Majiji 5 kwa Uzuri Tanzania

Acha porojo wewe ,Tanga ni kama kivuko tuu,uliwahi ona wapi mkoa wa Tanga uko top 5 ya kuchangia GDP ya Taifa?
 
Hii nchi imejaa watu wenye mihemko na wajinga mko radhi kubisha hadi Takwimu sahihi zilizopo ila mkashadidia hisia zenu binafsi

Umeambiwa Mkoa wa Tanga haipo hata top 5 ya mikoa inayochangia zaidi Pato la Taifa unabisha,humu ndani kuna uzi utafute uusome.
 
Toa mwanza aisee,ipo wap moshi
 
Yan Mwanza Ni ya Tano kwa umaskini Tanzania Halafu hiwe nzuri [emoji23][emoji23] na Moshi utasemaje Ambayo hipo kilimanjaro[emoji23]
 
Kuna beach gani nzuri...?!
Kuwe na beach kwani kuna ziwa au bahari? Mwanza kungekuwa na beach nzuri si mungeongoza kwa utalii wa beach kama Zanzibar?

Hakuna kitu huko cha maana,kwa mfano siwezi funga safari kuja Mwanza kwa sababu sina cha maana kuja kuangalia.

Mara mia niende Dom nitazunguka hata Mji kuona ikulu, barabara za mzunguko,projects nyingi za kupanga Mji nk

Bora niende hata Mbeya ni drive ile road ya kuelekea Chunya nione zile Kona kali na mandhari ya kuvutia ya mlima kawetele na Mbeya.
 
Weka barabara kama za Arusha Acha porojo za kipuuzi
 
Lock?wat[emoji23]
 
Umekamilika bhana
Acha porojo zako
Huelewi kitu acha makelele,kama umekamilika mitambo ya mkandarasi inafanya nini pale?

Serikali bado inaweka tabaka la runway nyingine na kuondoa la zamani au kufanya overlay maana wajenzi wa awali walijenga chini ya Kiwango.

Pili wanamalizia ujenzi wa maeneo ya parking za ndege,kufunga radar,kujenga cold Room,VIP lounge na Kazi zingine ndogo ndogo.

Uwe unafuatilia bajeti za kisekta zinaposomwa na mawaziri husika sio kupayuka wakati huna data
 
Vyuo si maendeleo
Nyie mlionanvyo vingi vinawasaidiaje maana havisomeshi wana mbeya tu ni tz yote pengine hata wazawa wa mbeya hawasomei huko
Vinavuta huduma na biashara zingine kuanzishwa,vinaongeza mzunguko wa pesa jijini na vinaleta hadhi ya Jiji kwamba ni la kitaaluma.

Mwisho tunapata varieties za watoto wakali kutoka pande zote za Nchi
 
Shida ya jiji la mbeya halipendezi katikati ya mjini nyumba zimejengwa Kwa tofali mbichi halafu hazijapigwa plasta. Katika miji mingi niliyotembea Tanzania mbeya ndio jiji pekee tatikati ya mji nyumba zimejengwa Kwa tope
Acha porojo mkuu kwani kama tofari mbichi hazifanyi nyumba kuanguka tatizo lako nini?

Pili aliyekwambia Mbeya ya zamani bado iko vilevile ni nani?

Na kinachofanya wengi kupuuza ni ufinyu wa miundombinu ya barabara ambayo nayo itakuwa worked before 2025 ,dual carriage road zitajengwa na bypass 2 na kuzidi kuboresha za mitaani kwa hiyo hiyo picha itabadilika.

Mwisho Yale mashamba ya chuo cha kilimo Uyole yakichukuliwa na Jiji/Manispaa ya Uyole na kuendelezwa kimakazi ,Mbeya itakuwa vizuri kuliko Miji Mingi ya Tzn hii.
 
Achana na mjinga huyo anakupotezea time kumjibu
 
Uwanja unatumia miaka 10 kujengwa?
Bas tungesema hata ni international airport kwamba kuna buildings kali za maana zinajengwa.
Cha ajabu ni jengo mfano wa kichuguu haha
Mnafurahisha na hicho kijiji chenu aisee
 
Vinavuta huduma na biashara zingine kuanzishwa,vinaongeza mzunguko wa pesa jijini na vinaleta hadhi ya Jiji kwamba ni la kitaaluma.

Mwisho tunapata varieties za watoto wakali kutoka pande zote za Nchi
Hebu taja huduma vilizo vutwa mbeya kukaifanya itishe kuliko majiji mengine
Mnafika hadi hatua za kujisifia vyuo kwakwel dawa imewaingia na ukitoa TEKU na MUST vingine ni branches na collages haya hivyo vyuo vingi vipo wap?
 
Eti mbeya ya zaman na ya sasa hahaa
Kwan kuna majiji gani yaliyo ya zaman na sio ya sasa
Unavyo ongea utadhania utafikiria majiji mengije ni ya zaman na mbeya ni ya kisasa
Dual carriage my foot serikali haiwez jenga huu mradi kwenye kjj cha mbeya
 
Kwenu wapi mkuu tupime Kama kumeizidi Mbeya kimaendeleo. Mbeya imeendelea katika sekta nyingi kuanzia elimu mpaka michezo. Tusiendekeze chuki Mbeya ni jiji la mfano nchi hii Kwa maendeleo ya kweli.

Ni Mbeya penye shule nzuri, uchumi mzuri Kwa wakazi wake, ni Mbeya kwenye Tim nyingi za soka. Haya Mambo unayakuta wapi kwingine Tanzania hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…