Majiji 5 kwa Uzuri Tanzania

Majiji 5 kwa Uzuri Tanzania

Siko kinyume na Mada.Port city Huwezi kulinganisha na majiji yasio na Bandari za Bahari(Port City).Hayo majiji mengine yote,maendeleo yao,yanategemea Port City(Dar,Tanga).Kama mafuta ya magari na mitambo,bila kwenda kuchukuwa Dar au Tanga,hao majiji mengine,hayawezi kuwa na maendeleo.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Sasa hicho ulichoandika kinalingana na Mada tajwa ?
 
Port City(Tanga na Dar).Bila majiji haya,ambayo yana Bandari,ingekuwa ngumu kimaendeleo.Huwezi kupata mafuta ya magari na mitambo(viwanda),na kusafirisha na kupokea bidhaa,bila kupitia majiji yenye Bandari.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
We jamaa naona umekazania port city,kwani kati ya Nairobi na Mombasa lipi ni jiji kubwa!!! Mbona Nairobi ambayo sio port city imeiacha mbali Mombasa!! Sijakuelewa kabisa
 
Ukitaka kujua Tz hakuna jiji zuri hata moja ila kuna mikoa yenye mataa mengi tu ya barabarani na nyomi ya watu wengi iangalie dar maeneo mengi yalivyokaa hovyo bila mpangilio ndo maana jinsi mikoa mingi inavyozidi kuwekewa taa za barabarani hayo majiji yanaonekana hayana hadhi maana yanafanana na mikoa midogo hapo zamani tofauti ilikua n mataa tu
 
Ukitaka kujua Tz hakuna jiji zuri hata moja ila kuna mikoa yenye mataa mengi tu ya barabarani na nyomi ya watu wengi iangalie dar maeneo mengi yalivyokaa hovyo bila mpangilio ndo maana jinsi mikoa mingi inavyozidi kuwekewa taa za barabarani hayo majiji yanaonekana hayana hadhi maana yanafanana na mikoa midogo hapo zamani tofauti ilikua n mataa tu
Shukurani mkuu kwa maelezo hayo
 
Back
Top Bottom