Ndg wan JF,
Kulingana na tathimini ya mwenendo mzima wa kampeni za uchaguzi kwa takribani siku 40, wapiga kura wameonyesha dhahiri kuwa CHADEMA itashinda katika majimbo yafuatayo; Hizi sio hisia zangu bali ni hali halisi ya upepo wa kisiasa katika majimbo yafuatayo.
1. Kiteto
2. Karatu
3. Bukombe
4. Iringa mjini
5. Ubungo
6. Kawe
7. Vunjo
8. Kigoma Mjini
9. Kigoma Kaskazini
10. Maswa Mashariki
11. Nyamagana
12. Hai
13. Busanda
14. Mbulu
15. Tarime
16. Arusha Mjini
17. Meatu
18. Ngorongoro
19. Kibaha
20. Singida (jimbo la Tundu Lissu)
21. Bukoba mjini
Ushauri wangu kwa team ya kampeni ya CHADEMA iweke mikakati dhabiti ya kulinda kura katika majimbo haya kwa gharama yoyote maana CCM wanajua hilo na mkizembea sauti ya wananchi itapokonywa na CCM kwa kuiba kura.
Pia Dr. Slaa kama itawezekana apite tena kwa awamu ya pili katika majimbo haya KUKAZIA HUKUMU YA WANANCHI dhidi ya CCM.
Kama kuna watu wamefanya tathimini katika maeneo mengine wanaweza kuongeza katika list hii.
Ningeshauri tutoe tathimini kulingana na hali halisi ya kisiasa katika maeneo husika badala ya ushabiki.
Kulingana na tathimini ya mwenendo mzima wa kampeni za uchaguzi kwa takribani siku 40, wapiga kura wameonyesha dhahiri kuwa CHADEMA itashinda katika majimbo yafuatayo; Hizi sio hisia zangu bali ni hali halisi ya upepo wa kisiasa katika majimbo yafuatayo.
1. Kiteto
2. Karatu
3. Bukombe
4. Iringa mjini
5. Ubungo
6. Kawe
7. Vunjo
8. Kigoma Mjini
9. Kigoma Kaskazini
10. Maswa Mashariki
11. Nyamagana
12. Hai
13. Busanda
14. Mbulu
15. Tarime
16. Arusha Mjini
17. Meatu
18. Ngorongoro
19. Kibaha
20. Singida (jimbo la Tundu Lissu)
21. Bukoba mjini
Ushauri wangu kwa team ya kampeni ya CHADEMA iweke mikakati dhabiti ya kulinda kura katika majimbo haya kwa gharama yoyote maana CCM wanajua hilo na mkizembea sauti ya wananchi itapokonywa na CCM kwa kuiba kura.
Pia Dr. Slaa kama itawezekana apite tena kwa awamu ya pili katika majimbo haya KUKAZIA HUKUMU YA WANANCHI dhidi ya CCM.
Kama kuna watu wamefanya tathimini katika maeneo mengine wanaweza kuongeza katika list hii.
Ningeshauri tutoe tathimini kulingana na hali halisi ya kisiasa katika maeneo husika badala ya ushabiki.