela waamue kuwabadilishia majukumu ya kazi baadhi ya Madereva na kuwapangia Majukumu Mapya ya kazi za Udaktari wa Tiba ya Binadamu na kisha kuwaruhusu Madereva hao waanze kuingia kwenye Vyumba vya Upasuaji Wagonjwa ili waweze kuwafanyia Upasuaji (Surgery) wagonjwa wenye uhitaji wa huduma hiyo!
Naomba urudi tena kwenye post yangu ukasome kwa kuelewa (Read to understand).

Zile ni figisu za kiofisi tu kati ya Wafadhili wa Robert Mtwango na Prof Sedoyeka. Hiyo Sekretariati ya Maadili haina jurisdiction ya kusikiliza hizo hoja, bali wenye mamalaka na PPRA na Bodi ya Utawala ya Chuo.

Wanasema wakimaliza kuchambua majibu watapeleka kunakostahil, I assure you itakwenda kutupwa kwenye faili tu.

Hatua yeyote hasi itakayochukuliwa dhidi ya Profesa Sedoyeka ina consequences zake kisheria
 
Sidhani kama upo sahihi.
Unatafsiri vibaya kuhusu kipengele hiki.

Kipengele hiki hakimpi haki Mwajiri katika kumpangia Mtumishi wake Majukumu ya kazi ambayo hayaendani kabisa na Taaluma yake aliyosomea.

Kwa hiyo unataka kusema kwamba labda kutokana na uchache wa Madaktari wa Tiba (Medical Doctors), Uongozi wa Hospitali Kama vile ya Muhimbili wanaweza wakawabadilishia Majukumu ya Kazi Madereva wa Magari na kuwapangia kazi au Majukumu Mapya ya kufanya kazi za kutibu wagonjwa eti kwa sababu Madaktari waliopo ni wachache na eti kwa kuwa Uongozi wa Hospitali hiyo wanayo mamlaka ya kuwabadilishia majukumu ya kazi Waajiriwa wao?? Is it???
Wataalam wameweka wazi kuwa Afisa Ugavi anafaa kabisa kupelekwa Maktaba. Kwa muktadha huo, Prof alikuwa sahihi kufanya mabadiliko katika wafanyakazi wenzake. Lengo mama likiwa ni kuongeza ufanisi
 
Hakuna issue yeyote ambayo Profesa Sedoyeka anaweza kupoteza kazi. Kama hawamtaki natoa njia 2 tu:-

1) Wamatafutie kazi nyingine kupitia Mamlaka yake ya uteuzi

2) Kwa kuwa Rector/ Principal wa IAA ni kazi ya mkataba, wamvumilie tu mpaka mkataba wake uishe, halafu wasi RENEW

NB:
Mchakato wote wa kumpeleka kwenye Sekretariati ya Maadili ni kinyume na Sheria ya Utumishi wa Umma Namba 8 ya mwaka 2002 na Kanuni zake za 2003..

Maamuzi yeyote dhidi ya Profesa Sedoyeka kwa hizo tuhuma FEKI, ni kumuandalia fidia tu kwenye Mahakama.

Najua humu kuna wanafunzi na wafanyakazi wa IAA, naomba hii POST yangu muiweke AKIBA. Iko siku mtairejea
Kama hiyo sheria ipo itakua hao wahusika wanajua.

Na hii itamaanisha siyo kwamba wanamtarget kufukuzwa ila wanamtarget maamuzi yake yabatilishwe.
 
Wataalam wameweka wazi kuwa Afisa Ugavi anafaa kabisa kupelekwa Maktaba. Kwa muktadha huo, Prof alikuwa sahihi kufanya mabadiliko katika wafanyakazi wenzake. Lengo mama likiwa ni kuongeza ufanisi
Wala siyo kukiuka maadili. Hiyo ni sehemu ya shughuli za Mkuu wa Chuo
 
  • Thanks
Reactions: BRB
Kama hiyo sheria ipo itakua hao wahusika wanajua.

Na hii itamaanisha siyo kwamba wanamtarget kufukuzwa ila wanamtarget maamuzi yake yabatilishwe.
Hana sababu ya kubadili maamuzi. Akibadili atainekana ametepeta na hana msimamo
 
Yawezekana NUMAN ndiye mfanyakazi mwenyewe aliyetoka Procurement kwenda Maktaba (Robert Mwitango), yuko hapa kutafuta sympathy.

Kwanza naona hakuna issue yeyote ya maadili hapa. Sekretariati ya Maadili nayo imekuwa INFLUENCED tu na ndugu wa Robert Mwitango na kuifanya hii ni issue.

Issues za manaunuzi zina Mamlaka yake ya kushughulikia ambayo ni PPRA. Issue ya uhamisho wa wafanyakazi ingepelekwa kwenye Bodi ya Utawala ya Chuo.

Na jinsi Sekretariati ya Maadili ilivyo kurupuka, imeamua kuweka kwenye magazeti ili iwe public vitu TRIVIALS kama hivyo.
Hapa ni jukwaa huru ..Kila member anaweza kusema lolote maadamu havunji Sheria za jf ..kwa hiyo mtu akionewa ukiwa upande wake ndo umekuwa mhusika?..sijapenda ulivyo assume kuwa naweza kuwa mhusika ...ww jibu hoja
Usimtetee huyo prof..lengo lake ni kumuadhibu huyo kijana kwa kichaka cha kutekeleza majukumu yake...
Mtu unafanya manunuzi na ndio kazi uliyosomea mara paaap uko library unakagua wanaoingia na kutoka...rubbish kabisa kwani hamna walinzi hapo?walinzi ndio kazi zao za kukagua wanafunzi wanaoingia na kutoka library
 
Back
Top Bottom