nyanda madirisha
JF-Expert Member
- Apr 1, 2019
- 411
- 727
SIkulijua hiliMabula/Kabula
Mayala/ Nyanzala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SIkulijua hiliMabula/Kabula
Mayala/ Nyanzala
evelyn/evelynaDaniel/Daniela
Anthony/Anthonia
Eric/Erica
Henry/Henrica
Evance/Eva
Rashid/Rashida
ChukuaSIkulijua hili
Hiyo Binti au BintAisha ilikuwa kama Haina male version Hadi alipoibuka Aish Manula...la kwako litaanza...kuna mikoa unakuta mdada anaitwa Binti Athumani au Bint Suleiman
Jamil/JamilaSalman/Salma?
Salim /salima?
Jamal je?
Hamidu?
Chausiku hebu taratibu Mama...🤭Uhuni 🤣🤣🤣
Imagine watu wazima na akili zao timamu wanamuita mtoto kipenzi Shida/Matatizo/Havintishi
Hao naona serikali iingilie tu kati
Baby lishachakachuliwa kitambo, Dume la miaka 60 na midevu kama Boko Haram linaitwa Baby na Ke 22yrs nalo bila aibu linaitika 🤔🤷Kabisaaa...mie siwezi wapa cheti cha kuzaliwa. Huo ni ukatili kwa mtoto.
Wewe kama u got problem na bby daddy au mama usilete chuki zako kwa mtoto.
Msave bby daddy au mama hayo majina kwenye simu yako
Shadeeya kiume chake niniHakim - Hakimah
Majina mengine huumba Ke kuwa Pisi la nguvu kama Rosemary, Irene, Mariam, Rahma, sasa kutana na akina Juniors...🙌🤭Yaani 🤣🤣🤣
Nikisikia mtoto ana jina la ajabu roho hua inaniuma sana kwakweli
Nijulie wapi we Mzab?Shadeeya kiume chake nini
Kumbe basi kama mzabzab tuu halina la kike.Nijulie wapi we Mzab?
Halina la kiume hilo. 😅
Eewaaaa!! Ndio ndio yaani hujakosea hata kidogo Mzab. 😅😅Kumbe basi kama mzabzab tuu halina la kike.
Ila nasikia yanga la kiume la kike lake simba 🤣🤣🤣🤣🤣
Ni kifupi cha Emillian/EmeliusHivi Emily ni la kiume au la kike?
🤣🤣CCM = ACT