The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Mapambano yanaendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
is karatu comfirmed as chadema constituency?
We weeeeeee! hebu fanya marekebisho haraka. Hakuna jimbo la UJIJIWakuu
Mimi naona tuwende kwa mpangilio mzuri ili tujue Majimbo mangapi so far CHADEMA imepata ili iwe rahisi zaidi. Na kadri wakitangaza basi tunaongeza kwenye LIST.
Mimi natoa yafuatayo kisha na wewe ukipata habari basi endeleza mtiririko kama wangu. List hii ni ya Ubunge tu, tuandike yale yanayotanganzwa na Tume si Tetesi plse!!
1. Kigoma Kaskazini
2. Ubungo
3. Biharamulo
4. Meatu
5. Ilemela
6. Mbulu
7. Nyamagana
8. Arusha Mjini
9. Mbeya Mjini
10. Hai
11. Ujiji
12. Mbozi Magharibi
13. Maswa Mashariki
14. Musoma Mjini
15. Maswa Magharibi
tuendeleze hapa....
kawe tayari yametangazwa na NEC?
Jimbo la Kawe-Halima Mdee ndani ya Mjengo kwa kura 58,000+
Najisikia Rahaaaaaaaaaaaaaaaaaa,Utamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
Majimbo amabayo tayari yapo mikononi mwa CHADEMA
1. Mbeya mjini
2. Arusha mjin
3. Iringa mjini
4. moshi mjini
5. hai
6. ilemela
7. nyamagana
8. ukerewe
9. ubungo
10. Rombo
11. Mburu
14. Meatu
15. Maswa MAshariki
16. Maswa Magharibi
17. Karatu
18. Musoma Mjini
19. Biharamuro
20. Kaawe
21. Mbozi Magharibi
Expected for Sure
1. Mbeya Vijijini
2. Bukombe
3. Segerea
4. Singida kaskazini
5. Na mengine kibao