Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
Naheshimu mawazo yako Thadei Ole Mushi,nilijua utatutajia nini kimempata Ndugai lakini umeishia kupamba pambo maua,kupiga maneno na kutuletea maajabu ya Bongo,bongo sihami.Unasema awamu ya tano imeishia kununua wapinzani na kukopa Trillion 29,ninukuu ya Mzee Mwinyi sijui kama nainukuu sawa sawa "tukichukua miaka yetu 30 yeye Rais Magufuli amefanya zaidi yetu sisi wote" hii ni busara kubwa kwako Thadei Ole Mushi,Sina haja ya kutaja Mambo makubwa aliyofanya Rais Magufuli maana kila Mtanzania anajua.
Thadei umesema wenye akili uwa hawashangai kwa nini deni la Taifa linaongezeka,wao ujikita kuangalia kwa nini tumekopa na matumizi sahihi ya mkopo wenyewe,hapa umesema vyema na mfano wa matumizi sahihi ni Awamu ya tano,jua linajua,mvua inajua,mbingu na ardhi zinajua lakini Thadei umejisifia sana kuwa kukopa sio tatizo kwa sababu Marekani imekopa,Uingereza imekopa na China imekopa,Sasa nikufungue akili Thadei Ole Mushi,
Sikatai kuwa na Marekani wanadaiwa but tujiulize Marekani bado inadai nchi nyingi mabilioni ya madeni pia China inaidai karibu bara zima la Africa
Swali.
Sisi Tanzania tunawadai nchi gani?
Ili tufidie Kama China inavyo daiwa madeni bilioni USA 100 afu inadai USA TIRIONI 100
tusijilinganishe na USA ambayo inadai madeni fedha nyingi kuliko wanavyodaiwa
Muulizeni Ole China japo inadaiwa but inadai madeni kiasi gani duniani na Africa?
China ndo waliishikilia bandari ya Singapore kwa miaka 30 kwa kuidai, China ndo wameshika mateka uwanja wa Kampala kwa kudai madeni
China inaidai Kenya mabilioni ya shilingi.
SWALI
Sisi Tanzania tunawadai nchi gani?
na Tirioni ngapi?
Tunadaiwa Tirioni 70, Sasa sisi tunadai nchi nyingine Tirioni ngapi
Endeleeni kujilinganisha na madeni ya marekani na China ambao wao wanadai zaidi kuliko wanavyodaiwa ipo siku nchi itapigwa mnada,namsupport Ndugai ila siungi mkono tozo,Tanzania ni tajiri tukutane 2025.
Thadei umesema wenye akili uwa hawashangai kwa nini deni la Taifa linaongezeka,wao ujikita kuangalia kwa nini tumekopa na matumizi sahihi ya mkopo wenyewe,hapa umesema vyema na mfano wa matumizi sahihi ni Awamu ya tano,jua linajua,mvua inajua,mbingu na ardhi zinajua lakini Thadei umejisifia sana kuwa kukopa sio tatizo kwa sababu Marekani imekopa,Uingereza imekopa na China imekopa,Sasa nikufungue akili Thadei Ole Mushi,
Sikatai kuwa na Marekani wanadaiwa but tujiulize Marekani bado inadai nchi nyingi mabilioni ya madeni pia China inaidai karibu bara zima la Africa
Swali.
Sisi Tanzania tunawadai nchi gani?
Ili tufidie Kama China inavyo daiwa madeni bilioni USA 100 afu inadai USA TIRIONI 100
tusijilinganishe na USA ambayo inadai madeni fedha nyingi kuliko wanavyodaiwa
Muulizeni Ole China japo inadaiwa but inadai madeni kiasi gani duniani na Africa?
China ndo waliishikilia bandari ya Singapore kwa miaka 30 kwa kuidai, China ndo wameshika mateka uwanja wa Kampala kwa kudai madeni
China inaidai Kenya mabilioni ya shilingi.
SWALI
Sisi Tanzania tunawadai nchi gani?
na Tirioni ngapi?
Tunadaiwa Tirioni 70, Sasa sisi tunadai nchi nyingine Tirioni ngapi
Endeleeni kujilinganisha na madeni ya marekani na China ambao wao wanadai zaidi kuliko wanavyodaiwa ipo siku nchi itapigwa mnada,namsupport Ndugai ila siungi mkono tozo,Tanzania ni tajiri tukutane 2025.