Ndiyo sababu tunasema Mbeya si mji. Watu wa mjini wanajua tofauti ya mandhari na mji. Eti ziwa ngozi na mlima loleza!. Hata katika vivutio hamsini vya taifa havimo. Unapoendelea kujidhihirisha hapa, unazidi kushusha hicho kijiji uchwara cha Mbeya.Mbeya ni nzuri kuliko hivyo Vimiji vyenu uchwara,ukipewa picha ya ziwa ngozi au mlima loleza au miteremko ya barabara ya mlima kawetele unaweza Shani uko uswisi au Himalaya nk
Shida yenu hata hamjawahi tembea Tzn hii.
Kwanza Mwanza na Dom kuna uzuri gani hapo