Majiji 5 kwa Uzuri Tanzania

Kama hauko Dom,Dar na Arusha huna cha kuizingua Mbeya.

Mbeya kuna vyuo vikuu na koleji/kampani takribani 10 ,huwezi kuta kwenye kijiji cha Mwanza
Uwe unasoma na kuelewa nilichoandika, unajibu Kama umepasuka kichwa.

Nakwambia lete city plan , sewage stystem, Transport network ya jiji.

Unakuwa mshamba wa maghorofa na Vyuo eti ndio uzuri wa miji.

Nyie mbona washamba Sana.
 
MOROTOWN na DODOMA wapi pametulia?
 
Uwe unasoma na kuelewa nilichoandika, unajibu Kama umepasuka kichwa.

Nakwambia lete city plan , sewage stystem, Transport network ya jiji.

Unakuwa mshamba wa maghorofa na Vyuo eti ndio uzuri wa miji.

Nyie mbona washamba Sana.
Tayari masterplan ya jiji iliandaliwa na ilipitishwa na wizara ya ardhi na inaendelea kutekelezwa
 
Hizo ni kelele za kunyanyua mabega juu,huko kumejaa maskini afu sijui mnaongea nini.Mwaka 2019 Mauzo ya mazao ya horticulture kutoka Arusha,Njombe,Iringa na Mbeya yalikuwa namba 3 kuingiza pesa nyingi za kigeni nyuma ya dhahabu na utalii .Sasa dhahabu inatoka kwa makampuni makubwa wanufaika ni wachache,the same kwenye utalii.

Wakati mazo ya horticulture yanatoka kwa wakulima wadogo wadogo ,pesa zinawanufaisha moja kwa moja matokeo yake huko Lake zone watu wanajipiga kifua wakati wanazidi kuwa maskini.Ndio maana lake zone haitakaa iache kuongoza kwenye umaskini Tzn hii.
 
Tayari masterplan ya jiji iliandaliwa na ilipitishwa na wizara ya ardhi na inaendelea kutekelezwa
Hivi unaelewa unachokijibu kweli wewe...

Zile slams zilizojaa mbeya huzioni ?

Huoni machinga kila sehemu ?

Au hujui Mpango Miji ni Hadi suala la machinga kushughulikiwa na wakae wanapostahili. Hii akili ya kudhani mipango miji Ni kuwa na maghorofa marefu na Barabara ni upumbavu umewajaa viongoz sampuli yako.


Nasikitika hujui lolote na huna exposure ya kuzurura miji kadhaa nje ya Tanzania , naamini ungekuja kufuta Mambo mengi unayoandika humu.
 

1 Dar
2 Mwanza
3 Mbeya
4 Arusha
5 Dom


Dom inakua kwa kasi, baada ya miaka kadhaa mbele itamfunika Arusha, na Arusha kushuka hadi nafasi ya 5.


Mbeya pazuri sana, ile green ya pale na waterfalls dah
 
ndani ya kona za mkoa mbeya
Your browser is not able to display this video.
 
Mwaka 2021 bado unajivunia lift ?

Nimetoka tanga mwaka jana November nimeona Nyumba za nyasi na tope tanga mjini Tena jijini.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Wewe hukuja Tanga Jiji,umeishia vijijini,kwanza Kama ni Tanga Jiji,hata ingekuweko nyumba,sio ya nyasi ungesema ya makuti,ndio wanatumia kwenye Bar na Mahoteli,baadhi sana,kama vivutio vya utalii,na kupunguza joto.Wewe hujafika Tanga Port City.
Port City,ndio inabeba maendeleo ya majiji mengine,huwezi ku import mafuta ya magari na mitambo(viwanda),kutoka kokote duniani,bila kupitia Port City.
Tanga Port City kuna Bandari kubwa za mafuta kutoka nje,ukifika hapo,jinsi kulivyojengwa,na jinsi inavyoingiza pato la Taifa kwa kodi,na bado Bandari za kawaida zinazosafirisha bidhaa nje na kuingiza nchini,ambazo hizo bidhaa huko unakoita majiji,wanategemea mafuta ya magari na Bidhaa nyingine,zishushwe kutoka Port City,ndio wao wapate,utaona,huko kote hakufai.Port City,sio mchezo

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Point yako ni Nini Sasa mbona uko kinyume na mada

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Siko kinyume na Mada.Port city Huwezi kulinganisha na majiji yasio na Bandari za Bahari(Port City).Hayo majiji mengine yote,maendeleo yao,yanategemea Port City(Dar,Tanga).Kama mafuta ya magari na mitambo,bila kwenda kuchukuwa Dar au Tanga,hao majiji mengine,hayawezi kuwa na maendeleo.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…