Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ambavyo kigogo amewapiga sio?Wenzenu wanatumia hao nzi kuwa piga nao nyie mkihangaika na mabibi zenu!! Ndio maana wanawaita SACCOS kwani hamna KPIs kwenye maamuzi yenu!
Somebody Komba......Yule shujaa binti wa Muheza hayumo?
Huu ni umbea yaani mtoto wa kiume unapiga chabo watu wazima? Kwani mwenye kiti akila hiyo mbunye wewe wewe unawashwa kwenye tundu lipi ktk hayo ulonayo?Huyu Joyce Mukya sijawahi kumuona katika ujenzi wa Chama ila miaka yote anapeta tu, labda kwasababu anampa furaha mwenyekiti wetu basi acha tu aulambe
Kwahiyo Pamella Maasay ataachia kule EALA kwenye 'ulaji' zaidi? Vipi Hadija Mwago, Aliyekuwa Mgombea Ubunge Mbagala? Hii Orodha haiko sawa! Mwandishi ana ajenda zake.
Da Joy analamba Asali.Huyu Joyce Mukya sijawahi kumuona katika ujenzi wa Chama ila miaka yote anapeta tu, labda kwasababu anampa furaha mwenyekiti wetu basi acha tu aulambe
Yule wa Njombe hayupo kale kadada machachariSakata la kuvuliwa uanachama wabunge 19 wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) linaendelea kushika kasi baada ya tetesi zinazodai kuwa kuna uwezekano mkubwa wa chama hicho kupeleka majina mengine ya wabunge wa viti maalum ili kuchukua nafasi yao.
Majina yanayotarajia kuwarithi ni Catherine Ruge (Katibu Mkuu Bawacha), Sharifa Mohamed (Kaimu Mwenyekiti Bawacha), Suzan Kiwanga (Aliyekuwa mgombea jimbo la Mlimba, Morogoro) Grace Kiwelu, Joyce Mukya, Suzan Lyimo.
Wengine ni Devotha Minja (aliyekuwa mgombea jimbo la Morogoro Mjini) Upendo Peneza, Lucy Owenya, Rose Moshi, Rhoda Kunchela, Gimbi Masaba, Rose Mayemba, Aisha Luja, Husna Said, Nice Gisunte, Moza Ally, Dorcas Francis, Ruth Molle, Pamela Massay na Lucy Magereli.
Yupo ndo huyo Rose MayembaYule wa Njombe hayupo kale kadada machachari
Mkuu! Nafikiri hizi ni tetesi, sidhani kama zina uhalisia.Yule Hilda Newton wenu mmeamua kumbwaga. Kweli chama kina wenyewe
Yule yuko vizuri sana
Na Yosepher Komba Yuko poaYule yuko vizuri sana
Kwa maneno ya Mwenyekiti leo kuwa waheshimu Vyama vingine, sidhani kama ataendelea na machachari yake.Yule wa Njombe hayupo kale kadada machachari
Huu ni uzushi kwa 100%.Sakata la kuvuliwa uanachama wabunge 19 wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) linaendelea kushika kasi baada ya tetesi zinazodai kuwa kuna uwezekano mkubwa wa chama hicho kupeleka majina mengine ya wabunge wa viti maalum ili kuchukua nafasi yao.
Majina yanayotarajia kuwarithi ni Catherine Ruge (Katibu Mkuu Bawacha), Sharifa Mohamed (Kaimu Mwenyekiti Bawacha), Suzan Kiwanga (Aliyekuwa mgombea jimbo la Mlimba, Morogoro) Grace Kiwelu, Joyce Mukya, Suzan Lyimo.
Wengine ni Devotha Minja (aliyekuwa mgombea jimbo la Morogoro Mjini) Upendo Peneza, Lucy Owenya, Rose Moshi, Rhoda Kunchela, Gimbi Masaba, Rose Mayemba, Aisha Luja, Husna Said, Nice Gisunte, Moza Ally, Dorcas Francis, Ruth Molle, Pamela Massay na Lucy Magereli.
Duu! Nakumbuka huyu alikuja juu kipindi kile walipoambiwa kuwa Wabunge Wanawake wa CHADEMA wananyaswa kijinsia!🤣🤣.
Ktk 19?Sharifs Suleiman
Kumbe hoja ni sapoti ya chama?Walikuwa hawana sapoti ya chama walikuwa hawakiwakilishi chama.
Wewe ndiyo chizi wa siasa?? Utapelekeshwa na viongozi wako mpakae ukomeunajisumbua kumwelewesha chizi
Kwa hiyo wametambua ushindi sio? 😄😄😄Sakata la kuvuliwa uanachama wabunge 19 wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) linaendelea kushika kasi baada ya tetesi zinazodai kuwa kuna uwezekano mkubwa wa chama hicho kupeleka majina mengine ya wabunge wa viti maalum ili kuchukua nafasi yao.
Majina yanayotarajia kuwarithi ni Catherine Ruge (Katibu Mkuu Bawacha), Sharifa Mohamed (Kaimu Mwenyekiti Bawacha), Suzan Kiwanga (Aliyekuwa mgombea jimbo la Mlimba, Morogoro) Grace Kiwelu, Joyce Mukya, Suzan Lyimo.
Wengine ni Devotha Minja (aliyekuwa mgombea jimbo la Morogoro Mjini) Upendo Peneza, Lucy Owenya, Rose Moshi, Rhoda Kunchela, Gimbi Masaba, Rose Mayemba, Aisha Luja, Husna Said, Nice Gisunte, Moza Ally, Dorcas Francis, Ruth Molle, Pamela Massay na Lucy Magereli.