Elections 2010 Majimbo ambayo yamechukuliwa na upinzani uchaguzi mkuu 2010

Elections 2010 Majimbo ambayo yamechukuliwa na upinzani uchaguzi mkuu 2010

Ukerewe unataka kulichakachua na wewe?
 
Thanks GOD...it is time for change...The change that can tranform this country..VIVA the comrades in MAGEUZI..VIVA. PP...PP......PP:nono:
 
kwa idadi hii ya wabunge inatia moyo sana,Mpendazoe vipi jamani?
 
Tulijadili mchana tusiwe kama watoto kulishana pipi, hapa hatufanyi kampeni , tunataka matokeo nyie vipi kuna haja gani ya kujifurahisha lete matokeo sio hisia zako

Acha kupiga kelele na wewe tafuta matokeo kwa muda wako
 
Musoma mjini - VINCENT NYERERE
Kigoma kaskazini - ZITO KABWE
Ubungo - JOHN MNYIKA
Moshi mjini - PHILEMON NDESAMBURO
Hai - FREEMAN MBOWE

Sumbawanga mjini
Nkasi kaskazini
Kahama
Arusha mjini - GODBLESS LEMA

Karatu
Kiteto
Iringa mjini - MCH PETER MSIGWA
Mbeya mjini - JOSEPH MBILINYI AKA MR SUGU
Mbeya vijijini
Nyamagana - HEZEKIAH WENJE
Ilemela - HAYNES SAMSON
Mbulu
Songea mjini
Mbozi mashariki - SILINDE
Ukonga
Kawe - HALIMA MDEE

Arumeru Magharibi - OLE SAMBU
Serengeti
Singida kaskazini
Biharamulo Magharibi - DK ANTONY MBASA
Segerea- FREDERICK MPENDAZOE
Rombo - JULIUS SELASINI
Hanang
Ulanga Magharibi -PROF MLAMBITI
Meatu - MESHACK OPOLUKWA
Maswa Magharibi - JOHN SHIBUDA
Maswa Mashariki - KASULUMBAYI
Ukerewe - SALVATORY NALUYEGE

NB: Kama kuna jimbo nimelisahau naomba mnifahamishe

Nimeipenda hii list, inasound ukweli,big up brother,tuendelee kutafuta data ya hizo sehemu nyingine.
 
Watoka bara wametenda ipasavyo kama kawaida, hapa town (Dar) bado kidogo!
 
ni aibu kwa watendaji wa dar es salaam kutotoa matokeo intime. walipaswa watoe jana asubuhi maana hawana sababu yoyote

Inashangaza sana nafikiri watakuwa wanavuta muda kwa ajili ya kumanuva matokeo kwa kuwa wanajua ni jinsi gani walivyobanwa na hilo halina ubishi kabisa ili wakae wakijua kuwa haki ya mpiga kura haipotei siku zote
 
Maswa Magharibi na Ulanga kwa Prof. Je mzee Makamba atasemaje yeye alisema Chadema mwaka huu haipati viti hata 10.Itabidi akambilie ******.
 
ni aibu kwa watendaji wa dar es salaam kutotoa matokeo intime. walipaswa watoe jana asubuhi maana hawana sababu yoyote

Ni aibu kwa NEC Dar ni makao makuu alafu wanachelewesha kutoa matokeo mbona huko mikoani wametoa wakati muafaka
 
Maswa Magharibi na Ulanga kwa Prof. Je mzee Makamba atasemaje yeye alisema Chadema mwaka huu haipati viti hata 10.Itabidi akambilie ******.

Sijamsikia huyu mzee had sasa hivi akiongea sijui yuko wapi
 
Ninampongeza sana Godbless Lema mbunge wa Arusha mjini kwa msimamo wake. Hakika ameandika historia kuondoa jimbo mikononi mwa ccm tangu tulipopata uhuru bravo Godbless
 
Ninampongeza sana Godbless Lema mbunge wa Arusha mjini kwa msimamo wake. Hakika ameandika historia kuondoa jimbo mikononi mwa ccm tangu tulipopata uhuru bravo Godbless

Makongoro Nyerere (NCCR MAGEUZI 1995)
 
Back
Top Bottom