Active kwenye Chama wakati kichwani hakuna kitu.. Ataenda kuongea nini au kuchangia nini cha maana Bungeni??
Michango yake tu ya Twitter inajidhihirisha alivyo mtupu kichwani..
Kama hawatambui uchaguzi then it is a galaxy kuopeleka viti maalum! Nadhani utaibuka mshindi katika Uzi huuNitawashangaa Chadema kwa ukongwe wao na yote waliyopitia kama hawatafanya nilichoandika kisa ruzuku!
Sawa mkuu hata hivyo heading inasema ‘yanayotajwa’ ni tetesi.Ungeweka heading ya tetesi. Kama ni kweli cdm watakuwa hawafanyi sawa kwa kuweka sura hizo hizo kila siku hata kwa viti vya dezo.
Kwenye siasa kila hesabu ina njia zake mpaka kulifikia jibu.Chadema wakikubali kupeleka wengine bungeni maana yake watakuwa wanahalalisha ule uharamia uliofanyika 2020, haya majina mnayookoteza huko kwangu naona ni usanii mtupu, sasa waamue wao.
Kama wapo tayari kudanganyika mwishowe waendelee kuchezewa akili na serikali ya CCM kwenye kila uchaguzi, au wabaki na msimamo wao wa kutoutambua ule uchaguzi hata kama itawagharimu kuikosa ruzuku.
Kwani ni rasmi? Ni habari za kujifurahisha maamuzi bado hayajatoka. TusubiriKwahiyo Hawa jamaa covid ndiyo hivyo tena
Unataka akut*****mbe wewe???Huyu Joyce Mukya sijawahi kumuona katika ujenzi wa Chama ila miaka yote anapeta tu, labda kwasababu anampa furaha mwenyekiti wetu basi acha tu aulambe
Ukimuacha huyu Basi, dhambi kubwa! Huyu amekipambania chama bila kujali Magufuli anapoteza watu, anaua, anateka , anajeruhi kwa risasi (Lisu). She deserves to go front line in the parliament
Mukya yeye ndio yuko vizuri?
Sema moderators nao walitakiwa waweke jukwaa la tetesiUngeweka heading ya tetesi. Kama ni kweli cdm watakuwa hawafanyi sawa kwa kuweka sura hizo hizo kila siku hata kwa viti vya dezo.
Ndiko kwenye chimbuko la Chama Mzee Babanaona hao wapya wengi ni wa kaskazini,wakina Grace Moshi,Molle,Mukya,Lyimo na wengineo,hivi kwanini Chadema wanaukaskazini sana?
Kwahiyo kumbe wabunge mliowachagua 2020 sio hawa waliopo bungeni?? 😀Vyovyote vile mkuu kwani unafikiri tuliowachagua 2020 ndio wanatuongoza Leo.....kaa kwa kutulia maisha yaendelee
Ahahaha kama alivyokuwa Halima sio?Anaweza kupaza sauti bila woga wa Magufuli kitu ambacho wewe na yule hawana, even me so to say!
Elimu yake huwezi linganisha na huyo Hilda. Hilda form four alifeli na hana cheti chochkteMukya yeye ndio yuko vizuri?
Hii ndio itasababisha uwe na bei, au uitwe malaya malaya, kwangu siasa ni msimamoKwenye siasa kila hesabu ina njia zake mpaka kulifikia jibu.
Huwezi kukomaa na njia ileile ambayo hai'archieve lengo lako.