Majibu ya TCU bado hayajatoka?


principle ni D kwa mwaka jana but kwa mwaka huu ni sawa na C ref: tcu guidbook 2014
 
Ndio mkuu mi kuna mdogo wangu imeshaproced tayari kwenye kozi 4 lakin ya tano inazingua.

kuna sehemu imeandikwa clear my application,mwambie a clear then ajaze tena zote tano hapo itakubali
 
Jamani mm bdo cjafanya app coz utata upo kwenye selection ya facult sasa cjajua kama mnWeza nitajia facult ,5, za science ambazo ajira ake ni rahc kupata na zina mshahara wake ni mzuri... isiwe education jamani plz nisaidieni..... kwa mtu alie soma PCB na CBG
 


Medicine

Orthopaedic

Pharmacy
 
mkuu mi nina CDE nilimaliza 2008 Nimeomba education means naweza kukosa au niaje

ww apo umepiga sana tu na watatumia kwako old grading system. hiyo new grading system ni waliomaliza kuanzia 2014
 
Inaonekana mnaumiza sana vichwa na profile zenu,ondoeni shaka dedline bado,na checking is in progress kwa bachelor zote mlizochagua it means that watu wanaendelea kufanya choice ya bachelor na ndio maana kila leo idadi ya machaguo yanabadilika mfano bachelor ya animal science ilikuwa themanini first choice leo themanini na nne.CHA MSINGI SUBIRI DEDLINE NA WAKO FASTER COZ MUDA UMEKWENDA SANA.NDANI YA MWEZI WA TISA KATIKATI MAMBO YOTE YATAKUWA OPEN.
 
naxhkrun kwa uxhauri wenu na mm nitachanganya na zangu ictoshe dogo ni mwl wa s/m hivyo ataaprly education na hizo alama zake za BDE za mwaka huu pia matokeo yake ya cheti ni credit ya 3.9
 
Hivi kwa wale walioapply TCU.
Majibu yakoje make mimi profile langu halijajibiwa. Ni mimi tu au?
Je wengine mmejibiwa
 
remember that two principle passes are required for Bachelor program and this year principle pass is C

uskariri kjana tcu wamesema inorder for a person to qualify to join higher education institutions must have atleast two D's.... watu wanatafuta kura kjana wanakupga four ili jamii ione umefaulu kawaida then anakupeleka chuo kwa kua umekidhi vigezo iii ndo brn bna kma madogo wnyw hadi 4 zmeenda form 5 takriban watu 70,000 wamechaguliwa nauku nyie wa mwka uu mpo 35000 kna vyuo mpaka sebastian kolowa cha msng n kuwa makn na kuchagua vyuo vya kawaida na facat za kawaida(bed). kma dogo ana 4..
 
'Met min requirment' ina maana gani ktk selection status ya tcu?(Fafanua)
 
Hii inahusu sana na kuangalia kama una vigezo vinavyoendana na course uliyoomba au sio
 
Kweli homa inakuwa kubwa. Mimi ni muhusika mwaka huu na profile yangu iko approved sellection status ni not yet processed so nahisi muda ni bado kidogo sana kwani hata vyuo vinginhi vinagungua mwezi wa tisa
 
Kweli homa inakuwa kubwa. Mimi ni muhusika mwaka huu na profile yangu iko approved sellection status ni not yet processed so nahisi muda ni bado kidogo sana kwani hata vyuo vinginhi vinagungua mwezi wa tisa


Vyuo vingi vitafungua kwenye 20's of september hapo au early in October
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…