Majiji 5 kwa Uzuri Tanzania

Hii ni miji mikubwa ila sio mii mizuri,toa mbeya weka tanga
 
Kama Mbeya ni pazuri basi TAnzania hakuna miji mizuri. Mbeya! Pyuuuuuu!
 
Hii haina uhalisia hapo ungeweka Mimi mizuri kwa asili na sio hizo man made materials kuna miji kiasili inavutia kama mwanza,arusha,Kilimanjaro....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…