Majina 19 yanayotajwa kuwarithi Halima Mdee na wenzake bungeni

Majina 19 yanayotajwa kuwarithi Halima Mdee na wenzake bungeni

Ukimuacha huyu Basi, dhambi kubwa! Huyu amekipambania chama bila kujali Magufuli anapoteza watu, anaua, anateka , anajeruhi kwa risasi (Lisu). She deserves to go front line in the parliament
Huyu ni mbunge halali aliye dhurumiwa kule Muheza
 
Mke wa Lissu apewe nafasi, kasaidia sana kututunzia Lissu baada ya jaribio la kishetani alilofanyiwa
 
Dah naona siona malalamiko ya Udini humu, Ingelikua ACT tungeliona vijana wanavyolalamika Udini, lakini kwa hapa kiharakharaka ni 17 - 3
 
Baada ya Baraza Kuu kuwafukuza rasmi kina Mdee ni wakati mwafaka kuendelea na mjadala wetu.
 
Sakata la kuvuliwa uanachama wabunge 19 wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) linaendelea kushika kasi baada ya tetesi zinazodai kuwa kuna uwezekano mkubwa wa chama hicho kupeleka majina mengine ya wabunge wa viti maalum ili kuchukua nafasi yao.

Majina yanayotarajia kuwarithi ni Catherine Ruge (Katibu Mkuu Bawacha), Sharifa Mohamed (Kaimu Mwenyekiti Bawacha), Suzan Kiwanga (Aliyekuwa mgombea jimbo la Mlimba, Morogoro) Grace Kiwelu, Joyce Mukya, Suzan Lyimo.

Wengine ni Devotha Minja (aliyekuwa mgombea jimbo la Morogoro Mjini) Upendo Peneza, Lucy Owenya, Rose Moshi, Rhoda Kunchela, Gimbi Masaba, Rose Mayemba, Aisha Luja, Husna Said, Nice Gisunte, Moza Ally, Dorcas Francis, Ruth Molle, Pamela Massay na Lucy Magereli.
Pamela sio kwamba ni Mbunge wa EALA ?
 
Huyu Joyce Mukya sijawahi kumuona katika ujenzi wa Chama ila miaka yote anapeta tu, labda kwasababu anampa furaha mwenyekiti wetu basi acha tu aulambe
Unamuonea Wivu Joyce Mkuya ?
Unatamani wewe ndio ukampe Faraja Chairman sio ?
 
TULIKUBALIANA KUWA UCHAGUZI HAUKUWA HURU NA HAKI, NA CHADEMA HAWATOPELEKA WABUNGE WA VITI MAALUM.
IMEKUWAJE TENA UCHAGUZI ULE UWE HURU NA HAKI??
 
Sakata la kuvuliwa uanachama wabunge 19 wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) linaendelea kushika kasi baada ya tetesi zinazodai kuwa kuna uwezekano mkubwa wa chama hicho kupeleka majina mengine ya wabunge wa viti maalum ili kuchukua nafasi yao.

Majina yanayotarajia kuwarithi ni Catherine Ruge (Katibu Mkuu Bawacha), Sharifa Mohamed (Kaimu Mwenyekiti Bawacha), Suzan Kiwanga (Aliyekuwa mgombea jimbo la Mlimba, Morogoro) Grace Kiwelu, Joyce Mukya, Suzan Lyimo.

Wengine ni Devotha Minja (aliyekuwa mgombea jimbo la Morogoro Mjini) Upendo Peneza, Lucy Owenya, Rose Moshi, Rhoda Kunchela, Gimbi Masaba, Rose Mayemba, Aisha Luja, Husna Said, Nice Gisunte, Moza Ally, Dorcas Francis, Ruth Molle, Pamela Massay na Lucy Magereli.
Orodha ilitakiwa kupelekwa siku 30 kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020, haya majina yapo Tume ya Taifa ya Uchaguzi?
Unless sheria zisifuatwe
 
CHADEMA pelekeni wawakilishi wa viti maalum tumieni hii opportunity ili kujenga hoja zitakazo i challenge ccm kuelekea 2025,bunge ni siraha muhimu freeman mbowe
 
Back
Top Bottom