Majibu ya Ubalozi wa Marekani kwa BAWACHA baada ya kushinikiza Freeman Mbowe kuachiwa huru

Hukusoma literature wewe
Due process according to the law
Sheria ya ugaidi haina dhamana,mana yake Mbowe yupo kwenye mchakato sahihi,transparency,maana yake amefikishwa kwenye mahaka ya wazi
Tutulie tu,wamarekani wameshawachoka
Mbona Balozi hakugusia waliokaa uchi, au hiyo si due process? Wadada wamekaa pose ya kulika na kuonyesha makalio yao shepu nzuri zimejaajaa, nadhani wanataka biashara ya ushikwaji wakajiuze USA. Is Mr Ruge married?Ana watoto? Anawaleaje?
 
Rwanda Wapinzan huwa wanapotezwa kabisa Burundi ndo kabisa hawasikiki Kenya apo wasaniii tu misri pale wamenyongwa wote Hawa mabeberu wanaangalia maslahi tu sasa acha ukichanganya na ubinafsi wa upinzan uchwara ndo kabisa wamejibiwa kizarau
 
Waambieni Mama alishakubali chanjo ya Covid kwa hiyo wazungu hawana ujanja tena ila kufyata mkia
 
Tafsiri ni haki ya kila mtu.

Huo ujumbe uko so diplomatic.

Kimsingi due process kwa mbowe imefuatwa kwani amefikishwa mahakamani. So, hawezi iambia serikali kuwa ifuate due process.

Ukisoma ndani ya mistari, ni ujumbe kwa wanaolalamika kuwa, mahakama ni moja ya msingi wa Demokrasia so waheshimu.

By, the way sheria za 'kibalozi' zinazuia nchi/balozi kuingilia shughuli za kimahakama za nchi nyingine. Wanaweza wakawa na sauti issue ikiwa police, ila ilishafika mahakamani, hakuna wanachoweza kifanya, cha kisheria.
 
Sikiliza,hata Yule jiwe mwendazake hakulazimishwa Na marekani Kwa lolote Ila jifunze kilichompata.
 
Kwa kweli kuwaza kuwa Marekani ndio tiba ya madai yao, ni fikra za kikoloni sana. Kama wao chadema hawawezi ingia barabarani, na kutegemea ubalozi wa US ndio uwasaidie, ni ishara kubwa kuwa kama taasisi hawajielewi na wameshindwa kutimiza wajibu wao.

By, the way, Int' Community huwa haijali masuala ya Demokrasia pindi maslahi na mahusiano na nchi husika yako mazuri. Ingekuwa ni hivyo, Museven angekuwa ameshavamiwa miaka mingi sana. Kwa sasa, Samia ni 'darling of the west'. Hakuna msaada wanaoweza kuupata.
 
K
Kuwaza kuwa majirani WA familia yako hawana msaada wowote mnapopigana.Tanzania ni kisiwa inaweza kufanya lolote ETI!
 
Wewe acha kujipendekeza, akina Makonda wamefanya atrocities nyingi sana ktk nchi hii lakini kila siku wanalala na kuamkia majumbani mwao.

Sasa leo Mbowe kudai katiba mpya ameshabambikiwa kesi ya ugaidi. Hakuna udhalimu unaodumu ktk dunia hii Magufuli aliyebobea kwa dhuluma leo yuko wapi.
 
Sasa mkuu kwa akili yako wale wote waliye kuwa wakigaragara pale barabarani nje ya ubalozi ww umeaona wapo sawa, Bangi zile ndugu yangu, mimama na minyananyama yao inakwenda garagara barabarani,
Istoshe kwa wanao ufahamu ubalozi wa Marekani ulipo utakubaliana na mm kuwa Ile n barabara ipitayo ubalozini na siyo ubalozini, ningewaona wa maana Sana wangeingia ndani kwenye viwanja vya ubalozi Kama Kuna ambaye angerudi.
 

Kama ambavyo hakuna ideal gas, basi hakuna ideal democracy lakini kuna baadhi ya mataifa demokrasia yao inaaproach ideality.
 
Waliofungwa Guantanamo bay waliafuata due process?
 
Ndo msubiri sasa mahakama itende haki. Kwanini wanashinikiza Marekani iingilie kati. Kwa hiyo wanataka waiingilie mahakama. Sasa demokrasia wanayoipigania iko wapi?
Kina tony hawawagi wajinga hivi
 
Thanks Popoma.

Umewachana vilivyo na mondo zilizotukuka kabisa.
 
CCM haijui English , hiyo ni afadhali, ninavyoelewa CCM hata hicho kiswahili kinawapa shida
 
We chawa wa CCM tu

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…