Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,741
Ndiyo mkuu, na madiwani 10 kati 14is karatu comfirmed as chadema constituency?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mkuu, na madiwani 10 kati 14is karatu comfirmed as chadema constituency?
Umechakachua namba 11, 14!
wakuu
mimi naona tuwende kwa mpangilio mzuri ili tujue majimbo mangapi so far chadema imepata ili iwe rahisi zaidi. Na kadri wakitangaza basi tunaongeza kwenye list.
Mimi natoa yafuatayo kisha na wewe ukipata habari basi endeleza mtiririko kama wangu. List hii ni ya ubunge tu, tuandike yale yanayotanganzwa na tume si tetesi plse!!
1. Kigoma kaskazini
2. Ubungo
3. Biharamulo
4. Meatu
5. Ilemela
6. Mbulu
7. Nyamagana
8. Arusha mjini
9. Mbeya mjini
10. Hai
11. Ujiji
12. Mbozi magharibi
13. Maswa mashariki
14. Musoma mjini
15. Maswa magharibi
tuendeleze hapa....
mbulu na meatu chadema wamechukua, bila kusahau kwa mama getruda mongeraUmechakachua namba 11, 14!
ubungo.......CHADEMA
kawe...........chadema
iringa mjini.....chadma
mbeya mjini.....chadema
moshi mjini.......chadema
kigoma kaskazini.....chadema
tanga mjini......CUF
mtwara mjini.....CUF
hai.....chadema
vunjo....TLP
rombo....chadema
ngoja nifuatilie mengine aiseeee
Ondoa Arumeru Magharibi (CCM wameshinda)
Maswa mashariki
arusha mjini
meatu
nyamagana
maswa magharibi
iringa mjini
moshi mjini
ilemera
mbozi mashariki
mbeya mjini
mbulu
ubungo
karatu
ukerewe
rombo
hai
singida mashariki
kibondo
arumeru magharibi
biharamuro magharibi
musoma mjini
kigoma kaskazini
kawe
Asante mkuu!Ondoa Arumeru Magharibi (CCM wameshinda)