Majiji 5 kwa Uzuri Tanzania

Majiji 5 kwa Uzuri Tanzania

Hii hapa ni orodha ya Miji mizuri Tanzania.
1-Dar es Salaam (Mzizima)
Eneo la mkoa ni jiji la Dar es Salaam ambalo ndilo kitovu cha shughuli za biashara (na za utawala, kwa kiasi fulani) nchini Tanzania, na ni kati ya majiji yanayokua haraka zaidi duniani.

Ni km² 1,800 pamoja na visiwa vidogo 8 na eneo la bahari kati ya pwani na visiwa hivi. Eneo la nchi kavu pekee ni km² 1,393.

Kuna wilaya tano: Kinondoni (wakazi 1,775,049), Ilala (wakazi 1,220,611) na Temeke (wakazi 1,368,881) ambazo zimeongezewa Kigamboni na Ubungo. Kila moja inaangaliwa kama mji. Takwimu hizi ni za mwaka 2012, kwa ujumla idadi ya wakazi ilikuwa 4,364,541.

Wakazi asili wa eneo la mkoa walikuwa Wazaramo pamoja na makabila madogo kama vile Wandengereko na Wakwere. Kutokana na kukua na kupanuka kwa jiji kuna makabila yote ya Tanzania.

2-Mwanza (Rocky city)
Jiji la Mwanza ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Mwanza. Mji upo kando la ziwa Viktoria Nyanza Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 378,327 (ukijumlisha wakazi wa Wilaya ya Nyamagana na sehemu za Wilaya ya Ilemela).

3-Arusha (A city)
Arusha ni jiji la kaskazini mwa Tanzania na makao makuu ya Mkoa wa Arusha. Kiutawala eneo la jiji la Arusha ni sawa na eneo la Wilaya ya Arusha Mjini. Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 416,442

4-Dodoma (Idodomya)
Ilitangazwa kuwa mji mkuu wa Tanzania mwaka 1973, lakini mnamo tarehe 26 Aprili 2018 katika maadhimisho ya miaka 54 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano John Magufuli aliupandisha hadhi na kutangaza rasmi kuwa Dodoma ni Jiji. Serikali ya awamu ya tano ilihamia rasmi jijini Dodoma mwaka 2016.

Jiji hili pia ni makao makuu ya Mkoa wa Dodoma na eneo lake linahesabiwa kama Wilaya ya Dodoma .

Eneo la mji liko mita 1135 juu ya usawa wa bahari UB. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, mji wa Dodoma ulikuwa na wakazi wapatao 410,956 waishio humo.

5-Mbeya (Green city)
Mbeya ni mji wa nne kwa ukubwa nchini Tanzania. Idadi ya wakazi imehesabiwa kuwa 385,279 katika sensa ya mwaka 2012. Wengine 300,000 hivi wanaishi katika mazingira karibu na Mbeya mjini.

Kiasili Mbeya ilikuwa eneo la Wasafwa. Siku hizi sehemu kubwa ya wakazi wanaweza kuwa mchanganyiko wa Wasafwa pamoja na makabila ya Wanyakyusa kutoka wilaya za Rungwe na Kyela, Wanyiha kutoka Mbozi, Wandali kutoka Ileje na Wakinga kutoka Makete.

Tazama zaidi video ya mandhari ya majiji hayo.


Naomba kujua vigezo ili nami nilete picha zangu za;
  • Kwamtogole Tandale
  • Area C Dodoma
  • Mwanjelwa Mbeya
  • Mabatini Mwanza
  • Ngaramtoni Arusha
 
Naomba kujua vigezo ili nami nilete picha zangu za;
  • Kwamtogole Tandale
  • Area C Dodoma
  • Mwanjelwa Mbeya
  • Mabatini Mwanza
  • Ngaramtoni Arusha
Mkuu tunaomba picha.
Lakini sijakuelewa hayo maeneo uliyo quote ndio sehemu nzuri ya hayo Majiji au.
 
Ulitaka ukute nini? Uzuri wa Mbeya uko kwenye mandhari na jiografia yake..mambo ya miundombinu na mipango miji ni ugonjwa wa nchi nzima
1623589562561.png


Mbeya City
1623589764163.png



Mount Loleza - Unaosifia eti kivutio

1623589926831.png



HIzi ndizo mandhari za Mbeya, nitakuja niwwaambie kwa nini Mbeya patabaki na ujima wake ukipewa Ceremonial Title. Watu wa Mbeya noma sana. Hawataki mawazo ya watu wasiokuwa wa kwao kama vile watu wasio wa Mbeya wanavyopata tabu kuwaongoza hawa watu. Ubishi wa kishamba, ubinafsi na ukablia ndiko mahala pake. Maendeleo yanahitaji kuchanganya fahamu na maarifa. Kaeni na mlima loleza wenu eti ndio kivutio cha jiji. Duh!.
 
1623590387928.png


1623590425645.png

1623590569808.png


1623590785966.png

1623590923796.png


Kuna sehemu gani Mbeya inayoweza kufikia hata robo ya ya mandhari kama hizi?
Sehemu zingine tunaona wanyama wamehama kutoka Serengeti ama mikumi. Lakini huko Mbeya, hata wanyama wa Kituro National Park wanawatambua, mlivyo wabaguzi . Hata hawana mpango wa kutembelea huko. Badilikeni, mfanye maendeleo yasiyo ubaguzi na wivu kwa wageni!. Period
 
View attachment 1817471

Mbeya City
View attachment 1817472


Mount Loleza - Unaosifia eti kivutio

View attachment 1817474


HIzi ndizo mandhari za Mbeya, nitakuja niwwaambie kwa nini Mbeya patabaki na ujima wake ukipewa Ceremonial Title. Watu wa Mbeya noma sana. Hawataki mawazo ya watu wasiokuwa wa kwao kama vile watu wasio wa Mbeya wanavyopata tabu kuwaongoza hawa watu. Ubishi wa kishamba, ubinafsi na ukablia ndiko mahala pake. Maendeleo yanahitaji kuchanganya fahamu na maarifa. Kaeni na mlima loleza wenu eti ndio kivutio cha jiji. Duh!.
Mbeya hamna kitu ..

