Sasa hicho ulichoandika kinalingana na Mada tajwa ?Siko kinyume na Mada.Port city Huwezi kulinganisha na majiji yasio na Bandari za Bahari(Port City).Hayo majiji mengine yote,maendeleo yao,yanategemea Port City(Dar,Tanga).Kama mafuta ya magari na mitambo,bila kwenda kuchukuwa Dar au Tanga,hao majiji mengine,hayawezi kuwa na maendeleo.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Bandari,inaizidi Arusha,Port City,ndio mafuta ya magari na ya mitambo,na Bidhaa kutoka nje,zinashuka hapo Port City.Arusha na majiji yasio na Bandari,lazima yazidiwe na majiji yenye Bandari(Port City).Hivi tukiweka uhalisia dar inaizidi nini Arusha?
Port City,Jiji likiwa na Bandari,usilinganishe na majiji yasio na Bandari ya Bahari.Dar es salaam kuna uzuri gani?
Mada ni Majiji,na Tanga na Dar ni Majiji(Port City).Sasa hicho ulichoandika kinalingana na Mada tajwa ?
Usilinganishe Port City,Jiji lenye Bandari,na kusiko na Bandari ya Bahari.Kuanzia kujengeka Mbeya ipo vizuri zaidi ya Tanga
We ni mjinga Sana kwani Mwanza haina Bandari ?Usilinganishe Port City,Jiji lenye Bandari,na kusiko na Bandari ya Bahari.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Sidhani Kama huyu mtu alishawahi kufika mwanza.Kama hauko Dom,Dar na Arusha huna cha kuizingua Mbeya.
Mbeya kuna vyuo vikuu na koleji/kampani takribani 10 ,huwezi kuta kwenye kijiji cha Mwanza
Ingawa kwa sasa TZ hakuna jiji linaloitwa Dar es salaam.Ila moro haijatulia kivile maana mji umejitenga.
Ila hapo nimeongelea majij
Shukurani mkuu kwa maelezo hayoUkitaka kujua Tz hakuna jiji zuri hata moja ila kuna mikoa yenye mataa mengi tu ya barabarani na nyomi ya watu wengi iangalie dar maeneo mengi yalivyokaa hovyo bila mpangilio ndo maana jinsi mikoa mingi inavyozidi kuwekewa taa za barabarani hayo majiji yanaonekana hayana hadhi maana yanafanana na mikoa midogo hapo zamani tofauti ilikua n mataa tu
Mkuu nimesoma sana replies zako.Usilinganishe Port City,Jiji lenye Bandari,na kusiko na Bandari ya Bahari.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
bahar kitu gan??? sisi pia tuna ziwa nyasa, so hakuna mlilotuzidi, labda uswahili tuPort City(Tanga).Usifananishe na mji wowote usiokuwa na bahari.Kuwa na Bandari ya Bahari,peke yake ni kuipiku mji yote isiyokuwa na Bahari na Bandari(Port City).