Majiji yafunikwa na maji Urusi na Kazakhstan baada ya mvua na theluji kuyeyuka

Wacha wafe, ndio mungu wa Israel 🇮🇱 kaamua
 
Wacha wafe, ndio mungu wa Israel 🇮🇱 kaamua
Kama mnaambiwa kutubu mbagoma, kipigo lazima. Hata kama ni wewe, umuumbe Mwanaume Kisha ajibadili jinsi, utamchekea? Inabidi aangamie.

Lazima ijulikane yupo Mungu, tukitubu na kuacha Ujinga, anarehemu na kutusanmehe.
 
Ni nabii yupi aliyetoa unabii na akawa anawakejeli wanaoomba toba kwa ajili ya ile hukumu iliyo ndani ya unabii?
Nabii wa Unyakuo yeye full kejeli kwa watu waliokuwa wakiomba rehema kwa Mungu, hapo mimi nimepishana naye hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…