Ni takataka tu.

Bora mtu ukaishi songwe.
 
View attachment 1817471

Mbeya City
View attachment 1817472


Mount Loleza - Unaosifia eti kivutio

View attachment 1817474


HIzi ndizo mandhari za Mbeya, nitakuja niwwaambie kwa nini Mbeya patabaki na ujima wake ukipewa Ceremonial Title. Watu wa Mbeya noma sana. Hawataki mawazo ya watu wasiokuwa wa kwao kama vile watu wasio wa Mbeya wanavyopata tabu kuwaongoza hawa watu. Ubishi wa kishamba, ubinafsi na ukablia ndiko mahala pake. Maendeleo yanahitaji kuchanganya fahamu na maarifa. Kaeni na mlima loleza wenu eti ndio kivutio cha jiji. Duh!.
Tunasubiri kwa hamu hiyo sababu.
Ngoja tukae kwa kutulia
 
Bujibuji mbona watu wanaibeza mbeya yetu
Wajinga hao wamezaliwa na kukulia Dar hakuna wakijuacho.

Wengine Wana picha za 2014 na kipindi kile wanadanganywa eti ooh Mbeya hakuruhusiwi majengo marefu sijui tetemeko sijui maji na blaa blaa kibao

Kwa taarifa yao Mbeya ya sasa imeendelea na ni Jiji kubwa kuna kila kitu kinachopatikana kwenye majiji mengine.

Tuna changamoto ya barabara tuu ambayo nayo inamalizwa kabla ya 2025
 
Hahahah kwa sasa mbeya hiyo ghorofa ya CWT haiingii kuna mijengo mingi kama NHIF, Maranatha hospital, K's hospital na mingine mingi
Saiz kuanzia Mafiat kwenda meta m ni maghorofa tupu,bado Eneo kuanzia Uyole hadi mwanjelwa along Tanzam highway ni hot kwenye ujenzi
Bado CBD kule kote ni [emoji91][emoji91]

Pia waambie Mbeya ina university/Collage/Campus karibu 10 hata Mwanza haina vyuo vingi kiasi hicho

Saizi Mbeya haijadili maghorofa bali tunajadili barabara dual carriage
 
View attachment 1817471

Mbeya City
View attachment 1817472


Mount Loleza - Unaosifia eti kivutio

View attachment 1817474


HIzi ndizo mandhari za Mbeya, nitakuja niwwaambie kwa nini Mbeya patabaki na ujima wake ukipewa Ceremonial Title. Watu wa Mbeya noma sana. Hawataki mawazo ya watu wasiokuwa wa kwao kama vile watu wasio wa Mbeya wanavyopata tabu kuwaongoza hawa watu. Ubishi wa kishamba, ubinafsi na ukablia ndiko mahala pake. Maendeleo yanahitaji kuchanganya fahamu na maarifa. Kaeni na mlima loleza wenu eti ndio kivutio cha jiji. Duh!.
Acha porojo wewe za kipuuzi wewe Mbeya inazidi kuendelea bila sapoti ya kijinga kutoka kwa mtu yeyote.

Kwa Mwanza kuna nini cha maana au spesho ambacho hakipo Mbeya?
 
View attachment 1817476

View attachment 1817479
View attachment 1817484

View attachment 1817490
View attachment 1817492

Kuna sehemu gani Mbeya inayoweza kufikia hata robo ya ya mandhari kama hizi?
Sehemu zingine tunaona wanyama wamehama kutoka Serengeti ama mikumi. Lakini huko Mbeya, hata wanyama wa Kituro National Park wanawatambua, mlivyo wabaguzi . Hata hawana mpango wa kutembelea huko. Badilikeni, mfanye maendeleo yasiyo ubaguzi na wivu kwa wageni!. Period
Hizo ni mbuga tunazungumzia mandhari ya Mjini na outskirts

Ukianza kutaja hifadhi ,hakuna hifadhi mzuri na kali kama Kitulo almaarufu bustani ya Mungu
 
Saiz kuanzia Mafiat kwenda meta m ni maghorofa tupu,bado Eneo kuanzia Uyole hadi mwanjelwa along Tanzam highway ni hot kwenye ujenzi
Bado CBD kule kote ni [emoji91][emoji91]

Pia waambie Mbeya ina university/Collage/Campus karibu 10 hata Mwanza haina vyuo vingi kiasi hicho

Saizi Mbeya haijadili maghorofa bali tunajadili barabara dual carriage
Weka basi kapicha ka huo uzuri . 2014 bado mlikuwa mnadanganywa!!. Du!. Halafu leo jiji zuri, lakini halina barabara, kwa kuwa n abarabara moja. Bado unatetea ni mji mzuri, unamaendeleo. Siku zote watu wa Mbeya ni conservative. hamtaki kuona kwingine namnaamini mnachojua ninyi ndicho ruler, lakini mko nyuma sana. Kisa ni ubaguzi, ukabila, majungu na fitina kwa wageni.

Majungu si mtaji. Afadhali umesema mwenyewe hadi 2014 mlikuwa mnadanganywa kwa sababu ya kukosa kujifunza kwa wengine. Mbeya, kijiji cha ajabu!. Uyole hadi mafiat. Barabara moja kama viazi vya uporoto.
 
Back
Top Bottom